Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Hizi thread za kuwadhihaki walimu nna uhakika zinaandikwa na majobless,Its either walifeli shule kwa uzembe wao Ama wanassbabu zingine lwzima zitakua baseless tu.

Walimu wanamishahara madogo ama mikubwa how is that your concern? Walimu ni watumishi kama watumishi wengine wanastahili kuheshimiwa kama watumishi wengine,Sioni afya kabisa kila siku mkiwadhihaki Walimu, Haiwezekani kila mtu akawa wakili,daktari ama engineer sasa mnasumbuka nn nao? Unasema laki 7 ni ndogo think twice wewe unaingiza sh ngap
 
Magari mengi ni ya walimu wanawake wamehongwa au kununuliwa na waume zao
 
Mikopo wanayo watumishi wote! Kama ni mikopo ya bodi ya elimu ya juu wanayo watumishi wa kada zote, kama ni mikopo ya benki na sakosi wanayo pia watumishi wote! Hayo ndiyo mambo waliyokaririshwa kuwa eti ni walimu tu wenye mikopo wakati siyo!
Unajitahidi sana kutetea kada ya ualimu lakn ukweli unabaki pale pale tu.!

Hata walimu wanafanya kazi shingo upande.!
 
kama wana mshahara mkubwa kwanini wao ndio wanaoongoza kwa kulialia?
Walimu hawaongozi kwa kulialia ila yeyote anayelialia jamii husema kwa makosa kuwa hutyo ni mwalimu. Hatujasema kuwa walimu wana mishahara mikubwa kwa maana watumishi wengi wa serikali wakiwemo walimu mishahara yao ni kidogo. Ila ukiilinganisha hiyo mishahara kidogo mshahara wa mwalimu uko juu kidogo kuliko wa kada nyingine (ukiacha madaktari, wafamasia, wahandisi wanaosoma kwa miaka mingi zaidi kuliko kada zingine)
 
Mkuu hii analysis ni balaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
 

Mkuu mbona hiyo 771000 ni muuguzi ngazi ya Diploma
 
Hapo hatuna neno
 
Huu upuuzi sijui tutauacha lini? Kama mtumishi wa umma unayefahamu mfumo wetu wa ajira za serikali utagundua kuwa Mwalimu anatofautiana kidogo sana na watumishi wa kada zingine .

Hizi ni tofauti chache sana.

1. Posho. Mwalimu hana posho ila kada zingine wanazo

2.Mianya ya rushwa. Hakika mashuleni rushwa ni ngumu sana kupatikana labda kwa mkuu wa shule.

Hizi tofauti mbili ndizo zinazomfanya Mwalimu aonekane ana njaa sana hasa tarehe za katikati.

OMBI KWA WALIMU

Wawekeze zaidi katika professionalism na hii sababu ndiyo inayowaumiza sana. Walimu wengi ni Incompentent , unskilled not well developed. Hawawezi hata kujibu hoja tu za kiutumishi . Mfano ukiomba barua zilizoandikwa na walimu kwa mikono yao🤣🤣🤣 Aisee utacheka . Kujielezea ni sifurii.
 
Mkuu mbona hiyo 771000 ni muuguzi ngazi ya Diploma
Kada ya afya sijaiweka kwenye mlinganisho! UJue wanapiga kitabu miaka 4 hao wauguzi kwa diploma na wanaitwa STAFF NURSE. Hata hivyo hiyo data yako sijui kama ndiyo mshahara wa kuanzia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…