Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Hiyo basic yako mimi kwangu ndiyo allowance yangu, yani kwa mwezi sikosi at least 500k ya posho, na mm ni yule lowest rank staff.

Lakini kwenye haya maisha ya utumishi kupata pesa nyingi si kitu, kitu cha msingi ni jinsi gani unapangilia matumizi yako, sababu kuna wanaolipwa mamilioni wanastaafu bila hata kajumba, na wapo wanaolipwa vilaki kadhaa lakini wanafanya vitu vikubwa.
 
hii ni posho kwenye baadhi ya mashirika ya umma

sio ajabu mtu anawezalipwa posho kubwa kuliko mshahara.

mfano huyu polisi kama anafanya kazi nje ya kituo cha kazi posho inavuka huo mshahara.
 
Nina demu mwalim mnasemaje niendelee nae au nipige chini??
 
Ulitaka walipwe kiasi gani? Ingekuwa wewe ndo unapanga mishahara.
 
hahahahhahahahahahahah we jamaa umechambua kila angle, any way umeupiga mwingi
 
TUNAOMBA MISHAHARA YA WALIMU WENYE MASTERS Degree IANGALIWE UPYA IKIWEZEKANA NAJUA KUNA WAHUSIKA HUMU🙏🏼🙏🏼
 
TUNAOMBA MISHAHARA YA WALIMU WENYE MASTERS Degree IANGALIWE UPYA IKIWEZEKANA NAJUA KUNA WAHUSIKA HUMU🙏🏼🙏🏼
Masters haitambuliki kwenye mifumo ya utendaji isipokuwa baadhi ya Kada tu
 
Masters haitambuliki kwenye mifumo ya utendaji isipokuwa baadhi ya Kada tu
Tuiombe serikali Kama kuna uwezekano iwasaidie walimu wenye masters haya mambo yanawezekana kabisa
 
Mkuu wanajipa moyo skuizi kama wasemavyo PESA HALALI NI YA SERIKALI TU ZINGINEZO SIO HALALI PITA NAZO TU..wizi hautaisha
 
HATA WAKIONGEZEWA DARAJA MOJA LA MSHAHARA Mara baada ya kumaliza masomo yao, kuliko kuwaacha bila chochote Kama ilivyo Sasa. TUNAOMBA wenye mamlaka waliangalie hili swala. Kwa walimu WENYE MASTERS Degree
 
HATA WAKIONGEZEWA DARAJA MOJA LA MSHAHARA Mara baada ya kumaliza masomo yao, kuliko kuwaacha bila chochote Kama ilivyo Sasa. TUNAOMBA wenye mamlaka waliangalie hili swala. Kwa walimu WENYE MASTERS Degree
-tunaongeza madaraja wenye CPA
 

Kama wewe ni mwizi basi usisahau kuwa ipo siku utafukuzwa Kazi.
Hivyo ishi kama Kazi itaisha kesho yaani WEKEZA.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…