Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

AADB821B-7AA9-4760-B3FB-866F26D79041.jpeg


Ndani ya week moja tu bank kuu yao ilipanga kuachia $30 billion kwa kuanzia kuyajenga hayo maeneo.

TV channel za Turkey na zenyewe ziliweza changisha $6.1 billion ndani ya Turkey kwa week moja tu.

042A3A64-6FDF-4707-A3C9-0C34598AE84C.jpeg


Halafu sasa nchi tajiri na zenyewe zikaanzisha harambee ndani kwao; waongereza ndani ya week mbili walipata £101.5 million

A0474D6E-1FDD-4037-BEBE-52D52F0F690D.jpeg


Netherlands €89 million in two weeks.

Google sasa uone kila nchi ilitoa kiasi gani kutoka kwa wananchi tu.

Wewe watu wako wanashinda na mlo mmoja uwezi saidia, ndio utasaidia Turkey, pole yako tu inatosha kwa Turkey hana shida na Turkey.

Hiyo michango mpaka leo dunia nzima mpaka sasa hivi inaweza kuwa ata $20 billion + $30 billion ambazo serikali yao iliahidi kutoa mara tu baada ya maafa.
 
Ni Kweli kbs, nao wanaabudu mwezi na wameuweka kbs kwenye bendera Yao.


America wanabudu nyota na ndio maana wameweka katika bendera zao ingawa katika dollars wameandika; In God we trust. 😀
 
America wanabudu nyota na ndio maana wameweka katika bendera zao ingawa katika dollars wameandika; In God we trust. 😀
Nyota ni 25 states zilizopo.

Ingawa Nao wamemwacha Mungu, watapigwa tu kama Turkeyo.
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Uyu mama anapenda sifa kuliko mtangulizi wake,den la taifa limefika tirion 90 kwenda juu ,mfumuko wa bei unazidi kupaa, hali ya wananchi inazidi kuwa mbaya , watumishi waliongezewa elfu 10 alafu unaenda toa msaa wa mabilion ,
Msimpambe amechemka period
 
View attachment 2564023

Ndani ya week moja tu bank kuu yao ilipanga kuachia $30 billion kwa kuanzia kuyajenga hayo maeneo.

TV channel za Turkey na zenyewe ziliweza changisha $6.1 billion ndani ya Turkey kwa week moja tu.

View attachment 2564029

Halafu sasa nchi tajiri na zenyewe zikaanzisha harambee ndani kwao; waongereza ndani ya week mbili walipata £101.5 million

View attachment 2564031

Netherlands €89 million in two weeks.

Google sasa uone kila nchi ilitoa kiasi gani kutoka kwa wananchi tu.

Wewe watu wako wanashinda na mlo mmoja uwezi saidia, ndio utasaidia Turkey, pole yako tu inatosha kwa Turkey hana shida na Turkey.

Hiyo michango mpaka leo dunia nzima mpaka sasa hivi inaweza kuwa ata $20 billion + $30 billion ambazo serikali yao iliahidi kutoa mara tu baada ya maafa.


Watu mna roho ngumu kama mawe na wala hamtambui thamani ya utu katika shida, mmejawa na roho za choyo na mnasahau kwamba ni Mungu ndiye mtoaji.

Hebu someni maneno haya murua ya Bwana Yesu (as) ili mpate kujifunza na kutakasa roho na nyoyo zenu zilizozibwa na kutu ya uchoyo na ubinafsi.

Kutoka katika Luka 21:1-4.

As Jesus looked up he saw rich people putting their gifts into the temple money box. Then he saw a poor widow putting two small copper coins into the box. He said, I tell you the truth this poor widow gave more than all those rich people. They (rich people) gave all what they did not need. This woman is very poor, but she gave all she had to live on.

Hapo mpate kujifunza kutoka kwa Yesu thamani na maana ya kutoa.
 
Watu mna roho ngumu kama mawe na wala hamtambui thani ya utu katika shida, mmejawa na roho za choyo na mnasahau kwamba ni Mungu ndiye mtoaji.

Hebu someni maneno haya murua ya Bwana Yesu (as) ili mpate kujifunza na kutakasa roho na nyoyo zenu zilizozibwa na kutu ya uchoyo na ubinafsi.

Kutoka katika Luka 21:1-4.

As Jesus looked up he saw rich people putting their gifts into the temple money box. Then he saw a poor widow putting two small copper coins into the box. He said, I tell you the truth this poor widow gave more than all those rich people. They (rich people) gave all what they did not need. This woman is very poor, but she gave all she had to live on.
Mama huyo mjane na maskini alitoa pesa yake.

Tofauti na huku pesa ni za Umma tena za MKOPO unazigawa bila ridhaa za uliowakopea.

Bunge lipi limepitisha?
 
Msaada gani?

Acha chuki ya kishamba wakati wa Magufuli alitoa msaada Kwa nchi za malawi na nyingine zilizopata shida ya mafuriko narudia tena Acha chuki ya kishamba.
 
Watanzania ni watu wachoyo sana wasio na utu, unapojitokeza kwenye majanga ya wengine ni akiba maana nawe likikufika utasaidiwa tu, hata hao wazungu wanaochangia bajeti za nchi zetu nchi zao zina shida nyingi tu wana hadi homless na uhaba wa ajira wa kutosha, mtu aliyeumbwa na roho ya choyo ni mbinafsi kupindukia, kuna wakati tuache diplomasia ijengwe upya katika hilo Rais Samia yuko sahihi,
 
Yule shetani alikula hela za rambirambi za wahanga wa tetemeko siwezi msamehe yule shetani.aliwachukia wahaya kwasababu walimzidi sana na wivu kwasababu walimchallenge kwa hoja na usomi wao maana mtaji wa yule kichaa ni watu wasio na elimu

Acha ushamba aisee hapo umeandika pumba Acha ushamba.
 
Watu mna roho ngumu kama mawe na wala hamtambui thamani ya utu katika shida, mmejawa na roho za choyo na mnasahau kwamba ni Mungu ndiye mtoaji.

Hebu someni maneno haya murua ya Bwana Yesu (as) ili mpate kujifunza na kutakasa roho na nyoyo zenu zilizozibwa na kutu ya uchoyo na ubinafsi.

Kutoka katika Luka 21:1-4.

As Jesus looked up he saw rich people putting their gifts into the temple money box. Then he saw a poor widow putting two small copper coins into the box. He said, I tell you the truth this poor widow gave more than all those rich people. They (rich people) gave all what they did not need. This woman is very poor, but she gave all she had to live on.

Hapo mpate kujifunza kutoka kwa Yesu thamani na maana ya kutoa.
Unaambiwa usitoe msaada kuliko uwezo wako.

Turkey aihitaji msaada wa Tanzania; katika hali waliyanayo leo wanaweza ipa Tanzania ata $100 million na isiathiri chochote kwenye mipango yao ya kujenga maeneo yaliyoharibika wala kwenye kuwaangalia wahanga kwa sasa.

Contrary, Tanzania $1 million moja ikitumiwa vizuri inasaidia watu kadhaa kwenye kutatua shida zao na kuwaboroshea.

It’s about the ethics of what is morally right; ni sawa na kwenda kuchangia kikombe cha maji kwenye mto, hakuna impact yoyote. Wakati aliechota hayo maji alitembea kilometer kadhaa kujaza ndo moja tu nyumbani.
 
Watanzania ni watu wachoyo sana wasio na utu, unapojitokeza kwenye majanga ya wengine ni akiba maana nawe likikufika utasaidiwa tu, hata hao wazungu wanaochangia bajeti za nchi zetu nchi zao zina shida nyingi tu wana hadi homless na uhaba wa ajira wa kutosha, mtu aliyeumbwa na roho ya choyo ni mbinafsi kupindukia, kuna wakati tuache diplomasia ijengwe upya katika hilo Rais Samia yuko sahihi,

..wazungu wana shida lakini sio sawa na sisi.

..sisi tunatakiwa tuwasaidie wananchi wetu kabla hatujafikiria huko nje.
 
Unaambiwa usitoe kuliko uwezo wako.

Turkey aihitaji msaada wa Tanzania; katika hali waliyanayo leo wanaweza ipa Tanzania ata $100 million na ithiri chochote kwenye mipango yao ya kujenga maeneo yaliyoharibika wala kuwaangalia wahanga.

Contrary, Tanzania $1 million moja ikitumiwa vizuri inasaidia watu kwenye kutatua shida za watu kadhaa.

It’s about the ethics of what is morally right; ni sawa na kwenda kuchangia kikombe cha maji kwenye mto hakuna impact yoyote. Wakati aliechota hayo maji alitembea kilometer kadhaa kujaza ndo moja tu nyumbani.


Suala la kuipa Turkey msaada ni suala la ubinadamu zaidi kuliko kuwanacho au kutokuwa nacho, ni suala la kuwekeza wema na kwenda zako huku pengine ukitaraji matunda yake hapo baadaye bila kutaraji, ni suala la kuonyesha huzuni na kuguswa na shida za watu, huwezi kwenda msibani mikono mitupu ni ama ujitoe kwa hali au mali nasi tumeweza kujitoa kwa mali-pesa hiyo "kidogo" $1M kulinganisha na nchi zingine, kumbuka dunia ni hii moja tunayoishi leo kwake kesho ni kwako basi kuwekeza hisani ni akiba msibani japo sio leo.
 
Hata Samia akigawa pesa Kwa wananchi. ..bado atatukanwa Tu na wafuasi wa lile kundi ...

Hata akigawa vipande vya Dhahabu Kwa kila Mtanzania bado lile kundi litamtukana tu
Ina maana siku hizi wapingaji si wapinzani tena bali ni sukuma gang tu?
 
Mama huyo mjane na maskini alitoa pesa yake.

Tofauti na huku pesa ni za Umma tena za MKOPO unazigawa bila ridhaa za uliowakopea.

Bunge lipi limepitisha?


Nataka niamini kwa mujibu wako suala la kuipatia msaada Turkey sio suala la kibinadamu bali ni suala la kisiasa au to be precise ni suala la kidini kwani Turkey is a predominantly muslim country, mbona hampigii kelele juu ya msaada wa tani za mahindi zilizopelekwa huko Malawi huku hapa nchini bei ya sembe iki shoot to more than 2,000 shs/kg??
 
Back
Top Bottom