Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

Billion 2 si ni 0.001 ya makusanyo ya ndani hivi kweli inahitaji kukopwa hiyo?
Punguzeni chuki sukuma gang
Pesa za Umma ziheshimiwe. Kila siku mnatembeza bakuli, mkizipata mnaziiba na kuzitapanya kama karanga!!!!

Kuna Watu wanalala njaa, Leo wasikize Serikali inasaidia matajiri wataelewa nn!!!
 
Maafa kama haya yametokea katika Syria, Pakistan na Afghanistan Je tumewasaidia?
 
Nataka niamini kwa mujibu wako suala la kuipatia msaada Turkey sio suala la kibinadamu bali ni suala la kisiasa au to be precise ni suala la kidini kwani Turkey is a predominantly muslim country, mbona hampigii kelele juu ya msaada wa tani za mahindi zilizopelekwa huko Malawi huku hapa nchini bei ya sembe iki shoot to more than 2,000 shs/kg??
Malawi ni Nchi MASKINI, Turkey ni MATAJIRI, tumetoa mahindi Malawi, bt uturuki tumepeleka pesa.

Bunge lingeidhinisha msaada wa chakula kama Malawi tulivyofanya na kupeleka wanajeshi kusaidia kuliko pesa.

Uturukio imepata majanga lini na sisi tumetoa msaada lini ndo utajiua Si msaada ni SADAKA.
 
Ina maana siku hizi Chadema sio wamepumzika kupinga na kukosoa na kuwaachia sukuma gang? Maana kila anayekosoa ni sukuma gang tofauti na mwanzo ilikuwa chadema.
Tunakosoa sana tu unless hufuatilii thread zetu humu, tatizo ni Hawa sukuma gang wao wanapinga Kila kitu kisa tu aliyefanya sio JPM. Unadhani angetoa hizo pesa JPM asingesifiwa kuwa kavunja rekodi Tanzania kuwa donor country!?
 
Sasa wewe hiyo $1 millioni moja yako ina faida gani, bora ata wangeitoa kimya kuliko kututangazia maana ni kuchezea tu hela kwa nchi maskini
Hizo $1 million ndio zikikutana na za Nchi zingine zinapandisha total kuwa billions so every cent matters.

Kingine hakuna Hela imechezewa, msaada hutolewa sio kulingana na utajiri hii ni strategic pia. Kwani china wanavyotoa msaada kwetu huko kwao si ndio Moja ya nchi yenye payments ndogo zaidi kwa wafanyakazi!! Kwanini isi boost purchasing power ya raia wake ila isaidie Africa??

Jibu ni strategic reasons, unatoa msaada Ili uji position kama nchi inayoweza kuwa reliable kwenye crisis, nchi ambayo licha ya kwamba haina pesa ila ikiwezeshwa it can do more, inajenga picha ya kidiplomasia kwamba we care for our allies and so on. Sasa msaada wa aina hii hata siku tukipata shida watatusaidia mara 10 yake even if it means military support!!

Nakumbuka Turkey waliwahi tuma wanajeshi kupigana South Korea so hao Korea walipoona tetemeko walikua Moja ya nchi za kwanza kabisa kutuma askari wake kwenda kufanya rescue na ndege zilizosheheni misaada ya kibinadamu!!

Nashangaa mtu makini kama wewe huelewi basics za economic diplomacy!!
 
Pesa za Umma ziheshimiwe. Kila siku mnatembeza bakuli, mkizipata mnaziiba na kuzitapanya kama karanga!!!!

Kuna Watu wanalala njaa, Leo wasikize Serikali inasaidia matajiri wataelewa nn!!!
Wataelewa siku wakipata shida..... Mind you Nyerere aliwahi saidia nchi za Africa mpaka Biafra, Saharawi, sauzi, msumbiji, kwani tulikua matajiri??

Diplomasia ni akili kubwa sio utajiri.
 
Mleta mada ni mjinga, bila kututajia waliokasirika naongezea tena, mleta uzi ni mpumbavu

Nathibitisha tena kwamba, mleta uzi ni miongoni mwa watanzania wajinga na wenye mwelekeo wa udiniudini tuu!

Kwani hakuna aliyenuna wahanga kupewa msaada! Ila kuna hoja jadidi kuhusu hilo iwapo kweli nasi twaweza kutoa msaada!

Ukimuuliza hata yeye mleta uzi kwamba, Tanzania inaweza bila kuwezeshwa? Bado atakwambia tunahitaji misaada mingi tu bila idadi kwa sababu sisi huwenda ndo tunahitaji msaada kuliko hata wahanga wa tetemeko

Kwakifupi ni taila?
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
 
Tunakosoa sana tu unless hufuatilii thread zetu humu, tatizo ni Hawa sukuma gang wao wanapinga Kila kitu kisa tu aliyefanya sio JPM. Unadhani angetoa hizo pesa JPM asingesifiwa kuwa kavunja rekodi Tanzania kuwa donor country!?
Hilo la kupinga kila kitu tulizowea kusikia wakiambiwa chadema kuwa ndio wapingaji wa kila kitu tokea kipindi cha Kikwete huko ila sasa hivi Sukuma gang wanaonekana ni wapingaji wa kila kitu na sio chadema tena, yani kuna wakati hata wale chadema kabisa wanajikuta wanaitwa sukuma gang kwa sababu ya kukosoa baadhi ya mambo kama maridhiano.

Lakini pia hizo hela angetoa Magufuli nyie mngemkosoa kwa sababu hakuwa na jema kwenu.
 
Hilo la kupinga kila kitu tulizowea kusikia wakiambiwa chadema kuwa ndio wapingaji wa kila kitu tokea kipindi cha Kikwete huko ila sasa hivi Sukuma gang wanaonekana ni wapingaji wa kila kitu na sio chadema tena, yani kuna wakati hata wale chadema kabisa wanajikuta wanaitwa sukuma gang kwa sababu ya kukosoa baadhi ya mambo kama maridhiano.

Lakini pia hizo hela angetoa Magufuli nyie mngemkosoa kwa sababu hakuwa na jema kwenu.
Wanyamulenge mna roho mbaya sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Wakasirishwe Kwa Ajili ya Msaada ? Huo si utaahira Sasa.
 
Lakini pia hizo hela angetoa Magufuli nyie mngemkosoa kwa sababu hakuwa na jema kwenu.
Okay ila sukuma gang wangemsifia si ndio? Hapo hauoni unafiki wao??
Hilo la kupinga kila kitu tulizowea kusikia wakiambiwa chadema kuwa ndio wapingaji wa kila kitu tokea kipindi cha Kikwete
Waliokua wanasema Chadema wanapinga Kila kitu ni sukuma gang sio wananchi!! Maana upinzani obviously watapinga ujinga wa chama tawala it's not news.


yani kuna wakati hata wale chadema kabisa wanajikuta wanaitwa sukuma gang kwa sababu ya kukosoa baadhi ya mambo kama maridhiano.
Yes kama ambavyo hata sie Wana Chadema tukisifia tu zuri la Samia tunaambiwa tumelamba asali na kejeli kama hizo.

Nadhani hii perception ipo humu JF miaka yote.....ilikua ukimkosoa JPM unaitwa Chadema au Fisadi at the same time ukimsifia JPM utaitwa Sukuma gang!! It goes to show hatuna political tolerance ila Mama Samia anaturejesha kwenye mstari wa kukosoana hata kama upo chama kile kile (Refer Lema na Lissu kumpinga Mbowe) and kumsifia hata kama yupo chama kingine (Mbowe kumpongeza Samia).

Otherwise sukuma gang wanapinga sababu JPM sio RAIS
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Kwani lilitokea Jana au juzi kwanza tulisha lisahau ndio nasikia msaada sikuzote zile mlikuwa wapi
 
Back
Top Bottom