Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

Unaambiwa usitoe msaada kuliko uwezo wako.

Turkey aihitaji msaada wa Tanzania; katika hali waliyanayo leo wanaweza ipa Tanzania ata $100 million na isiathiri chochote kwenye mipango yao ya kujenga maeneo yaliyoharibika wala kwenye kuwaangalia wahanga kwa sasa.

Contrary, Tanzania $1 million moja ikitumiwa vizuri inasaidia watu kadhaa kwenye kutatua shida zao na kuwaboroshea.

It’s about the ethics of what is morally right; ni sawa na kwenda kuchangia kikombe cha maji kwenye mto, hakuna impact yoyote. Wakati aliechota hayo maji alitembea kilometer kadhaa kujaza ndo moja tu nyumbani.
Nimejiuliza inawezaka azam ndio kamshauli mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakifupi ni taila?
Na waweza kuta hajui ata kula nini jioni yaleo yuko anashingilia msaada kutoka mamaake mkubwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio nchi yangu sa nitafanyaje jamani
 
Unaambiwa usitoe msaada kuliko uwezo wako.

Turkey aihitaji msaada wa Tanzania; katika hali waliyanayo leo wanaweza ipa Tanzania ata $100 million na isiathiri chochote kwenye mipango yao ya kujenga maeneo yaliyoharibika wala kwenye kuwaangalia wahanga kwa sasa.

Contrary, Tanzania $1 million moja ikitumiwa vizuri inasaidia watu kadhaa kwenye kutatua shida zao na kuwaboroshea.

It’s about the ethics of what is morally right; ni sawa na kwenda kuchangia kikombe cha maji kwenye mto, hakuna impact yoyote. Wakati aliechota hayo maji alitembea kilometer kadhaa kujaza ndo moja tu nyumbani.
Wewe jamaa una IQ kubwa sana tatizo unaejadiliana nae ni kilaza kwahiyo hamuwezi kua sawa kifikra na maono. Nadhani mjadala umeumaliza tayari.
 
Okay ila sukuma gang wangemsifia si ndio? Hapo hauoni unafiki wao??

Waliokua wanasema Chadema wanapinga Kila kitu ni sukuma gang sio wananchi!! Maana upinzani obviously watapinga ujinga wa chama tawala it's not news.



Yes kama ambavyo hata sie Wana Chadema tukisifia tu zuri la Samia tunaambiwa tumelamba asali na kejeli kama hizo.

Nadhani hii perception ipo humu JF miaka yote.....ilikua ukimkosoa JPM unaitwa Chadema au Fisadi at the same time ukimsifia JPM utaitwa Sukuma gang!! It goes to show hatuna political tolerance ila Mama Samia anaturejesha kwenye mstari wa kukosoana hata kama upo chama kile kile (Refer Lema na Lissu kumpinga Mbowe) and kumsifia hata kama yupo chama kingine (Mbowe kumpongeza Samia).

Otherwise sukuma gang wanapinga sababu JPM sio RAIS
Narudia tena kuwa chadema walikuwa wapingaji wa kila kitu toka kipindi cha Kikwete, wakati wa Magufuli ndio wakazidi kabisa. Sasa toka afariki Magufuli wakosoaji wa sasa wanaitwa sukuma gang yani siku hizi hakuna tena chadema bali ni sukuma ndio ambao wanakosoa tu hawampongezi Rais tofauti na Chadema ambao si tu hawapingi kila kitu kama zamani bali kukosoa wamewaachia sukuma gang kabisa.
 
chadema walikuwa wapingaji wa kila kitu toka kipindi cha Kikwete, wakati wa Magufuli ndio wakazidi kabisa.
Basi itakua ulikua sukuma gang maana majority ya waTanzania wanajua Chadema ni chama Cha upinzani and obviously watapinga sera mbovu za CCM.
Sasa toka afariki Magufuli wakosoaji wa sasa wanaitwa sukuma gang
Wanaitwa hivyo sababu ukisoma post zao humu walikua wanamsifia sana JPM akiwa Rais mfano takwimu za TRA, ujenzi wa miradi n.k ila mambo hayo hayo yakifanywa na Samia utasikia takwimu za uongo, mara sijui miradi unapigwa Hela hata kama umemalizika!! Hiyo double standard Yao ndio imetufanya tuseme wanapinga Kila kitu.
tofauti na Chadema ambao si tu hawapingi kila kitu kama zamani bali kukosoa wamewaachia sukuma gang kabisa.
Sio kweli, tatizo wapinzani wakikosoa utawala wa JPM haraka haraka mnasema wamelamba asali as if mmeambiwa yeyote anayemchukia JPM basi anampenda Samia!! What the hell?? Msifungamanishe haya mambo otherwise tafuta thread zote zinazoongelea mikopo, bando, gharama za maisha, na teuzi uniambie wapi Kuna mpinzani kamsifia Mama Samia ukipata hata moja najiondoa JF.
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Mhhh mama ndo nani?
 
Ni wapuuzi wanaokandia serikali kusaidia Turkey kwenye maafa yaliyowakumba.

Kutoa ni moyo usambe si utajiri.

Uturuki imekumbwa na maafa ya kutisha nini mbaya TZ kuwapa mkono wa Pole?
 
Ni juzi tu hapa tukaambiwa serikali haina budget ya kutosha kukopesha wanafunzi wote wenye sifa ya kukopeshwa na loarn board hivyo wakakopeshwa nusu. Leo tunapeleka msaada utiruki. Ngozi nyeusi ni shida
 
Sasa unakopa halafu mkopo unatoa msaada kwa wengine?
 
Napenda aikumbuke Syria, imekuwa na uhitaji zaidi, suala la ubinadamu si vinginevyo!
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Kama rambirambi tuu za watanzania waliojitolea kwa wahanga pale kagera walikula zote ndo waje wafurahii pesa za wahanga wa tetemeko uturuki?
 
Basi itakua ulikua sukuma gang maana majority ya waTanzania wanajua Chadema ni chama Cha upinzani and obviously watapinga sera mbovu za CCM.

Wanaitwa hivyo sababu ukisoma post zao humu walikua wanamsifia sana JPM akiwa Rais mfano takwimu za TRA, ujenzi wa miradi n.k ila mambo hayo hayo yakifanywa na Samia utasikia takwimu za uongo, mara sijui miradi unapigwa Hela hata kama umemalizika!! Hiyo double standard Yao ndio imetufanya tuseme wanapinga Kila kitu.

Sio kweli, tatizo wapinzani wakikosoa utawala wa JPM haraka haraka mnasema wamelamba asali as if mmeambiwa yeyote anayemchukia JPM basi anampenda Samia!! What the hell?? Msifungamanishe haya mambo otherwise tafuta thread zote zinazoongelea mikopo, bando, gharama za maisha, na teuzi uniambie wapi Kuna mpinzani kamsifia Mama Samia ukipata hata moja najiondoa JF.
Yani bado unazungumzia kukosoa utawala wa JPM? Ndio maana nasema sasa hivi sukuma gang ndio wapinzani maana ndio wenye kukosoa utawala uliyopo.
 
Ni wapuuzi wanaokandia serikali kusaidia Turkey kwenye maafa yaliyowakumba.

Kutoa ni moyo usambe si utajiri.

Uturuki imekumbwa na maafa ya kutisha nini mbaya TZ kuwapa mkono wa Pole?
Kumpa mtu kitu pale ambapo hakuwa na huo uhitaji sidhani kama ni sahihi kuita msaada.
 
Yani bado unazungumzia kukosoa utawala wa JPM? Ndio maana nasema sasa hivi sukuma gang ndio wapinzani maana ndio wenye kukosoa utawala uliyopo.
Kipindi Cha JPM Kila aliyekua anamkosoa mlisema ni fisadi wa enzi za JK sijui Team Msoga kwani Rais alikua JK? Wembe ule ule mliomnyolea JK ndio unatumika kwenu.

So vumilieni tu maiti yenu ikikosolewa.
 
Kumpa mtu kitu pale ambapo hakuwa na huo uhitaji sidhani kama ni sahihi kuita msaada.
Nani kasema Hana huhitaji? Kwani matajiri huwa hawapewi salamu za rambirambi? Au umewahi ona harusi ya tajiri watu hawatoi zawadi kisa ana pesa?

It's economic diplomacy maana Turkey ni business partner. Haya mambo kama ni sukuma gang huwezi elewa.
 
Kipindi Cha JPM Kila aliyekua anamkosoa mlisema ni fisadi wa enzi za JK sijui Team Msoga kwani Rais alikua JK? Wembe ule ule mliomnyolea JK ndio unatumika kwenu.

So vumilieni tu maiti yenu ikikosolewa.
Unakosoa maiti na kuwaacha waliyohai? Hii inaonyesha hamkuwa mkimkosoa kwa maana ya kukosoa na hapo hiyo hoja ya mafisadi wa enzi za JK ndio inapata nguvu.
 
Back
Top Bottom