Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

Mliokasirishwa kuhusu Rais Samia kutoa msaada Uturuki hii sio awamu ya Magufuli

Suala la kuipa Turkey msaada ni suala la ubinadamu zaidi kuliko kuwanacho au kutokuwa nacho, ni suala la kuwekeza wema na kwenda zako huku pengine ukitaraji matunda yake hapo baadaye bila kutaraji, ni suala la kuonyesha huzuni na kuguswa na shida za watu, huwezi kwenda msibani mikono mitupu ni ama ujitoe kwa hali au mali nasi tumeweza kujitoa kwa mali-pesa hiyo "kidogo" $1M kulinganisha na nchi zingine, kumbuka dunia ni hii moja tunayoishi leo kwake kesho ni kwako basi kuwekeza hisani ni akiba msibani japo sio leo.
Mwisho wa siku mijadala kama hii arguments zake huwa ni philosophical.

Naweza kuona mantiki ya hoja yako but $1 million dollar kwa Turkey aina impact kwenye kutatua changamoto zao na wao wenyewe wanao uwezo.

Si ajabu ata huyo balozi akaambiwa aiache hapo hapo itumike kwa shughuli za kuendeshea ubalozi tu.

Kwa upande wa watanzania huo msaada unazua maswali ya ‘conflicting duties’ (deontological ethics).

Kinachoangaliwa hapo kipi ni hatua sahihi given choices; mfano je ni haki serikali kuipatia $1 million uturuki kwa sasa ambayo tayari imefikisha $50 billion+ kwenye kukabiliana na maafa na serikali yao ina uwezo wa kumudu $82 billion estimated cost to rebuild.

Au? hela hiyo $1 million itumike ata kama kuwatua wamama 100 safari ya kilometer 10 kwenda na kurudi kufuata maji tu; ukizangatia anaetoa hiyo hela ni kiongozi wa hao maskini na yeye maisha yake sio ya shida kama watu anaowaongoza.

Ndio swala lilipo, it’s not rocket science logic kuona busara ni Tanzania kutoa ‘moral support’ ya maneno tu inatosha, kuliko mchango wa hela ambao auna impact wowote kwao na kwa kufanya ivyo ni kama dharau kwa shida za maskini tuliojaa Tanzania.
 
Mwisho wa siku mijadala kama hii arguments zake huwa ni philosophical.

Naweza kuona mantiki ya hoja yako but $1 million dollar kwa Turkey aina impact kwenye kutatua changamoto zao na wao wenyewe wanao uwezo.

Si ajabu ata huyo balozi akaambiwa aiache hapo hapo itumike kwa shughuli za kuendeshea ubalozi tu.

Kwa upande wa watanzania huo msaada unazua maswali ya ‘conflicting duties’ (deontological ethics).

Kinachoangaliwa hapo kipi ni hatua sahihi given choices; mfano je ni haki serikali kuipatia $1 million uturuki kwa sasa ambayo tayari imefikisha $50 billion+ kwenye kukabiliana na maafa na serikali yao ina uwezo wa kumudu $82 billion estimated cost to rebuild.

Au? hela hiyo $1 million itumike ata kama kuwatua wamama 100 safari ya kilometer 10 kwenda na kurudi kufuata maji tu; ukizangatia anaetoa hiyo hela ni kiongozi wa hao maskini na yeye maisha yake sio ya shida kama watu anaowaongoza.

Ndio swala lilipo, it’s not rocket science logic kuona busara ni Tanzania kutoa ‘moral support’ ya maneno tu inatosha, kuliko mchango wa hela ambao auna impact wowote kwao na kwa kufanya ivyo ni kama dharau kwa shida za maskini tuliojaa Tanzania.


Hayo ni maoni yako kwamba hiyo hela haina impact kwa Uturuki, swali ni je wameipokea au laa??, wao pia wanajua haba na haba hujaza-----.

Kuwatua akina mama 1000 ndoo vichwani sio sawa sawa na kuuguza maelfu ya binadamu waliolazwa mahospitalini ambao maisha yao yanategemea juhudi za madaktari wanaowatibu, mchango wa Tz ni kuonyesha "humanity first", sasa ni suala la humanity na priorities.

Binadamu lazima tuongozwe na rational na sio insticts na tuwekeze wema ili hapo baadaye ikitokea tuweze kuvuna wema zaidi, ninakuambia hiyo $1m mnayoipigia kelele leo kuna siku itazaa milions of dollars kutoka huko Turkey na hapo ndipo mtajua maana ya investiment of wema for the futures.

That is the art of moral investiment and you need not be a particle physicist to understand it.
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Naunga mkono hoja ya mama kitoa msaada ni jambo la heri pia ni thawabu kwa Mungu maana biblia inasema heri kutoa kuliko kupokea.

Tatizo lako ulipoanza hbr za mwendazake hapo ndo unakosea next time usirudie tena.
Kila kiongoz ana ubora na udhaifu wake acha kabisa hizo hbr zako.
 
huu msaada ni wa kipuzi na haidhuru huenda ni another spin-off wananchi wasiweze kujadili mambo ya maana yanayotukabili. ktk ile earthequake muathirika na alitelekekezwa ni msiria ya Damescus. Kama kweli serikali inajali utu na ubinadamu ingeelekeza misaada huko kwa Bashar al Assad.
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Baba akiwa hana hela na kama wakiwa na mtoko na mama na watoto na mama ndiye mwenye hela basi Mama mwenye hekima atahakikisha anampatia hela kabisa Baba wakiwa nyumbani wakifika kwenye hotel basi mama atasema Baba tunaomba ulipe, wananchi waliokaribu watasema du baba ndiye mwenye hela ila aliyetoa hela ni Mama. GSM, Feza, etc mchango wa pamoja peleka kama bongo hahahahahahaha ni heshima kubwa!
 
Nchi inaugulia ugumu wa maisha miundo mbinu mibovu kila sehemu hovyo imebaki kujisifia tu ,,,,no bora angepeleka hata msaada wa chakula kupitia hazina ya taifa sio hela anazokopa afu anaenda kutoa msaada!!
 
Billion 2 si ni 0.001 ya makusanyo ya ndani hivi kweli inahitaji kukopwa hiyo?
Punguzeni chuki sukuma gang
Ina maana siku hizi Chadema sio wamepumzika kupinga na kukosoa na kuwaachia sukuma gang? Maana kila anayekosoa ni sukuma gang tofauti na mwanzo ilikuwa chadema.
 
Mwisho wa siku mijadala kama hii arguments zake huwa ni philosophical.

Naweza kuona mantiki ya hoja yako but $1 million dollar kwa Turkey aina impact kwenye kutatua changamoto zao na wao wenyewe wanao uwezo.

Si ajabu ata huyo balozi akaambiwa aiache hapo hapo itumike kwa shughuli za kuendeshea ubalozi tu.

Kwa upande wa watanzania huo msaada unazua maswali ya ‘conflicting duties’ (deontological ethics).

Kinachoangaliwa hapo kipi ni hatua sahihi given choices; mfano je ni haki serikali kuipatia $1 million uturuki kwa sasa ambayo tayari imefikisha $50 billion+ kwenye kukabiliana na maafa na serikali yao ina uwezo wa kumudu $82 billion estimated cost to rebuild.

Au? hela hiyo $1 million itumike ata kama kuwatua wamama 100 safari ya kilometer 10 kwenda na kurudi kufuata maji tu; ukizangatia anaetoa hiyo hela ni kiongozi wa hao maskini na yeye maisha yake sio ya shida kama watu anaowaongoza.

Ndio swala lilipo, it’s not rocket science logic kuona busara ni Tanzania kutoa ‘moral support’ ya maneno tu inatosha, kuliko mchango wa hela ambao auna impact wowote kwao na kwa kufanya ivyo ni kama dharau kwa shida za maskini tuliojaa Tanzania.
Hapo Bukoba tumepata aibu ya mwaka ndege inaanguka ziwani inavutwa kwa kamba hakuna kikosi cha uokoaji.

Wala hakuna vifaa vya uokoaji.

Badala ya kutumia hizo fedha kuimprove uwezo wetu wa uokoaji tunakalia sifa tu.
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Bila kumtaja Magufuli vibaya Naona mioyo yenu haiwi na Amani.
Mbona usimtaje Hata Raisi mwingine. Maana Hakuna Raisi Tz ashawahi donate pesa
 
Hapo Bukoba tumepata aibu ya mwaka ndege inaanguka ziwani inavutwa kwa kamba hakuna kikosi cha uokoaji.

Wala hakuna vifaa vya uokoaji.

Badala ya kutumia hizo fedha kuimprove uwezo wetu wa uokoaji tunakalia sifa tu.
Baada ya hapo wakapiga porojo zao za siasa sijui kuongeza runway na kupeleka vifaa vya kukabiliana na maafa si ajabu ukienda hakuna kilichofanywa na washasau ni ajali nyingine tu kazini kwa upande.

Halafu wanapeleka msaada nchi ambayo tayari ishamaliza hatua za dharura za maafa yao.

7FE75E00-C356-475F-96F9-91476860E9A7.jpeg

Hizo ndio kambi za wahanga wa tetemeko leo, kuna kila kitu na pembeni kuna migahawa ya serikali inatoa chakula bure kwa siku mara tatu.

Ukiona mtu analala kwenye tent ovyo huko elewa kuna wabishi awataki kutoka maeneo ambayo nyumba zao zimeanguka kwa ivyo hizo tabu ni kwa ridhaa zao wenyewe.

06E2208A-6D63-47C2-8354-37AF20031396.jpeg


Serikali yao imeanza mpango wa kujenga karibu nyumba laki tano kuwapa wahanga wote na ziada juu.

Sasa wewe hiyo $1 millioni moja yako ina faida gani, bora ata wangeitoa kimya kuliko kututangazia maana ni kuchezea tu hela kwa nchi maskini.
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Ndugu yangu hakuna jambo ambolo m Bongo hatalikosoa. Ingetokea nchi jirani kutoa huo msaada kwa Uturuki ungesikia jinsi wangesifia na kukosoa Serikali kuwa haifanyi kama wenzetu. M Bongo hata apewe yeye msaada wa mchele bado atakosoa kuwa kapewa mchele wa Ifakara badala ya Kyela
 
Baba akiwa hana hela na kama wakiwa na mtoko na mama na watoto na mama ndiye mwenye hela basi Mama mwenye hekima atahakikisha anampatia hela kabisa Baba wakiwa nyumbani wakifika kwenye hotel basi mama atasema Baba tunaomba ulipe, wananchi waliokaribu watasema du baba ndiye mwenye hela ila aliyetoa hela ni Mama. GSM, Feza, etc mchango wa pamoja peleka kama bongo hahahahahahaha ni heshima kubwa!
Kwa heshima na taadhima, kama unathamini utu wako badili User ID, kujiita chawa ni kiwango cha mwisho kabisa cha ubinadamu na kuthamini utu wako.

Rais ni wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, watu wasiokuwa na akili kama wewe ndio wanafanya Africa iitwe bara la Giza.
 
Hata Samia akigawa pesa Kwa wananchi. ..bado atatukanwa Tu na wafuasi wa lile kundi ...

Hata akigawa vipande vya Dhahabu Kwa kila Mtanzania bado lile kundi litamtukana tu
Mzee hatukatai hasigawe ila agawe kwa busara na aangalie pa kugawa sio kujikomba kwa majirani wakati wewe ni masikini yaani ata hela za kujenga vyooo unaomba alafu unataka kujikweza.
 
Hakuna tofauti na alichofanya mama ,kwa hali yetu hatujafikia kuwapa pesa Uturuki
Kwa hali yako umefikia kutoa nn kwa jirani mwenye msiba? Ni kipimo kipi huwa unatumia kusaidia majanga ya kawaida kabisa ya kijamii kwa waliokuzidi kipato?
 
Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.

Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.

Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?

Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."

Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??

Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Wewe mtoa mada unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwenye kuiwakilishi ukaiwakilisha kijinga na kipumbavu. Mwamba Magufuli umemuingiza humo kwanini? Kwani Mwamba Magufuli hakuwahi kutoa msaada Zambia wakati wa enzi zake? Yaani pamoja na kuwa aliishafariki bado mnamuogopa kihivyo?
 
Yule shetani alikula hela za rambirambi za wahanga wa tetemeko siwezi msamehe yule shetani.aliwachukia wahaya kwasababu walimzidi sana na wivu kwasababu walimchallenge kwa hoja na usomi wao maana mtaji wa yule kichaa ni watu wasio na elimu

Usoni usipokuwa na maendeleo,una faida gani?
Wahaya ni wajuaji sana,vitendo zero.
Bukoba mjini penyewe stendi mvua ikinyesha panajaa tope!
 
Watanzani waache roho mbaya huu sio wakati wa mwenda zake Mama ana utu na anaendelea kuimarisha diplomasia na mahusiano
Ana utu wapi?tungenunua vyakula kwa bei ghari?
Wakazi wa Bonde la Mto Msimbazi wanadhurumiwa Mali zao kwa kupewa fidia ndogo na wamelalamika kwenye vyombo vya habari,umemsikia akisema lolote?
Mtu ana nyumba ina vyumba kumi unamlipa milioni 18 kama fidia!,kuna nyumba ya milioni 18 maeneo ya katikati ya Jiji?
 
Back
Top Bottom