Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Upo kwenye hard time inabidi uipokee tu,tubu tu kwa Mola wako inatosha huwezi mlazimisha afute Hilo tukio mawazoni mwake
 
Maoni na comment kwenye mada hii ni kipimo tosha cha utakatifu kwa wengi!
Hizo dhambi zinazo semekena zimezidi kwenye jamii mbona hazilingani na maoni ya wengi?
Si wanasema mdomo hunena yaliyo moyoni, mbona kwenye mada hii utakatifu wa wadau ni mkubwa sana.
 
Mzazi kakosea sehemu za biashara unaleta nuksi.
Mungu uleta tukio kupitia Hilo tukio uache Tabia Fulani
Wadau wapo humu na huu uzi wameusoma haya matukio wanayajua mabwana wa mama zao wameishia waita uncle uncle ila wanajua siyo uncle ila hawawambiii baba zao maana mama zao wakorofi wanaishia kuumia kimya kimya
 
Sure, ishu hapa ni kumbembeleza na kumpetipeti mtoto kama mume!
Mtoto wa kumzaa amuweke kihoro kiasi hicho mzazi!
Kwanza huyu dogo hajawa mwanaume bado.
 
Sure, ishu hapa ni kumbembeleza na kumpetipeti mtoto kama mume!
Mtoto wa kumzaa amuweke kihoro kiasi hicho mzazi!
Kwanza huyu dogo hajawa mwanaume bado.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Siye hao tunawambia tuwaite uncle full stop, na michepuko ya baba tunaita anti unabaki unaumia tu rohoni ila mama na baba basi tu
 

Lipa tu gharama, mwite mumeo, na ukiri, uanaume alionao mumeo ndio anao mwanao, anaona Baba yake kazulumiwa. Sasa ngoja mtoto amwambie, itakuwa ngumu sana
 
Najua hilo kuna kipindi nilipuuza tuu. Ila si unajua yule ni mtoto wangu, sasa mahusiano naye yamekufa kabisa kwa sasa.

Nawaza sana sijui ananionaje mimi mama yake.

Anakuona Malaya, na wewe ni Malaya, na mchepuko ni mshenzy, ni watu wa aina gani mna tamaa kama ngurumwe au tu mbuzi? Mnalete balaa kwenye biashara!
 
Wadau wapo humu na huu uzi wameusoma haya matukio wanayajua mabwana wa mama zao wameishia waita uncle uncle ila wanajua siyo uncle ila hawawambiii baba zao maana mama zao wakorofi wanaishia kuumia kimya kimya
Wanawaharibu kisaikolojia watoto wao,zipo kesi za kina uncle kuuliwa na watoto wa michepuko Yao kwa kuwaletea dharau kisa wanawapanda mama zao.
Pana mpumbavu alionywa na watoto anawadhalilisha kuja kumpanda mama Yao Tena ndani ya nyumba Yao mpumbavu hakusikia Leo yupo kaburini.
Maandiko yanaposema ikimbieni zimaa waliona haya
 
Hapo mwanao hatakaa aamini wanawake sababu mamake tu ashamvunja moyo
Hapo anakuangalia anakuona kama kina gigy money na Paula wa kajala
Your browser is not able to display this video.
 
Wanawake mliko kwenye ndoa ni laana kuu kumcheat mume wako, sbb hamsikii, sasa mkija kung'olewa meno kwa koleo na kutobolewa macho na kisu, msije lete kelele, utulie kimya, juzi Arusha mwanamke kapasuliwa kisa kumcheat mume wake, nyie viume wanawake, mko ktk ndoa, unatafuta nn kwa mwanaume nje ya ndoa yako.

Mwanamke aliye katika ndoa ni laana kuu ku cheat, wewe subiri mume wako atajua, ndio utapata ulichokitafuta.
 
Asante kwa muhtasari kaka. Tunasubiria ripoti kamili.

Uongo umekithiri humu siku hizi
 
Kanisa tena!!!! [emoji2297] [emoji2297]
 
Huyo mtoto mwambie kuwa yule alokukuta naye ndo mdingi wake.
 
usaliti, usaliti, usaliti
Hekima za suleiman
"Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake Bali mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe"
 
Na Mimi nimeishtukia. Maana kuna point Uzi ni kama ume-terminate
Huyu ni mwanaume anaandika hivyo ili aonekane ni mwanamke anayeweza kumcheat mumewe watu waanze kumfuata inbox awatapeli. Mwanamke hawezi jisifia kua anamcheat mumewe alafu anajieleza sana ili tuamini stori ila hapo biashara inatangazwa ushoga haujifichi kabisa
 
Tatizo kubwa dago hawezi kujua kama baba anamridhisha mama.
Na ndio maana mama katoka nje ya ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…