herio
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,245
- 4,320
Anakuona malaya mbwaa weeeNajua hilo kuna kipindi nilipuuza tuu. Ila si unajua yule ni mtoto wangu, sasa mahusiano naye yamekufa kabisa kwa sasa.
Nawaza sana sijui ananionaje mimi mama yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuona malaya mbwaa weeeNajua hilo kuna kipindi nilipuuza tuu. Ila si unajua yule ni mtoto wangu, sasa mahusiano naye yamekufa kabisa kwa sasa.
Nawaza sana sijui ananionaje mimi mama yake.
Inategemea na standard za familia yao.Zee la miaka 26 linafanya nini nyumbani?
Nimekosoma mkuu. Kweli kiafrika kwa mtoto wa kiume kugundua mama yake anachepuka ni kitu kitamtafuna sana. Kumfahamu hawara wa mama ni kitu kibaya. Huyo jomba kumkuta mama yake anataka kuliwa mzigo ni doa kwenye maishaInategemea na standard za familia yao.
Kama wana jengo la kisasa lina suites za kutosha na lipo town kwanini aondoke?
Kumbuka hatujui kama bado anakaa home, tukio kaliona akiwa teenager, kapewa gari unaskia after 2 weeks karudisha. Chalii ni mwanaume wa shoka.
Kavumilia mengi kumuona tu bi mkubwa mapaja ndani ndani ni kalaana kiafrika, sasa umeona kajilegeza anashikwa analia ahsiii aiii bebi, na baba anaitwa bebi.
Mpaka unakaa sometimes unawaza dah dingi yangu ni fala, mama yangu kafanya ukaha** hii haina athari kiroho siku za mbele.
Ukute mijamaa inayokataa mwanamke kuendelea na kazi baada ya kuolewa waliona movie kama hii vividly kwa familia.
Kuna wanawake wapumbavu mno. Wewe ukiwemo
Huu ni unyanyasajiSisi watoto wakiume hatupendi kuwa na Baba wawili, ila kuwa na Mama wawili haitumii.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Yaani so sad haya mambo ya Wanawake huwa yanachanganya sana sijui kwann huwa wanaingia kwenye huu mtego?Daa hii kitu kinanikumbusha issue ya rafiki yangu mmoja wa church.
Daaa wao kwao wapo 4.
Sasa mama yao kipindi kapata ujauzito wa nne mpaka kujifungua.
Baba yao ni mtu wa kusafiri sana.
Sasa dogo kipindi anakuwa mtoto wake wa kwanza wa kiume akaanza kumfananisha na mzee wa kanisa. Kadri anavyokuwa yule mtoto kweli alifanana na mzee wa kanisa , Baba yao hakushituka .
Ila mtoto wa kwanza wa kiume alishituka.
Daaa mwishowe alishidwa kuvumilia si akamwambia Baba yake, kuwa huyu mdogo wetu mimi namfananisha na mzee wa kanisa.
Baba yake kuangalia vizuri akaona kweli kabisa.
Mwishowe ndoa ilivunjika maana mkewe alizaa nje.
Mama sisi wanaume tunawivu sana, sawa na mwanaume akioa single mother mwenye mtoto wa kiume , huyo mtoto ni ngumu kumpemda step father maana anaona kama unamla mama yake. Hasa baba yake mzazi akiwa hai , atakuchukia tuu.
Pole mama. Ngoja waje watu wazima watakushauri.
Abdallah Yandile amekasirika nini tena?