Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Weeee thubutu, usijaribu dadaangu, huyo mtoto ulishamuomba msamaha sana....kama hataki we acha tu

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Mtoto hatamsamehe kama baba hajasamehe, kikubwa ajitoe mhanga hata kama ndoa itavunjika basi itakua ndio malipo yake ila ataishi kwa amani kwakua ameshatoa ya moyoni. Hata hivyo kama mzee ameshatilia wasiwasi akiongea vizuri na huyo mtoto lazima ipo siku atamfungukia tu na yatakua makubwa zaidi.
 
Ukitekeleza hili jua ndo imekwisha, weka uso mdudu na dogo mwache ajishongondoe.Kwa kuwa kama kweli umeacha acha maisha yaendelee yalivyo na usipoteze muda kumbembeleza utashtukiwa zaidi
Na dogo lazima ipo siku atafunguka tu
 
Mke wangu nahisi atakuja nifanyia huu ujinga tokea apate kazi ,naona changamoto sana ,ila acha nitafute plan B kwanza
 
Hizi stori mbona kama tunapangwa..msije kuwa mnatunga stori huko..then mnawachora watu wanavyochangia..
 
Labda dogo anayajua mabaya yako mengi.
Na changamoto dogo ni wale dady father hapo lazima unyooke na vile unamdekeza ndo kabisaa.

Anza wewe kumwambia mumeo kisa cha yeye kukuchukia, edit story iwe upande wako.

Hilo la kuhusisha sijui wazee gani itakua sio siri tena, utafanya dogo aropoke hata yale uliyodhani hajui ili tu akushinde kwa hoja.
Ni bora mkalimaliza kifammilia kuliko kulipeleka nje.
Na jambo hilo limeshapoa.


Na kibaya zaidi unasema eti dogo hawezi kumwambia baba yake, ni bora ukae tayari na uongo wako at anytime bomu linalipuka huyo mtoto sio wa kumuamini kiasi hicho, likimshinda anamwambia yeyote tu.

Sasa uchague kipi bora, mumeo asikie huko nje wewe uje kufanya utetezi au umwambie wewe dogo aje kufanya utetezi.

Mungu huwafundisha wanawake uaminifu kwa njia ngumu sana.
Wewe ni wa pili wiki hii kuleta uzi mkijutia na kuacha uzinzi.

Pole sana, naamini mwanamke hakuumbwa kwa ajili hiyo ndio maana majanga yenu huwa ni makubwa na yanawaathiri sana kihisia.
 
Kama umevumilia miaka yote hiyo Kumi na yeye mwanao ashafika umri wa kuwa na familia yake usisubutu kufungua mdomo wako kwa mumeo labda kama unataka kutubu na ndoa iishie hapo sawa ila kama unaitaka ndoa ww endelea kukakaa kimya na usitumie nguvu sana kuweka mambo sawa kwa mwanao ataoa mda si mrefu anaelewa kuwa kwenye ndoa huwa Kuna kipindi Cha tope vumbi na Kila aina ya rangi na ww utabakibna mumeo maisha yatasonga kosa lako lilikuwa kutumia nguvu mtoto akusamehe au muelewana tena huyo ndio mzuri hajawa mnafiki kwako wala kwa baba yake vinginevyo mngerekebisha na mzee angejua ndio ungekuwa balaa kwa wote ww na mwanao mwanao amekusadia kukaa mbali na maujinga Yako ww muheshimu kwa Hilo unavyotaka awe ni kuwa mwanaume mjinga mtoto wa kiume anayejitambua na anatajia kuwa baba kesho hawezi kumsaliti baba yake kijinga kwa makosa ya mama yake
Unadhani kwa hilo tukio dogo ataoa hivi karibuni?? Mama yake tu anazagamuliwa dukani tena bila hata kufunga milango, mtu mzima kabisa tena mwanakitengo.

Aje amuamini mwajuma ndala ndefu na amuoe kabisa, sijui labda ***** atuambie kama mwanae ana hata mchumba kamtambulisha.
 
Mtafutie I kazi aondoke nyumbani huyo ni grown man ,halafu hata kama akisema kataa usije ukakubali maadamu ulishaacha huo upuuzi,ila huyo mtoto hawezi kukupenda tena,SI mtu wa kudanganyika na vitu vidogo vidogo ,ila hataweza kusema Hilo jambo ni ngumu ila huenda likamfanya asipende wanawake na kuwaamini tena maishani mwake,mtafutie msaikolojia ,umempa mzigo mkubwa sana.chunguza kama unaona anagirl friend utanipa mrejesho
 
Habari za jioni.

Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.

Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume(my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu nilikutananae kwenye kikao vya ofisini.

Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wanawivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana , so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani , nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka mda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani , sasa kwenye duka kuna ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja ujarudishiwa mpaka chini kabisa so akajua kuna mtu ndani. Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga , nilishituka sana mpaka kumtuja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale , isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje , japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.

Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho , nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha. Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote .

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atajamaza tuu , yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu niliasiseme nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa aninichukia sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio. Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana. Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital. Mara nyingi tukiwa pekeetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisahame nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana. Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu hanasema tuu mimi nipo sawa mama. Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake uwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake anagari , na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu , kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari , nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu Asante akachukua.

Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani ajariendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tu. Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa anaumri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia mda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu hajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado anahasira nami.

SASA JAMANI Naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kinywa , mume wangu atajua tuu **** something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tu. Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke, tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tu.

Msaada wa mawazo Nahitaji.

Uliyakoroga, yanywe tu. Maana umesema ni kawaida yako kuchepuka. Ina maana ulijua unamtenda mume, sasa karma inadeal na wewe. Mwanao kaona upupu wako, zengwe lako.
 
zambi ya kuzini ni hatari kwani ni sumu katika familia,mtoto ana fikiria vingi katika maisha yake kwani umri wake ni mtu mzima, ana anza kujifikiri ,je yeye kweli ni damu ya mzee wake?, je ndugu zake kweli ni damu ya mzee wake!? kwani mpaka una amua kuzini dukani ana ona kuna kitu hakipo sawa,kiufupi umemuathiri kisaikolojia,kiufupi hakuna siri ya watu wawili ipo siku itabumbuluka tu ,labda atakaa kimya kuinusuru ndoa yenu .pole sana mshangazi
 
Nipe namba ya huyo mwanao. Mimi n mtaalamu wa Saikolojia. Njoo Pm
 
Ulikosea.
Najua unachotamani ni mumeo afe ili uwe huru.

Achana na hisia mbovu. Fanya kazi zako siku likisanuka ukatae kwa kila hali, usijaribu kuwahusisha watu wengine.

Sasa uache uasherati.
 
Mtoto katumia akili sana kumnyoosha mama ake aache umalaya Kwny ndoa yake
Hajaacha mkuu, amesema ni kawaida yake, ushahidi kuwa hajaacha umalaya ni kutokana na kumlaghai mwanae na vizawadi had leo hii, mtoto kumlia buyu had leo hii,na kushirikiana na yule mchepu kumhonga milion kijana wake, mwisho kijana ameshamsoma mamaake ni "pritenda" kwa babaake, Angekua ameacha asingeona thaman ya kumhonga honga mwanae, angekua na akili ya kujua kakosea na angekua keshapata suluhisho ndani ya mwaka uleule alipofumaniwa, hivyo mtoto amekua "ndani" ya upendo fake anaouona waziwazi kwa mamaake...ndio maana hana furaha hadi leo, tofauti na hapo..hii itakua "chai ya asali" ni tamu ila haina utamuchai wenyewe
 
Ulikosea.
Najua unachotamani ni mumeo afe ili uwe huru.

Achana na hisia mbovu. Fanya kazi zako siku likisanuka ukatae kwa kila hali, usijaribu kuwahusisha watu wengine.

Sasa uache uasherati.
Wewe unafikiri hata akikataa ndo ataaminika kwa familia na mumewe?.
Yaani unadhani familia na mume wanaweza kudhani eti Mtoto anamsingizia mama Uzinifu na kitu kikubwa kama hicho?. Kila mtu ataside na mtoto maana hawawezi kuamini eti mtoto kaliibua hilo hivihivi. Ni ngumu sana mtoto wa kiume kumzushia mama yake kitu kama hicho.

Halafu hata akikataa, imani ya mume na familia kwake haitokuwepo na isitoshe mume atauliza mtoto kakusingizia hili ili iweje?, na atavuta memory uhusiano mbovu wa mtoto kwa mama yake ataconnect dots
 
Kama watu wote wa wizarani wanaandika kindezi kama wewe, bas ndo maana hii nchi inaliwa kiboya.
Subiri siku yako mumeo akiwa anakukata mapanga af dogo kashika miguu ili usikimbie.
Faken!
Khaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
M
Habari za jioni.

Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.

Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume(my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu nilikutananae kwenye kikao vya ofisini.

Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wanawivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana , so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani , nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka mda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani , sasa kwenye duka kuna ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja ujarudishiwa mpaka chini kabisa so akajua kuna mtu ndani. Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga , nilishituka sana mpaka kumtuja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale , isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje , japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.

Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho , nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha. Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote .

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atajamaza tuu , yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu niliasiseme nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa aninichukia sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio. Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana. Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital. Mara nyingi tukiwa pekeetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisahame nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana. Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu hanasema tuu mimi nipo sawa mama. Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake uwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake anagari , na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu , kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari , nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu Asante akachukua.

Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani ajariendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tu. Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa anaumri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia mda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu hajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado anahasira nami.

SASA JAMANI Naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kinywa , mume wangu atajua tuu **** something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tu. Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke, tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tu.

Msaada wa mawazo Nahitaji
Ndiyo maana mimi huwa ninamuelewa sana Billionaire KIDUKULILO. Maandiko yake huwa ni tiba kwa wenye msongo wa mawazo.
Kwa uandishi huu kweli,halafu unafanya kazi wapi?

Basi sawa,huyo kijana wako km ni kweli,siyo kwamba anakuchukia wewe tu,bali wanawake wote na hatakuja kuoa kutokana na upuuzi wako uliofanya. Hana imani na mwanamke yeyote ikiwa mama yake aliweza kufanyia ufusika ofisini kwake (chumbani kwa mme wake), ni mwanamke gani tena atamuamini kuliko mama yake.

Hilo unalosema kuwa ni tatizo siyo tatizo bali tatizo kubwa zaidi ni hili;
1; Umemsababishia mtoto wako tatizo la kisaikolojia,mtafutie matibabu na huo ndo mshahara wa dhambi.
 
S
Daa hii kitu kinanikumbusha issue ya rafiki yangu mmoja wa church.
Daaa wao kwao wapo 4.

Sasa mama yao kipindi kapata ujauzito wa nne mpaka kujifungua.
Baba yao ni mtu wa kusafiri sana.
Sasa dogo kipindi anakuwa mtoto wake wa kwanza wa kiume akaanza kumfananisha na mzee wa kanisa. Kadri anavyokuwa yule mtoto kweli alifanana na mzee wa kanisa , Baba yao hakushituka .
Ila mtoto wa kwanza wa kiume alishituka.
Daaa mwishowe alishidwa kuvumilia si akamwambia Baba yake, kuwa huyu mdogo wetu mimi namfananisha na mzee wa kanisa.
Baba yake kuangalia vizuri akaona kweli kabisa.

Mwishowe ndoa ilivunjika maana mkewe alizaa nje.

Mama sisi wanaume tunawivu sana, sawa na mwanaume akioa single mother mwenye mtoto wa kiume , huyo mtoto ni ngumu kumpemda step father maana anaona kama unamla mama yake. Hasa baba yake mzazi akiwa hai , atakuchukia tuu.
Pole mama. Ngoja waje watu wazima watakushauri.
Siyo wivu,wanaume hatupendi kudharauliwa hasa na mke. Kufikia kukufanyia hivyo ni kwamba amekuona wewe si lolote still bado yuko chini ya imaya yako.
 
Ulikosea.
Najua unachotamani ni mumeo afe ili uwe huru.

Achana na hisia mbovu. Fanya kazi zako siku likisanuka ukatae kwa kila hali, usijaribu kuwahusisha watu wengine.

Sasa uache uasherati.
Uko sahihi.Huyo mama anatamani mume afe tuu Ili awe huru moyoni.
 
Back
Top Bottom