Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Hizi thread za kuwacheat waume zenu mkikamatwa mnakuja kulia lia humu mbona nyingi sana siku hizi? Ni kama mko proud na mnachokifanya sio?

Kiukweli pambaneni na hali zenu, binafsi sinaga ushauri kwenye mambo kama haya.
Binafsi huwa natamani members wote wa MMU tukubaliane, mtu akishusha uzi kama huu comments zote jibu liwe ni " Sawa "
[emoji16][emoji16]
 
Ndo mana nimemwambia awe mpole, dogo nitakuja kumwambia ukwel ila cdhan kama ataweza kuhimili hili kama mimi. Ila kwa mzee acha iendelee kuwa siri tu.
Pia mwabie kuwa huyo anayejifanya shemeji kuwa , Baba kalea mtoto na kughalamia kwa pesa yake.
Hapo tunafanyaje sasa.
Muangalie atafanya nn
 
Ndo mana nimemwambia awe mpole, dogo nitakuja kumwambia ukwel ila cdhan kama ataweza kuhimili hili kama mimi. Ila kwa mzee acha iendelee kuwa siri tu.
Ukimwambia akiwa mkubwa huyo dogo nirahisi mwenyewe kubalance mambo kwa mzee wako na kwa huyo jamaa ili mzee wako asijue kabisa.
 
Mama ana heshima yake bana, mtoto wa kiume uje ujue kama mama yako mzazi analiwa na mijitu mingine huko ni dharau kubwa sana.
 
Habari za jioni.

Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.

Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume (my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu, nilikutana naye kwenye kikao vya ofisini.

Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wana wivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana, so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani, nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka muda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani, sasa kwenye duka kuna ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja haujarudishiwa mpaka chini kabisa, so akajua kuna mtu ndani. Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga, nilishituka sana mpaka kumtaja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale, isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje, japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.

Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho, nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha. Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote.

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atanyamaza tuu. Yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu ili asiseme, nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa ananichukia, sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio. Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana. Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital. Mara nyingi tukiwa peke yetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisamehe nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana. Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu anasema tuu mimi nipo sawa mama. Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake, huwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake ana gari na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu. Kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari, nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu asante akachukua.

Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani, hajaliendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tu. Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa ana umri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia muda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu ajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado ana hasira nami.

Sasa jamani naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kimya , mume wangu atajua tuu kuna something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tu. Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke, tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tu.

Msaada wa mawazo nahitaji.
Pole sana, hii sio situation ambayo mtu unaweza kutaka ikupate.

Mm kwa uono wangu, dogo anazidi kua na hasira unapozidi kujibaraguza baraguza. Miaka 10 ni mingi ulipaswa kua umeshajisamehe, umesahau hata mtoto nae angeshasahau. Unavyozidi kupambana kum plz unazidi kum remind na anahisi hata hizo zawadi na gari unazompa unapewa na michepuko yako.
Amerudisha hio gari maana anajiona mwenye hatia kuendesha gari ambalo mamaake amehongwa, anajiona anakua msaliti kwa baake mzazi.

Kitu kimoja nnachokijua ni kua despite all that, dogo anakupenda kama mamaake otherwise angesha choma utambi kwa babake ww ukapata haki ya usaliti wako.

Jisamehe, sahau. Usiongelee hilo suala kwa mtu au yy mwenyewe mtoto. Unadhani single mothers wanaishije na watoto wao ambao wanajua kabisa jamaa fulani ni boyfriend wa mama zao..

Ww una li amplify kila mara unapoliwaza na kulizungumzia kwa mtoto.

Asante [emoji120]
 
Hapo cha kufanya tafuta watu wenye hekima au wa kanisani, mwaga ukweli kama ulivyomwaga hapo, wakae waongee na mumeo naye ajue. Usubirie kitakachotokea, mume akikubali kukusamehe basi mtamjumuisha na mtoto kwenye mapatano hayo, nadhani hii itasaidia kuliko kukaa nayo moyoni, huenda ukaibua makubwa zaidi
Hapo mtoto pia umeshamuathiri kisaikolojia.
Huu ushauri usithubutu kuutumia, hivi waga mnawaamini vipi hao watu wa kanisani? Sijui wazee wa kanisa?

Kwa taarifa yenu hao watu ni waongo wa kutupwa! Wasio kuwa na vifua vya kuhifadhi Siri ya mtu( kama hutaki acha) ila Siri nyingi hasa za mambo ya ndoa wao ndo huzivujisha.

Binafsi nawaamini sana wazazi, mzazi ni ngumu sana kutoa Siri kama hiyo ya aibu. So amchukue kijana wake aende nae kwa wazazi kama wapo lkn( bibi na Babu wa kijana upande wa mama) then Kila kitu kitaishia huko na hamna Siri itatoka.

Ila ninachokiamini kwa umri wa kijana aliofikia hawezi Tena kutoa Siri hiyo kwa baba yake, kama ni kumwambia angeshamwambia kipindi akiwa mtoto kwa sasa hawezi kamwe!
 
Najua hilo kuna kipindi nilipuuza tuu. Ila si unajua yule ni mtoto wangu, sasa mahusiano naye yamekufa kabisa kwa sasa.

Nawaza sana sijui ananionaje mimi mama yake.
Kijiko ni kijiko sio chepeo
Mwanao anakuona Mal..ya
 
hicho ndo kilinifanya niishiwe upendo kwa mama na home kiujumla. Mwaka wa tano huu sijaenda nyumbani kusalimia simu zisizo na kikomo za lini unakuja sana najibu "nimekaribia kuja" , maana hata hisia za kwenda home sina na ni karibu tu, masaa matano......
 
Habari za jioni.

Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.

Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume (my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu, nilikutana naye kwenye kikao vya ofisini.

Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wana wivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana, so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani, nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka muda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani, sasa kwenye duka kuna ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja haujarudishiwa mpaka chini kabisa, so akajua kuna mtu ndani. Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga, nilishituka sana mpaka kumtaja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale, isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje, japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.

Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho, nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha. Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote.

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atanyamaza tuu. Yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu ili asiseme, nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa ananichukia, sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio. Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana. Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital. Mara nyingi tukiwa peke yetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisamehe nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana. Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu anasema tuu mimi nipo sawa mama. Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake, huwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake ana gari na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu. Kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari, nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu asante akachukua.

Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani, hajaliendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tu. Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa ana umri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia muda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu ajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado ana hasira nami.

Sasa jamani naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kimya , mume wangu atajua tuu kuna something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tu. Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke, tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tu.

Msaada wa mawazo nahitaji.
Hizi thread za kucheat aisee ,nikiangalia na movie la kanumba la "moses" aisee nafika mbalii
Napata sumu kalii mpk nahisi swala la mahusiano kwangu inakuwa gumu


Then

1 Pole kwa yaliyokukuta nafikiri kijana atakauwa kama moses (picha la kanumba) hataamini wanawake

2 Hapo kaa kimya umri Alionao hawez kusema kokote kama kuvumilia 10 years

3 Jinsi ya kurudisha mahusiano na mtoto kwakwelii hapo ni kipengele sana




Notee


jipange kwa lolote litakalotokea , maana ishu inakoenda siko
 
Kwani huna kaka,(wajomba wa dogo,)kama huna nichukue niwe mjomba wake wa hiali,halafu namuita mkoani,kila siku nakuwa naye kwenye mizunguko yangu kumuonyesha maisha yalivyo,mwisho nitaongea nae kuhusu wewe dada yangu,akifunguka tu kesi closed,nitafute nikumalizie msala mdogo sana huo
 
Mpumbavu unazid kujianika mpaka humu, huyo mwanao first born wako ameshaona hili bandiko lako humu,

Huna adabu wewe, mi mwenyewe Rika la mwanao natafta majimama msokuwa na adabu kama wewe muwe kitoweo changu, niwatie mboo mpaka msahau mabwana zenu
Wewe nawe acha uchizi wako, kanijianika wapi, si anaomba ushauri, we unajua hata jina na sura yake kwa kusoma humu??
 
'Ni kawaida yangu kucheat..'
We mama sio mzima kichwani

We cheat only when we fall in love and there is intese chemistry sio tu unalala na kila mtu.,ili iweje?
 
Pole sana! Ndiomana huku wanaume hawatuamini chanzo ni nyie mama wakwe hamjatulia [emoji18]
 
Anyways hii issue ipotezee tu, sema na Mungu wako
uzuri kijana kashakua atayaona maisha mwenyewe
Na ht km akikusemea kwa Mr kanusha tena umuonye kijana asikukosee adabu
 
Binafsi huwa natamani members wote wa MMU tukubaliane, mtu akishusha uzi kama huu comments zote jibu liwe ni " Sawa "
[emoji16][emoji16]
😂😂😂 kweli lakini haiwezekani, hizi thread zinapita na emotions za watu mtu unajikuta tu unashusha gazeti.
 
Back
Top Bottom