Mlioko Muhimbili Hospital tafadhali tupeni updates za mara kwa mara kwani tayari huku Mitaani Uchuro kwa Mgonjwa wa Serikali imeshaanza

Status
Not open for further replies.
POPOMA katika ubora wake
 
Umeandika kama mchawi anaefurahia vifo vya watu..

May sense locate you sir!
 
Daktari Mmoja aniambie ni kwanini Siku moja aliwahi kuniambia ukitoka Salama na Hai ICU basi Katambike Kwenu.....
Uandishi wako unasadifu furaha kwa mateso anayopitia binadamu mwenzio, hii sio tabia ya binadamu wa kawaida huu ni ulozi. Jitathimini!!!
 
Uko na roho mbaya sana..unafurahia matatizo ya mwenzako&unamwombea mabaya.
 
πŸ‘πŸ‘ bora umemkumbusha hilo maana ameandika mada yake as if yeye ataishi milele
 
Mbona zina zaidi ya wiki sasa, kamlipe deni analokudai.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…