Mlioko Muhimbili Hospital tafadhali tupeni updates za mara kwa mara kwani tayari huku Mitaani Uchuro kwa Mgonjwa wa Serikali imeshaanza

Mlioko Muhimbili Hospital tafadhali tupeni updates za mara kwa mara kwani tayari huku Mitaani Uchuro kwa Mgonjwa wa Serikali imeshaanza

Status
Not open for further replies.
Halafu mnaoingia Kumuona Mgonjwa wa Serikali tafadhali mkiwa mnatoka acheni Kulia kwani mnatutisha wengine wenye Mioyo myepesi. Kwani nasikia hata wale mlioenda St. Thomas tarehe 14 Oktoba, mwaka 1999 na wale mlioenda kwa Mzena tarehe 17 Machi, 2021 mlifanya hivi hivi na baadae Majonzi yakaanza kwa Watanzania wengi japo wengine Walilia yale Machozi ya Kitunguu Swaumu au ya Samaki ndani ya Maji.

Na nyie Ndugu wa Mgonjwa wa Serikali hebu acheni kila mara Kuficha au Kufumba kuhusu hali ya Mgonjwa kwani mnatuchanganya zaidi mpaka wengine Machozi yanaanza kututoka.

Kabla sijaingia Ibadani Kusali Usiku huu nataka nimtafute Daktari Mmoja aniambie ni kwanini Siku moja aliwahi kuniambia ukitoka Salama na Hai ICU basi Katambike Kwenu au Chinja Mbuzi ule Kitabibu ukiwa huko una 90% za Kutoendelea Kufokafoka na 10% za kuendelea kuwaona The Big Five Animals wa Mbuga nzuri niipendayo ya Mikumi Mkoani Morogoro.

Ibada mbalimbali za Kumuombea Mgonjwa wa Serikali ziendelee tafadhali hata kwa wale walioko Belgium muda huu wakinywa Wines na Whiskeys huku wakiitafakari Tanzania Bara na Tanzania Visiwani yao.

Kama Watanzania tumeweza Kuiombea Corona na ikatuogopa na kama Watanzania tuliweza Kuiombea Mvua na zikayesha nina uhakika kwa pamoja tukimuombea Mgonjwa wa Serikali ili asiyaanze Maisha yake mapya Frijini Wadi ( Wodi ) namba 26 Muhimbili National Hospital inawezekana na atapona tu.

Kuna Mtu ( Watu wa Uchuro ) wanadai kuwa Hesabu ya Israeli Katili na Mchomoa Betri maarufu huenda ikawa imeshakamilika na kinachofanyika sasa ni Kutuandaa tu taratibu Kisaikolojia ili baadae ikiwa ni kweli tusije Kushtuka au wengine hata Kuzimia na ikiwezekana hata Kufuatana nae alipopangiwa kuwepo Kimya Milele na Mwenyezi Mungu.
Yote 9 uyomgonjwa wa serikali ni nani?? Maana wengi wanaumwa sasa¿!!
 
Pumbavu nimekuvumilia na nimewavumilia vya Kutosha. Hivi kuna Jina la Mtu ambaye huenda Wapumbavu wengi mnamdhania na nimemtaja hapa?

Hivi Tanzania kuna Mgonjwa wa Serikali? Acheni kuwa na Viherehere kama Shahawa za Bao la Kwanza sawa?

Sijamtaja Mtu yoyote hapa na kama mnamhisi huyo mnayemhisi Mimi hainuhusu na hayuko katika Mtu niliyemlenga na mwenye uhakika kuwa nimemlenga Yeye aweke Uhalisia mzima hapa.
Acha ungese na tabia za kike bhn
 
Hii mada khe
Jamani huyu naye ni mtu haijalishi anaumwa nini
Tuwe waungwana
Tusimuombee mwenzetu kifo bali tumuombee uzima
Hakuna aijuaye kesho
Ugua pole Haule
Kuna watu wa ajabu sana Nchi hii sijui ukitangazwa msiba atafaidika nini Poor Naive African [emoji56]
 
Kwani jamaa anasumbuliwa na nini zaidi
Nani ana kile Kitabu cha Yule Mganda wa Kwanza Philemon Lutaaya Kugundulika na Kujitangaza kuwa ni Muathirika wa VVU huko?

Nimekitafuta sana pale Mkuki na Nyota Publishers Posta sijakipata na nakihitaji mno kwa Tafiti moja hivi ninayoifanya na Kuiandikia.
 
Huyu mwandishi ni bonge la mtu tena yawezekana ndo hao wa kipenyo.

Sijui tuseme nini ni kama amemaliza yote, sie tuendelee na Sala na Dua tu.
Sina Hadhi hata kidogo ya kuwa huko ( niamini 100% Ndugu ), ila wapo wenye hiyo Kazi hapa hapa JamiiForums na nashangaa hujawajua Wao na umenihisi Mimi nisiye na hata DNA nao.
 
umeandika umezunguka Sana pale muhimbili kunawagonjwa wawili walioko ICU na mmoja kipenzi chawatu Sana tz mmoja ni alikua mbunge kilombero ulichoniuzi umesema mserikalia Tena Mara profesa Jay ,funguka ukweli bana
Hopeless....!!!
 
Halafu mnaoingia Kumuona Mgonjwa wa Serikali tafadhali mkiwa mnatoka acheni Kulia kwani mnatutisha wengine wenye Mioyo myepesi. Kwani nasikia hata wale mlioenda St. Thomas tarehe 14 Oktoba, mwaka 1999 na wale mlioenda kwa Mzena tarehe 17 Machi, 2021 mlifanya hivi hivi na baadae Majonzi yakaanza kwa Watanzania wengi japo wengine Walilia yale Machozi ya Kitunguu Swaumu au ya Samaki ndani ya Maji.

Na nyie Ndugu wa Mgonjwa wa Serikali hebu acheni kila mara Kuficha au Kufumba kuhusu hali ya Mgonjwa kwani mnatuchanganya zaidi mpaka wengine Machozi yanaanza kututoka.

Kabla sijaingia Ibadani Kusali Usiku huu nataka nimtafute Daktari Mmoja aniambie ni kwanini Siku moja aliwahi kuniambia ukitoka Salama na Hai ICU basi Katambike Kwenu au Chinja Mbuzi ule Kitabibu ukiwa huko una 90% za Kutoendelea Kufokafoka na 10% za kuendelea kuwaona The Big Five Animals wa Mbuga nzuri niipendayo ya Mikumi Mkoani Morogoro.

Ibada mbalimbali za Kumuombea Mgonjwa wa Serikali ziendelee tafadhali hata kwa wale walioko Belgium muda huu wakinywa Wines na Whiskeys huku wakiitafakari Tanzania Bara na Tanzania Visiwani yao.

Kama Watanzania tumeweza Kuiombea Corona na ikatuogopa na kama Watanzania tuliweza Kuiombea Mvua na zikayesha nina uhakika kwa pamoja tukimuombea Mgonjwa wa Serikali ili asiyaanze Maisha yake mapya Frijini Wadi ( Wodi ) namba 26 Muhimbili National Hospital inawezekana na atapona tu.

Kuna Mtu ( Watu wa Uchuro ) wanadai kuwa Hesabu ya Israeli Katili na Mchomoa Betri maarufu huenda ikawa imeshakamilika na kinachofanyika sasa ni Kutuandaa tu taratibu Kisaikolojia ili baadae ikiwa ni kweli tusije Kushtuka au wengine hata Kuzimia na ikiwezekana hata Kufuatana nae alipopangiwa kuwepo Kimya Milele na Mwenyezi Mungu.
Mleta maada una maanisha JK? Kama ni kweli Mungu amponye haraka.
 
pamoja na kwamba alikuwa hajaokoka, human wise, prof ni mtu mwema kuliko wanachadema wengi.ndo maana hata mama samia aliamua kuamua kumlipia matibabu yoote lakini cdm wanaendelea kuchangisha hela sijui walikuwa wanapeleka wapi sasa au kwenda kumpa mkewe nauli za kwendea muhimbili, na chadema hata hawajashukuru kwamba tunashukuru serikali kujitolea. mama samia alienda kumwangalia tundu lisu kenya, ameambulia kutukanwa tu na Tundu lisu. mama samia ametoa agizo matibabu ya prof j yawe bure, hakuna hata chadema aliyeshukuru, zaidi sana wameendelea kuchangisha kwasababu wanapenda sana kushika pesa. chezea palestina wewe.
 
Pumbavu nimekuvumilia na nimewavumilia vya Kutosha. Hivi kuna Jina la Mtu ambaye huenda Wapumbavu wengi mnamdhania na nimemtaja hapa?

Hivi Tanzania kuna Mgonjwa wa Serikali? Acheni kuwa na Viherehere kama Shahawa za Bao la Kwanza sawa?

Sijamtaja Mtu yoyote hapa na kama mnamhisi huyo mnayemhisi Mimi hainuhusu na hayuko katika Mtu niliyemlenga na mwenye uhakika kuwa nimemlenga Yeye aweke Uhalisia mzima hapa.
Ni kweli mnk Kuna wagonjwa weng wa serekali hvyo Kam siyo mzee wa mitulinga umemkusudia bas hujamtaja mtu mm nilizan Ni wamitulinga umemkusudia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom