Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaMwandiko wake kila mtu anaufahamu 🗣
Pumbavu nimekuvumilia na nimewavumilia vya Kutosha. Hivi kuna Jina la Mtu ambaye huenda Wapumbavu wengi mnamdhania na nimemtaja hapa?Uandishi wako unasadifu furaha kwa mateso anayopitia binadamu mwenzio, hii sio tabia ya binadamu wa kawaida huu ni ulozi. Jitathimini!!!
Another FoolUko na roho mbaya sana..unafurahia matatizo ya mwenzako&unamwombea mabaya.
Aisee!
90% za Kutoendelea Kufokafoka na 10% za kuendelea kuwaona The Big Five Animals wa Mbuga nzuri niipendayo ya Mikumi Mkoani Morogoro.
Kumbe alikuwa mtu wa Serikali??
yako naitafuta sana. maana yake, waweza nifafanuliaView attachment 2117724
Anatabia za huyu
Kasema 10% wanatoka. Sasa wewe kwa vile hujui wanaoingia ni wangapi na wanaotoka ni wangapi huwezi jua kama hao ndiyo 10% au la!Icu watu kibao wanaenda na wanatoka salama
Unajua ukifanyiwa surgery yoyote kubwa lazima uwekwe icu
Kuna nini kwani ??Subirini taarifa za uhakika...
Subirini mtapewa miongozo...Kuna nini kwani ??