Mlioko serikalini msijione 'Special' sana. Mambo wakati mwingine hubadilika kwa kasi usiyoitarajia

Leo kuna halmashauri fulani nienda kwa ajili ya kuomba documents fulani. Kwa nilicho kiona since naingia mpaka natoka zile office nilisikitija sana na kujisemea kua sisi wasomi hatulitendei haki taifa letu na huenda kwenda kufanya kazi halmashauri ndo mwanzo wa Kudumaza taaruma yako.
 
wanatakiwa wafanye hivyo huku wakijua kwamba wako wengi wenye uwezo kuliko wao, lakini hawakupata tu bahati ya kuwa pale walipo.
Mkuu hata hao wengine wakipata nafasi nao wanakuwa kama wao.
Malalamiko ya aina hii tunayo tangu zamani.
Watu wa ovyo wakistaafu wanaochukua nafasi zao wanakuwa na tabia zile zile.
Wafrika tuna roho za ovyo ambazo zinafanana.
Wasomi na maamuma wote wabinafsi.
 
Wapuuzi sana 🤣
 
Umeandika point sana mkuu binafsi mi nimeshakutana na mtu wa namna hiyo yeye anafanyakazi mamlaka ya maji anaweza akapita nyumban kwangu akiwa na videm vyake utaskia ananichimbia bit eti ooh we umeshalipia maji, mara ooh nimetuma watu waje kukata maji kwenye nyumba yako

Sasa ukiangalia vitu vipo kwenye system sasa yeye anakuja kunihoji kijingakijinga

Mbaya zaid nyumban kwangu ndio imekuwa kama ofisin kwake

Utaskia nakusimamia hapa ili usiuze maji

Sasa jaman mtumishi wa namna hii ananitakia nini?

Kuna mpango nimemuandalia ili iwe fundisho kwa wafanyakazi wengine wangese kama huyu jamaa
 
Pole sana kwa chanamoto Mkuu..
Huyo wala hata haihitajiki kumpeleka kwa mjumbe. Siku akikuletea tena ujinga, mtandike makofi, halafu umripoti Polisi kwamba alikuja kufanya uvamizi. Maana anaingilia mambo yako yasiyomhusu kabisa!
 
Ila kweli Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…