Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Nimeisoma hii habari nimekumbuka mbali sana.Pole sana Mama...Tunaamini kwa umri huo wa miaka 07 na 10 bila shaka watakuwa na kumbukumbu ya mbali juu ya taswira ya Wazazi wao.

Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya "Upendo" wa Wazazi na "Uono"(Sight).Ndio maana wazungu walisema "Out of Sight,Out of Mind".

Hata kama leo watakutana,lakini hakutakuwa na ile "bondism" ya Mama na Watoto,sbb kile kipindi cha kutengeneza hiyo bondism kilishapita.

Hii kwa wale wafuatiliaji wa mpira watakuwa wameiona kwa Mario Baloteli,wazazi wake walimpa Mzee Baloteli raia wa Italia kumlea Mario akiwa bado mtoto mdogo sana,kiasi Mario ana upendo wa kweli kwa baba wa kufikia kuliko kwa "Biological Parents" wake.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kukutana na jamaa aliyelelewa na Watawa wa Kikatoliki huko Dodoma,baada ya Wazazi wake kuwa na umasikini kiasi alikuwa na utapiamlo,alikuja kuwaona Wazazi akiwa na miaka 20.Siku alipokufa mmoja wa Wazazi wake,hakulia kama alivyolia na kugalagala kama siku aliyokufa Mtawa aliyemlea.

Tumuombee Mama Kichawele awapate watoto wake,tuombe wawe wazima...Na sisi tukumbuke kujinyima na kufanya lolote kwa ajili ya kuwekeza kwa watoto...Hujawahi kwenda kwenye msiba wa mzazi wa mwenzako na ukakuta jamaa ana-behave kama aliyefariki ni jirani na si mzazi??Ni kwa sbb wakati wa umri wa "bondism",ile bond haikushimana vilivyo.
Mkuu asante kwa ujumbe wako ..umeongea kitu cha kweli
ndio mana binafs nilianzisha thread inayohusu mzazi kuweka bond na mwanawe tangu akiwa tumboni
wachache wameelewa ila wengine ndo ile kutupa lulu kwenye zizi la nguruwe.
Lakin nimekupata sawia.
Tuna imani mama atawaona wanawe japo wajue their mother is alive japo hio bond and love inaweza kua shida kidogo, ni mda mrefu sana na zaid hatujui huko kwa miaka 20+ walikua wanaambiwa nini
 
Mkuu asante kwa ujumbe wako ..umeongea kitu cha kweli
ndio mana binafs nilianzisha thread inayohusu mzazi kuweka bond na mwanawe tangu akiwa tumboni
wachache wameelewa ila wengine ndo ile kutupa lulu kwenye zizi la nguruwe.
Lakin nimekupata sawia.
Tuna imani mama atawaona wanawe japo wajue their mother is alive japo hio bond and love inaweza kua shida kidogo, ni mda mrefu sana na zaid hatujui huko kwa miaka 20+ walikua wanaambiwa nini


Mkuu Pato, naomba link ya hiyo thread yako nami nijifunze. Haya mambo ni muhimu kuyajua mapema kabla hatujawa parents.

-Kaveli-
 
Pole sana Mama. Natumaini uzidi kufuatilia kwenye Ubalozi wa Uingereza hapa nchini na Wizara ya Mambo ya Ndani Idara ya Uhamiaji. Usichoke kufuatilia Mungu ni Mwema watoto wako wapendwa ni hakika watapatikana.
 
sikilizeni huyu jamaa inawezekana wamekubaliana na baba yao mtoto, kuwa awafanye kama wanawe,
na hivyo wanafanya watu wengi sana tuu, sio kwenda ubalozini ndio solution. Inawezekana majina yao wamebadilishwa wana majina mengine kabisa na ikawa vigumu zaidi kuwapata.
ni kuchukua muda kwanza kutoa hili tangazo na liingizwe kwenye facebook na media nyengine kabla ya kwenda ubalozini.
maana watoto wenyewe inawezekana wakamkataa mzazi wao ni kuomba Mungu tuu, wawe watoto wazuri na wenye kufikiria.
 
Namuombea aweze pata mawasiliano na wanae.

Wasomali akili zao wengi wao zinawatosha wenyewe usikute hao watoto huko hawasomi wala nini wanatumikishwa tu. Kama mtu anaweza kata mawasiliano ya mtoto na mzazi hawezi shindwa kufanya baya zaidi ukizingatia ni msomali. Tayari Trump kadeport wasomali 90 na kaweka vikwazo vya kuingia USA kwa Somalians.

Mungu amsaidie huyu Mama apate mawasiliano na wanae I can only imagine miaka yote hiyo. Wengine wachukue hili kama somo na tahadhari
 
Mkuu Pato, naomba link ya hiyo thread yako nami nijifunze. Haya mambo ni muhimu kuyajua mapema kabla hatujawa parents.

-Kaveli-
Mkuu "bond" inaanzia tumboni,unaweza kutenga kila siku asubuhi uamkapo,na jioni ulalapo ukawa unashika tumbo la Mama na kumwambia mtoto maneno ya heri,ukimwambia kuwa unamsubiri kwa hamu aje,unamfurahia kama zawadi na huku ukimsisitiza akuombee heri upate riziki ya kuja kumtunza vyema.

Siku akizaliwa,angali mchanga,unachukua faragha naye na kuongea naye kuwa wewe ni mzazi wake,unamtakia maisha mema ktk dunia,unamtakia heri na afya ili akikua akukute na uone utu uzima wake.Yaani unamsemesha kama vile ni mtu mzima.Hii inakuwa ni "Spiritual Bonding"....Sababu ni mawasiliano ya kiroho kati ya wewe na mtoto.

Baadaye ndani ya miaka 02-06 unaanza kujenga taswira yako ktk ubongo wa mtoto,ndio pale anaanza kukuita baba bila yeye kujua alianzaje kukuita baba.

Miaka 06 -16 ndio haswaa "physical bond" inaimalika.Hapa mtoto anaona kama ni Mama basi anaona ule Umama wako,kama ni baba basi anaona ule ubaba wako,ana-feel ile protection,akipigwa na wenzake anatoka mbio anakuja kusema baba nimepigwa na huyu,kama ni kwa Mama basi anaenda kusema Mama hapa panawasha nikune.

Hii ya Baba nimepigwa inakuja kwako sbb anaanza kujifunza "sense of protectionism" hutoka kwa baba,anasema Mama hapa nimeumia au hapa panawasha,sbb tayari amejifunz kuwa "sense of Sympathy(?) and Care" hutoka kwa Mama.

Ndio maana unaona ukitaka pesa ya kununulia vibama unaenda kwa Mama,lakini hela ya daftari au kalamu unamwambia Baba.Hapo ubongo wa mtoto umekuwa na kujua nani ni nani...,

Ni somo lefu sana...,Ambalo sisi tuliozaliwa na Wazee wa 1920's hatukulipata sana,ila sisi tunapaswa kuwapa upendo huu watoto wetu,iwe wa kike au kiume.
 
Mkuu "bond" inaanzia tumboni,unaweza kutenga kila siku asubuhi uamkapo,na jioni ulalapo ukawa unashika tumbo la Mama na kumwambia mtoto maneno ya heri,ukimwambia kuwa unamsubiri kwa hamu aje,unamfurahia kama zawadi na huku ukimsisitiza akuombee heri upate riziki ya kuja kumtunza vyema.

Siku akizaliwa,angali mchanga,unachukua faragha naye na kuongea naye kuwa wewe ni mzazi wake,unamtakia maisha mema ktk dunia,unamtakia heri na afya ili akikua akukute na uone utu uzima wake.Yaani unamsemesha kama vile ni mtu mzima.Hii inakuwa ni "Spiritual Bonding"....Sababu ni mawasiliano ya kiroho kati ya wewe na mtoto.

Baadaye ndani ya miaka 02-06 unaanza kujenga taswira yako ktk ubongo wa mtoto,ndio pale anaanza kukuita baba bila yeye kujua alianzaje kukuita baba.

Miaka 06 -16 ndio haswaa "physical bond" inaimalika.Hapa mtoto anaona kama ni Mama basi anaona ule Umama wako,kama ni baba basi anaona ule ubaba wako,ana-feel ile protection,akipigwa na wenzake anatoka mbio anakuja kusema baba nimepigwa na huyu,kama ni kwa Mama basi anaenda kusema Mama hapa panawasha nikune.

Hii ya Baba nimepigwa inakuja kwako sbb anaanza kujifunza "sense of protectionism" hutoka kwa baba,anasema Mama hapa nimeumia au hapa panawasha,sbb tayari amejifunz kuwa "sense of Sympathy(?) and Care" hutoka kwa Mama.

Ndio maana unaona ukitaka pesa ya kununulia vibama unaenda kwa Mama,lakini hela ya daftari au kalamu unamwambia Baba.Hapo ubongo wa mtoto umekuwa na kujua nani ni nani...,

Ni somo lefu sana...,Ambalo sisi tuliozaliwa na Wazee wa 1920's hatukulipata sana,ila sisi tunapaswa kuwapa upendo huu watoto wetu,iwe wa kike au kiume.

Lefu = refu

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Lefu = refu

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Kuna mahali sielewimaana anashukuru na kuendelea kushukuru serikali ya uingereza !!
Na hii ya kutoa watotowa 7 na 10 years wakasome nje haijakaa sawa kabisa, those are very young kids !!
Cancer sio ugonjwa wa siku 4-5 sasa kwa nn hakuweza kupata muda wa kuongea na late mmewe juu ya details ?
 
Mkuu "bond" inaanzia tumboni,unaweza kutenga kila siku asubuhi uamkapo,na jioni ulalapo ukawa unashika tumbo la Mama na kumwambia mtoto maneno ya heri,ukimwambia kuwa unamsubiri kwa hamu aje,unamfurahia kama zawadi na huku ukimsisitiza akuombee heri upate riziki ya kuja kumtunza vyema.

Siku akizaliwa,angali mchanga,unachukua faragha naye na kuongea naye kuwa wewe ni mzazi wake,unamtakia maisha mema ktk dunia,unamtakia heri na afya ili akikua akukute na uone utu uzima wake.Yaani unamsemesha kama vile ni mtu mzima.Hii inakuwa ni "Spiritual Bonding"....Sababu ni mawasiliano ya kiroho kati ya wewe na mtoto.

Baadaye ndani ya miaka 02-06 unaanza kujenga taswira yako ktk ubongo wa mtoto,ndio pale anaanza kukuita baba bila yeye kujua alianzaje kukuita baba.

Miaka 06 -16 ndio haswaa "physical bond" inaimalika.Hapa mtoto anaona kama ni Mama basi anaona ule Umama wako,kama ni baba basi anaona ule ubaba wako,ana-feel ile protection,akipigwa na wenzake anatoka mbio anakuja kusema baba nimepigwa na huyu,kama ni kwa Mama basi anaenda kusema Mama hapa panawasha nikune.

Hii ya Baba nimepigwa inakuja kwako sbb anaanza kujifunza "sense of protectionism" hutoka kwa baba,anasema Mama hapa nimeumia au hapa panawasha,sbb tayari amejifunz kuwa "sense of Sympathy(?) and Care" hutoka kwa Mama.

Ndio maana unaona ukitaka pesa ya kununulia vibama unaenda kwa Mama,lakini hela ya daftari au kalamu unamwambia Baba.Hapo ubongo wa mtoto umekuwa na kujua nani ni nani...,

Ni somo lefu sana...,Ambalo sisi tuliozaliwa na Wazee wa 1920's hatukulipata sana,ila sisi tunapaswa kuwapa upendo huu watoto wetu,iwe wa kike au kiume.

Mkuu Asante kwa Elimu hii adimu , Je vitabu Vya somo hii vina itwaje na vina patikana wapi ?
 
Mwenye uwezo na hili asaidie malumbano mengine hayahusiani na msaada ulioombwa huyu mama anaishi Majengo Sakon hana hata uwezo wakuingia humu hata huko michuzi blog atakuwa amesaidiwa mwenye uwezo asaidie
 
pole zake, kwanini alikubali watoto waondoke,kwanini asingesaidiwa ada wasome wakiwa kwake kama shida ni uwezo.mmmh
 
Kwanza nimpe pole sana huyu mama nakumuombea kuonana tena na wanae,najua huu sio muda wa kumlaumu huyu mama au kumlaumu marehemu mumewe r.i.p but kuna jambo kubwa la kujifunza hapa,

Hivi unaanzaje kumuamini mtu ambae ni rafiki yako tu kumpa watoto wako tena ni wadogo wenye umri wa miaka 10 na miaka 7 asafiri nao abroad?? kisa eti akawasomeshe?! tuache tamaa zisizo na maana,yaani mtu ukisikia Uingereza ndio basi tena?!

Tujifunze jambo hapa tusikimbie majukumu,tulee watoto wetu kwa uwezo wetu na kuwapa mapenzi ya dhati kwani hayo ndio maisha,

Mkuu Barafu asante sana kwa somo Kaka.​
 
Msomali ka-adopt hao watoto. Na amelamba child suport miaka 18.ni rahisi sana kumpata huyo mama aende ubalozini Na picha tu Na mwaka waloondoka,bhaasi atasomewa mpk mlangoni walipo. tatizo watamtosa
 
Back
Top Bottom