Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Fanya ihsani ueasiliane nao....Shukran kwa ushauri mzuri saana.Nilikurupuka kwani huyo Abbas ni kijana wetu...Ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya ihsani ueasiliane nao....Shukran kwa ushauri mzuri saana.Nilikurupuka kwani huyo Abbas ni kijana wetu...Ahsante
Mkuu hii habari imetugusa wengi, tunaomba mrejesho ukishaongea na hao wahusikaShukran kwa ushauri mzuri saana.Nilikurupuka kwani huyo Abbas ni kijana wetu...Ahsante
Hili pia linashangaza sana Mkuu,mama naye??? miaka 22 bila mawasiliano na wanawe???
bado tu hujaacha tabia yakoLefu = refu
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
pole zake, kwanini alikubali watoto waondoke,kwanini asingesaidiwa ada wasome wakiwa kwake kama shida ni uwezo.mmmh
Wengine Kiswahili ni Lugha ya pili baada ya lugha zetu Mama.Lefu = refu
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hebu msaidieni kama mnaweza, nadhani hao ndugu wa huyo Abbas wanaweza kufahamu suala hilo na endapo itaonekana hawataki kutoa ushirikiano basi suala hilo lifikishwe polisi na kuunganisha suala hilo kwenye upelelezi wa interpool kwa kushirikiana na ubalozi wa uingereza nchini Tanzania. Huwezi sema watoto wako Uingereza kwa sababu tu walipelekwa huko kusoma wala hakuna ajuaye wako katika hali gani sasa zaidi ya huyo msomali, kwahiyo suala hili linapaswa kushuhulikiwa kwa haraka zaidi wakati huyo msomali akiwa bado yu hai.[/QUOTE]Wewe ni mke wa marehemu Abbas wa Bondeni Arusha....????
Huyo Msomali Mahmood kwao ni Ngarnaro .....???
Nauliza hivyo ili nasi tuanze kukusaidia kupitia ndugu na jamaa wa Mahmood
miaka 22 duhKuna harufu ya CHILD TRAFFICING BUSINESS.Huyo mama anatakiwa kuhojiwa vizuri.Kuna wazazi huzaa na kuuza watoto nje ya nchi kwa kushirikiana na mawakala wa biashara hizo.Kuna kilichojificha.Huyo msomali walikuwa na ukaribu upi hadi wamkabidhi watoto wadogo kama hao kama hawakumwuuzia? Waanzie kwa huyo mama halafu wafuatilie kwa huyo msomali.Waweza kuwa mtandao wa CHILD TRAFFICKING
Mkuu "bond" inaanzia tumboni,unaweza kutenga kila siku asubuhi uamkapo,na jioni ulalapo ukawa unashika tumbo la Mama na kumwambia mtoto maneno ya heri,ukimwambia kuwa unamsubiri kwa hamu aje,unamfurahia kama zawadi na huku ukimsisitiza akuombee heri upate riziki ya kuja kumtunza vyema.
Siku akizaliwa,angali mchanga,unachukua faragha naye na kuongea naye kuwa wewe ni mzazi wake,unamtakia maisha mema ktk dunia,unamtakia heri na afya ili akikua akukute na uone utu uzima wake.Yaani unamsemesha kama vile ni mtu mzima.Hii inakuwa ni "Spiritual Bonding"....Sababu ni mawasiliano ya kiroho kati ya wewe na mtoto.
Baadaye ndani ya miaka 02-06 unaanza kujenga taswira yako ktk ubongo wa mtoto,ndio pale anaanza kukuita baba bila yeye kujua alianzaje kukuita baba.
Miaka 06 -16 ndio haswaa "physical bond" inaimalika.Hapa mtoto anaona kama ni Mama basi anaona ule Umama wako,kama ni baba basi anaona ule ubaba wako,ana-feel ile protection,akipigwa na wenzake anatoka mbio anakuja kusema baba nimepigwa na huyu,kama ni kwa Mama basi anaenda kusema Mama hapa panawasha nikune.
Hii ya Baba nimepigwa inakuja kwako sbb anaanza kujifunza "sense of protectionism" hutoka kwa baba,anasema Mama hapa nimeumia au hapa panawasha,sbb tayari amejifunz kuwa "sense of Sympathy(?) and Care" hutoka kwa Mama.
Ndio maana unaona ukitaka pesa ya kununulia vibama unaenda kwa Mama,lakini hela ya daftari au kalamu unamwambia Baba.Hapo ubongo wa mtoto umekuwa na kujua nani ni nani...,
Ni somo lefu sana...,Ambalo sisi tuliozaliwa na Wazee wa 1920's hatukulipata sana,ila sisi tunapaswa kuwapa upendo huu watoto wetu,iwe wa kike au kiume.
Uingereza sio Africa hâta wabadilishe Majina n'a Mahali pa kuishi watapatikana tu labda wawe wamehama nchi n'a nchi waliyoenda iwe Africa hasa Somalia. Cha msingi ni tuombe wawe hai, nakubaliana n'a suluhisho ulilotoa la kwenda ubalozini. Wenzetu wanauwezo mkubwa kufuatilia watu wao hasa kutumia anuani za makazi na ukihama ukurupuki tu lazima ubadilishe kwenye mfumo Mzima hasa police.sikilizeni huyu jamaa inawezekana wamekubaliana na baba yao mtoto, kuwa awafanye kama wanawe,
na hivyo wanafanya watu wengi sana tuu, sio kwenda ubalozini ndio solution. Inawezekana majina yao wamebadilishwa wana majina mengine kabisa na ikawa vigumu zaidi kuwapata.
ni kuchukua muda kwanza kutoa hili tangazo na liingizwe kwenye facebook na media nyengine kabla ya kwenda ubalozini.
maana watoto wenyewe inawezekana wakamkataa mzazi wao ni kuomba Mungu tuu, wawe watoto wazuri na wenye kufikiria.
Kama waliondoka na miaka 7-10 miaka 22-iliopita ukiwaona sasa hivi hutaweza kuwatofautisha na Waingereza weusi kuanzia accent,mavazi,utamaduni.Watoto Box limewakolea Hadi Bi mdashi wamemsahau,..
Cc. RRONDO
Wangekuwa wapo Marekani Huenda wangekumbuka kwao japo kwa kipindi hikiKama waliondoka na miaka 7-10 miaka 22-iliopita ukiwaona sasa hivi hutaweza kuwatofautisha na Waingereza weusi kuanzia accent,mavazi,utamaduni.
Kama waliwekea msingi mzuri watakuwa sehemu nzuri.
Hao waliondoka wadogo ni wazi wamepoteza connection na mzazi wao na wako more connected na mlezi wao.Wangekuwa wapo Marekani Huenda wangekumbuka kwao japo kwa kipindi hiki