Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Mkuu ahsante kwa angalizo.
Labda tu niseme nimejaribu kumtrack huyo mtu aliyetajwa na mama wa hao watoto lakini sikufanikiwa ILA nilipotumia Surname yake nikawapata hao watu katika Facebook hivyo basi kwa wale wajuzi wa huo mtandao wanaweza kuanza kuwasiliana na hao watu ILI ALAU tuone kama tunaweza kupata chakumsaidia huyo mama.
Ahsante
mkuu hebu jazia nyama hapa
 
Mkuu "bond" inaanzia tumboni,unaweza kutenga kila siku asubuhi uamkapo,na jioni ulalapo ukawa unashika tumbo la Mama na kumwambia mtoto maneno ya heri,ukimwambia kuwa unamsubiri kwa hamu aje,unamfurahia kama zawadi na huku ukimsisitiza akuombee heri upate riziki ya kuja kumtunza vyema.

Siku akizaliwa,angali mchanga,unachukua faragha naye na kuongea naye kuwa wewe ni mzazi wake,unamtakia maisha mema ktk dunia,unamtakia heri na afya ili akikua akukute na uone utu uzima wake.Yaani unamsemesha kama vile ni mtu mzima.Hii inakuwa ni "Spiritual Bonding"....Sababu ni mawasiliano ya kiroho kati ya wewe na mtoto.

Baadaye ndani ya miaka 02-06 unaanza kujenga taswira yako ktk ubongo wa mtoto,ndio pale anaanza kukuita baba bila yeye kujua alianzaje kukuita baba.

Miaka 06 -16 ndio haswaa "physical bond" inaimalika.Hapa mtoto anaona kama ni Mama basi anaona ule Umama wako,kama ni baba basi anaona ule ubaba wako,ana-feel ile protection,akipigwa na wenzake anatoka mbio anakuja kusema baba nimepigwa na huyu,kama ni kwa Mama basi anaenda kusema Mama hapa panawasha nikune.

Hii ya Baba nimepigwa inakuja kwako sbb anaanza kujifunza "sense of protectionism" hutoka kwa baba,anasema Mama hapa nimeumia au hapa panawasha,sbb tayari amejifunz kuwa "sense of Sympathy(?) and Care" hutoka kwa Mama.

Ndio maana unaona ukitaka pesa ya kununulia vibama unaenda kwa Mama,lakini hela ya daftari au kalamu unamwambia Baba.Hapo ubongo wa mtoto umekuwa na kujua nani ni nani...,

Ni somo lefu sana...,Ambalo sisi tuliozaliwa na Wazee wa 1920's hatukulipata sana,ila sisi tunapaswa kuwapa upendo huu watoto wetu,iwe wa kike au kiume.
shukrani mkuu nimejifunza kitu
 
Hata hivyo amechelewa sana yaani miaka 22 ameshindwa hata kupeleka malalamiko serikalini anyway tafadhali wenye taarifa na hao ndg msaidieni huyu mama
 
Mkuu ahsante kwa angalizo.
Labda tu niseme nimejaribu kumtrack huyo mtu aliyetajwa na mama wa hao watoto lakini sikufanikiwa ILA nilipotumia Surname yake nikawapata hao watu katika Facebook hivyo basi kwa wale wajuzi wa huo mtandao wanaweza kuanza kuwasiliana na hao watu ILI ALAU tuone kama tunaweza kupata chakumsaidia huyo mama.
Ahsante
ubarikiwe
 
Ningekuwa sijaelewa nisingesahihisha.

Cheo cha utakatifu kwetu hakuna hicho. Huo utakatifu hata wanaolawitiana wanapewa huko kanisani, unabisha nikuwekee ushahidi?

Tatizo lako ni shule, ulisomea ujinga.
Wewe umehitimu kwenye utovu wa nidhamu, na ni aina mojawapo ya ujinga. Aina nyingine ni kujifanya unajua.

kama unapitia menopause, kuna medications zinazoweza kukupunguzia makali, huna haja ya kuwa na mahasira ya vitu vidogo.

I beg of you to stop this nonsense o evil queen of JF.
 
Wewe umehitimu kwenye utovu wa nidhamu, na ni aina mojawapo ya ujinga. Aina nyingine ni kujifanya unajua.

kama unapitia menopause, kuna medications zinazoweza kukupunguzia makali, huna haja ya kuwa na mahasira ya vitu vidogo.

I beg of you to stop this nonsense o evil queen of JF.
FaizaFoxy ni kaahaba tu sio wa kukuumiza kichwa ni mdada anayeolewa na kuchika.ana chuo cha 5 sasa
 
Ningekuwa sijaelewa nisingesahihisha.

Cheo cha utakatifu kwetu hakuna hicho. Huo utakatifu hata wanaolawitiana wanapewa huko kanisani, unabisha nikuwekee ushahidi?

Tatizo lako ni shule, ulisomea ujinga.
Mods naona Kuna watu wanakera wengine kwa lugha za kuudhi na kejeli bila kuchukukiwa hatua. We are tired of this kind of abusive language @pitsmshai
 
Akili zingine hivi unaruhusu vipi watoto wako wachukuliwe na msomali kwenda ughaibuni?
 
Kwa mujibu ya maoni ya wachangiaji (comments) kule blogi ya michuzi ilipotoka habari hiii hawa vijana wamekwisha patikana tayari wakiwa wazima na salama. Maoni hayo hapo 'sosi' ikiwa blogi ya ankal Michuzi.


January 26, 2017


blank.gif
Ok said...
Kwa taarifa za awali hawa wanaotafutwa walikabidhiwa social care walipo kua bado ni watoto.hawakuelewana kimalezi na huyo aliye wachukua. Ndugu yangu fahmi kama upo karibu na mji wa leicester jaribu kuulizia social care ya hapo pengine utapata mwangaza wapo wapi kwa sasa .itabidi ujieleze vizuri si unajua mambo ya europe hiyo ni private issue
All the best

January 27, 2017


blank.gif
Grace said...
JAMANI MIMI NI GRACE NAISHI HOLLAND. ASANTENI SANA WATOTO WAMEPATIKANA.

January 27, 2017


blank.gif
Grace said...
JAMANI MIMI NI GRACE NAISHI HOLLAND. ASANTENI SANA WATOTO WAMEPATIKANA.

January 27, 2017


blank.gif
Grace said...
JAMANI MIMI NI GRACE NAISHI HOLLAND. ASANTENI SANA WATOTO WAMEPATIKANA.

January 27, 2017


blank.gif
Abu Fahmi said...
Ndugu Hijambi na wadau wengine habari nilizopata mpk sasa watoto wamepatikana wakiwa wazima na afya njema.

Tumshukuru Mungu mkarimu kwa kuliwezesha hili Zoezi.

Alhamdulillah Rabb l aalamiin.

Mbarikiwe sana wote mlioshiriki ktk Zoezi hili.
Na km kuna Mzazi au wazazi wengine out there waliopoteza watoto wao walete habari zao hapa tuone namna gani tunaweza kusaidiana. Wasikate tamaa hata kidogo.
Ukimtegemea Mungu Hakuna kinachoshindikana.

Ndugu yenu Abu Fahmi.
United Kingdom.
 
Yaani mtu ukisikia uingereza au Nchi za Nje unaona ndio maisha sasa huko akifanikiwa atakujali na wakati ulikimbia majukumu na shemeji katengeneza choyo na wakwangu nae aende! Yaani doooo !vumilia tu atarudi!
Tungepata contacts za abubakr al Baghdad tungemuuluza kama hawako kwake, maana wasomali akili zao wanazijua wenyewe
 
Kwa mujibu ya maoni ya wachangiaji (comments) kule blogi ya michuzi ilipotoka habari hiii hawa vijana wamekwisha patikana tayari wakiwa wazima na salama. Maoni hayo hapo 'sosi' ikiwa blogi ya ankal Michuzi.


January 26, 2017


blank.gif
Ok said...
Kwa taarifa za awali hawa wanaotafutwa walikabidhiwa social care walipo kua bado ni watoto.hawakuelewana kimalezi na huyo aliye wachukua. Ndugu yangu fahmi kama upo karibu na mji wa leicester jaribu kuulizia social care ya hapo pengine utapata mwangaza wapo wapi kwa sasa .itabidi ujieleze vizuri si unajua mambo ya europe hiyo ni private issue
All the best

January 27, 2017


blank.gif
Grace said...
JAMANI MIMI NI GRACE NAISHI HOLLAND. ASANTENI SANA WATOTO WAMEPATIKANA.

January 27, 2017


blank.gif
Grace said...
JAMANI MIMI NI GRACE NAISHI HOLLAND. ASANTENI SANA WATOTO WAMEPATIKANA.

January 27, 2017


blank.gif
Grace said...
JAMANI MIMI NI GRACE NAISHI HOLLAND. ASANTENI SANA WATOTO WAMEPATIKANA.

January 27, 2017


blank.gif
Abu Fahmi said...
Ndugu Hijambi na wadau wengine habari nilizopata mpk sasa watoto wamepatikana wakiwa wazima na afya njema.

Tumshukuru Mungu mkarimu kwa kuliwezesha hili Zoezi.

Alhamdulillah Rabb l aalamiin.

Mbarikiwe sana wote mlioshiriki ktk Zoezi hili.
Na km kuna Mzazi au wazazi wengine out there waliopoteza watoto wao walete habari zao hapa tuone namna gani tunaweza kusaidiana. Wasikate tamaa hata kidogo.
Ukimtegemea Mungu Hakuna kinachoshindikana.

Ndugu yenu Abu Fahmi.
United Kingdom.
Ooh my Goodness, duh kweli mitandao ya kijamii Ni Kitu kizuri sana,. Asante teknolojia
 
Huyu dada Moderator wanamuogopa ana lugha za kuuzi sana na kashfa za kidini lkn hachukuliwi hatua yoyote

Kipi kinachokuudhi?

Wewe unaponiita "Mtakatifu", cheo ambacho Kiislam hakipo, siyo lugha ya kuudhi?

Nnapokwambia Mimi hao "watakatifu" wenyewe wanalawitiana hukohuko makanisani unaudhika? Au wachungaji na mapadri si watakatifu wenu?

Nikuwewekee ushahidi kuwa wanalawitiana kweli.

Kuna mmoja hapa Tanzania anaitwa father Kit Cunningham alilawitiana na wanafunzi kama si shule nzima basi robo tatu huko Soni. Mpaka hiyo habari ipo Kimataifa.

Sasa unachobisha au kinachokuudhi nini? Au ukweli unakuuudhi?

Kama nnayoongea nimeyazusha au nnadanganya basi kuudhika ni haki yako lakini kuudhika kwa huo ukweli ambao unatakiwa uudhike kwa kuyapinga hayo machafu si kwa mimi kukuudhi kwa kuandika ukweli.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nimeisoma hii habari nimekumbuka mbali sana.Pole sana Mama...Tunaamini kwa umri huo wa miaka 07 na 10 bila shaka watakuwa na kumbukumbu ya mbali juu ya taswira ya Wazazi wao.

Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya "Upendo" wa Wazazi na "Uono"(Sight).Ndio maana wazungu walisema "Out of Sight,Out of Mind".

Hata kama leo watakutana,lakini hakutakuwa na ile "bondism" ya Mama na Watoto,sbb kile kipindi cha kutengeneza hiyo bondism kilishapita.

Hii kwa wale wafuatiliaji wa mpira watakuwa wameiona kwa Mario Baloteli,wazazi wake walimpa Mzee Baloteli raia wa Italia kumlea Mario akiwa bado mtoto mdogo sana,kiasi Mario ana upendo wa kweli kwa baba wa kufikia kuliko kwa "Biological Parents" wake.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kukutana na jamaa aliyelelewa na Watawa wa Kikatoliki huko Dodoma,baada ya Wazazi wake kuwa na umasikini kiasi alikuwa na utapiamlo,alikuja kuwaona Wazazi akiwa na miaka 20.Siku alipokufa mmoja wa Wazazi wake,hakulia kama alivyolia na kugalagala kama siku aliyokufa Mtawa aliyemlea.

Tumuombee Mama Kichawele awapate watoto wake,tuombe wawe wazima...Na sisi tukumbuke kujinyima na kufanya lolote kwa ajili ya kuwekeza kwa watoto...Hujawahi kwenda kwenye msiba wa mzazi wa mwenzako na ukakuta jamaa ana-behave kama aliyefariki ni jirani na si mzazi??Ni kwa sbb wakati wa umri wa "bondism",ile bond haikushimana vilivyo.
balloteli akili zake ni mbele ila mungu afanye miujiza
 
Kipi kinachokuudhi?

Wewe unaponiita "Mtakatifu", cheo ambacho Kiislam hakipo, siyo lugha ya kuudhi?

Nnapokwambia Mimi hao "watakatifu" wenyewe wanalawitiana hukohuko makanisani unaudhika? Au wachungaji na mapadri si watakatifu wenu?

Nikuwewekee ushahidi kuwa wanalawitiana kweli.

Kuna mmoja hapa Tanzania anaitwa father Kit Cunningham alilawitiana na wanafunzi kama si shule nzima basi robo tatu huko Soni. Mpaka hiyo habari ipo Kimataifa.

Sasa unachobisha au kinachokuudhi nini? Au ukweli unakuuudhi?

Kama nnayoongea nimeyazusha au nnadanganya basi kuudhika ni haki yako lakini kuudhika kwa huo ukweli ambao unatakiwa uudhike kwa kuyapinga hayo machafu si kwa mimi kukuudhi kwa kuandika ukweli.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Suala la kulawiti sio dini bali ni mtu.Kama kuna kiongozi wa dini analawiti au kulawitiwa basi ni kwa sbb ya ubinadamu wake na si dini yake

Viongozi wa dini wapo walio wema na wasio wema,iwe ktk dini ya ukristo,uyahudi,uislam na ubudha.Suala na kutoka hadharani,kukiri na kutubu ni hatua kuelekea uongofu.

Hakuna mwanadamu aliye msafi,wote waliozaliwa na mwanamke hutenda dhambi na kutubu.Ndio maana kuna nyumba za ibada na mahali pa kuomba toba

Bahati mbaya kuna binadamu hudhani wenzao ni wadhambi kuzidi wao.Hakimu wa kweli ni Mungu,binadamu huongea kwa hisia na hukumu ya husda.

Suala la Fr wa Soni Lushoto liliibuliwa na kanisa lenyewe,hii ni dhana ya kujisahihisha.Ni kama wale wanaolawiti vijana katika shule za dini nyingine tu

Bahati mbaya hizi dini zilizoletwa sbb ya biashara na ukoloni zimewaganda waafrika ktk mioyo na ubongo wao
 
Kipi kinachokuudhi?

Wewe unaponiita "Mtakatifu", cheo ambacho Kiislam hakipo, siyo lugha ya kuudhi?

Nnapokwambia Mimi hao "watakatifu" wenyewe wanalawitiana hukohuko makanisani unaudhika? Au wachungaji na mapadri si watakatifu wenu?

Nikuwewekee ushahidi kuwa wanalawitiana kweli.

Kuna mmoja hapa Tanzania anaitwa father Kit Cunningham alilawitiana na wanafunzi kama si shule nzima basi robo tatu huko Soni. Mpaka hiyo habari ipo Kimataifa.

Sasa unachobisha au kinachokuudhi nini? Au ukweli unakuuudhi?

Kama nnayoongea nimeyazusha au nnadanganya basi kuudhika ni haki yako lakini kuudhika kwa huo ukweli ambao unatakiwa uudhike kwa kuyapinga hayo machafu si kwa mimi kukuudhi kwa kuandika ukweli.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Na ninaposema una chuo cha 5
 
Pole zake huyo mama...huwezi kufanya biashara ya watoto....such is a harmful thing to do and it haunts big time
 
Back
Top Bottom