Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Mkuu ahsante kwa angalizo.
Labda tu niseme nimejaribu kumtrack huyo mtu aliyetajwa na mama wa hao watoto lakini sikufanikiwa ILA nilipotumia Surname yake nikawapata hao watu katika Facebook hivyo basi kwa wale wajuzi wa huo mtandao wanaweza kuanza kuwasiliana na hao watu ILI ALAU tuone kama tunaweza kupata chakumsaidia huyo mama.
Ahsante
Labda tu niseme nimejaribu kumtrack huyo mtu aliyetajwa na mama wa hao watoto lakini sikufanikiwa ILA nilipotumia Surname yake nikawapata hao watu katika Facebook hivyo basi kwa wale wajuzi wa huo mtandao wanaweza kuanza kuwasiliana na hao watu ILI ALAU tuone kama tunaweza kupata chakumsaidia huyo mama.
Ahsante
mkuu hebu jazia nyama hapa