Hizi nyumba hizi zina mambo, na mara nyingi wanakuaga ni watu wa jirani na hapo wanaofanya mauza uza
Mimi nlivonunua kibanda hichi balozi hakupenda sababu tuliuziana kwa kufata sheria, basi nlivoanza kukarabati ikawa anakuja kubeba udogo, yaan kila mafundi wakija na yeye lazima atie timu kubeba udongo.
Nikawa najiuliza uyu mtu anakuja kubeba udongo wa nini isitoshe udongo wenyewe ni mfinyanzi kabisa wakutengenezea vyungu na ilihali dar hatutengenezi vyungu.
Baada ya miezi miwili ukuta ukadondoka akawa anapita kusema mbovu kwa watu....nlichomfanya haji kunisahau maiaha yangu yote mwaka wa 4 huu nikipita njia hii na yeye anapita njia nyingine yaan ananikimbia