BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Kama ni Mkristo?...Inategemea na Imani yako zidisha maombi kama ni Muislaam waite ma Shekh wapige kisomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Kama ni Mkristo?...Inategemea na Imani yako zidisha maombi kama ni Muislaam waite ma Shekh wapige kisomo
Mjinga mwingine huyu hapaMwaga maji ya Mwamposa kuzunguka kiwanja chako
Jibu swali, wapi unajengea?Mmmh miye ninaishi mbali na ujenzi unapofanyika, na ni mara chache sana kuwepo wakati ujenzi unafanyika yupo dogo ndiyo anasimamia
Mkoa wa RukwaJibu swali, wapi unajengea?
Huo mtaa una wachawi wanakutisha usijenge komaa utamaliza ujenzi.Mimi wakati mafundi wanapiga plasta waliona snake[emoji216] akitoka ukutani kwenye plasta wakatoka nduki lkn nilimaliza ujenziWadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia
Asante nitafanyia kazi ushauri wakoHiyo ni message inatumwa kwako Mkuu, ila inaonekana wanakushindwa, sasa shikia IMANI ulonayo kwa usawasawa, zidisha.
Hakuna mtu atachinja Sungura na kufanya hayo mengine yote kwa nia ya kukutisha, huyo/hao wanamaanisha Mkuu, ni muhimu kupeleleza kumjua muhusika ni nani na anataka nini kuna watu hawaachagi kufatilia, ukahamia akaendelea kubadilisha akajifanya jirani mwema kumbe nia anaijua yeye. USIPUUZE.
Haha snake tenaHuo mtaa una wachawi wanakutisha usijenge komaa utamaliza ujenzi.Mimi wakati mafundi wanapiga plasta waliona snake[emoji216] akitoka ukutani kwenye plasta wakatoka nduki lkn nilimaliza ujenzi
Asante sana kwa muongozo huuNi rahisi tu kama una imani kwa Yesu. Fanya hivi: chukua maji kwenye chupa, sali ukisema, kuanzia sasa haya si maji tena bali ni DAMU YA YESU kwa Jina la Yesu. Wao si walimwaga damu ya wanyama? Basi wewe mwaga Damu ya Yesu mahali hapo huku ukisema; Damu ya Yesu inanena mema matupu juu yangu, rudia mara nyingi. Weka imani kwa Yesu, kazi imekwisha, endelea na ujenzi na fanya hivyo mara kwa mara.
Nyumba kali sana ilikugharimu ndoto ngapi kumalizika kwa usiku ngapiMimi hili hekalu langu nilikabidhiwa ndani ya miezi miwili tu baada ya kuwapa kampuni tenda ya ujenzi😎😎😎
View attachment 2369574
Nyumba ya ma angu mdg ilianzaga mauzauza kama hayo kabla aijaisha.......ilivoisha usiku watu wakilala wanatekenywa badae ikaja kutokea majoka mawili makubwa............alafu yakapotelea ndani.......wakaleta watu wa maombi usiku tukasikia kishindo nje asubui kukuta rundo la furushi limekaa irizi tukazimwagia mafuta ya taa tukachoma zikagoma kuwaka Mchungaji akaomba tena ndo zikawaka........hyo nyumba nishawai kupapaswa na limtu usiku nlitoka na neti hadi kweny taa na Kuna siku nmelala nkaanza kuvutwa ukutani na mazombie wacha nipige kelele kumbe watu hawanisikii..... nlitoka nduki hua naenda mchana jion nageuza kwangu............ wachawi ndo hua wanaanza hivohivo ukijifanya kupuuzia ukimaliza kujenga hyo nyumba ndo utajua mazombie tz yapi mengi ushauri wangu fanya maombi yani fanya maombi toa na sadakaWadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia
Usiwe mwoga mkuu.Wadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia