Unajifanya hujaelewaFafanua kwa undani Kenyatta kafanyaje mkuu
Hahahah eti hujafafanua. Hiyo ndio TZHujafafanua kenyatta kafanya nini,unaleta story tuu.Sema kenyatta kafanya hiki.Kichwa cha habari na story hakuna kajipange
sheria ya manunuzi ni kichaka cha wizi, badala ya kupata ndege 5 tungeambulia ndege 2 tu kupitia sheria hiyo ya manunuzi!.Tatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?
Kabla ya hii ajali mbona hujasema kama vivuko ni kipaombele. Kama ingeanguka precision air ungesema serikali imepatia kununua ndege au usingesema. Acha kwenda na matukio, na pia fich ujinga wako sometimesWewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.
Hahah. Na dio maana nikamwambia ajaribu kificha ujinga wake. Yaani sijapata ona jamaa mjinga jf kama huyu.We LOFA na FALA sana!!!
Unaongelea kununua meli wakati kuna wananchi wanalala na njaa.
Kama lojiki yako ya vipaumbele iko hivo, basi RAIS angeacha kila kitu abaki kutununulia unga na maharage maana hauwezi kufikiria meli na vivuko wakati kuna wananchi hawana chakula.
Nadhani Lowasa alipokuwa anasema kipaumbele chake cha kwanza hadi cha tatu ni ELIMU alikuwa ameshazijua akili zenu kuwa niza kizuzu na kilofa sana.
Je, ingepitishwa bungeni, mngefanikiwa kuizuia isinunuliwe kama mlivyozoea? Mbona kila Bunge linapohusishwa, mnakimbilia hapa oohhh imepitishwa kwa kuwa Wabunge wa CCM ni wengi, sijui ooohh Bunge ni rubber stamp ya Serikali, hivyo tu yaani, dah!!Tatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?
Hivi haujaona kuwa hapa juzi Korea wamepewa tenda ya kuunda meli ziwa Victoria , Ziwa Nyasa meli zimeundwa Tatu haujaona au unajifanya hujui na Songoro Marine wanakarabati meli za ziwa victoria au wewe hujui jamani sio kila kitu kubisha mara nyingine tuwe wakweli raisn anatutendea yaliyo mema .Pia mjifunze kufuatilia masuala badala ya kuweka uongo na kuwapotezea watu muda na kama unabisha basi bisha kwa fact badala ya kuleta porojo huku mitandaoni.Wewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.
Hivi unajua vigezo vinavyotakiwa kupeleka ndege na kufanya Biashara hiyo USA? sisi hata IATa matatizoKuna muda huwa nawashangaa sana kama siyo mno Watanzania kwamba ni kwanini hawataki Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa ' Zawadi ' ya Rais ambaye ana ' maono ' makubwa sana ya Kimaendeleo kama aliyonayo Rais wetu Mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Kwa wale Ndugu zangu ambao mmekuwa mkipiga Kelele juu ya Ununuaji wake wa Ndege ili kuweza kuzidisha Kasi ya Utalii nchini nadhani kwa hili alilolifanya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta sasa mtakuwa na la Kujifunza na ikibidi bado hamjachelewa kumuomba radhi Mheshimiwa Rais JPM au Kutengua ' Kauli ' zenu kwani kiukweli Rais JPM yupo sahihi kwa 100% na hizi Ndege anazozinunua zitaongeza mno Ukuaji wa Uchumi na hasa Sekta nzima ya Utalii kwa nchi ya Tanzania.
Ni kwamba Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua rasmi Safari ya Ndege ya moja kwa moja kutoka Nairobi ( Kenya ) hadi New York ( Marekani / USA ) ambayo itaanza rasmi tarehe 29, October 2018 na mpaka hivi sasa tayari Watu 7000 wameshakata ' Tiketi ' zao ili kuwemo katika hiyo Safari ya Kwanza.
Kwa mujibu wa Rais Kenyatta amesema kwamba uzinduzi huu wa hii Safari ya moja kwa moja kati ya Kenya na Marekani ( USA ) kutaongeza maradufu ' mapato ' katika Sekta nzima ya Utalii ya nchini Kenya na pia Uchumi wa nchi yake utakuwa kwa haraka kwakuwa Kenya imekuwa na ' Vivutio ' vingi ambavyo Wamarekani wengi hupenda kuvitembelea mara kwa mara.
Bado nitasema na leo nasema tena bila ' Unafiki ' kwamba kama kuna ' Zawadi ' ambayo Mwenyezi Mungu ametupa Watanzania basi ni kwa kutupatia Rais mwenye maono ya kweli, yenye tija na uhakika wa Kimaendeleo kwa nchi hii Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Hakuna Rais ninayempenda na kumkubali kama JPM na Mwenyezi Mungu ambariki sana azidi kutuletea Maendeleo Watanzania.
Source: Daily Monitor
Nawasilisha.
Mwambie huyo mkuu kajaa mahaba ya kijinga kabisa.Kipi bora, kuwa na natioal carrier halafu nchi ipate hasara kila mwaka au hizo hela za kununulia ndege zielekezwe kwenye miradi itakayonufaisha wananchi wote.
Hebu basi twende kwa logic. Mimi binafsi naamini siyo tatizo kwa Tanzania kuwa na shirika imara la ndege. tatizo langu ni njia ambazo Rais wetu ametumia katika kuliinua shirika la ndege. Natambua kwamba njia mbalimbali za uchumi zinategemeana. kuna vipaumbele ambavyo tunatakiwa kuanza navyo, ili twende sawa. Unapofikia hatua ya kukuza shirika la ndege, angalau kuna sekta zitategemea uwepo wa ndege, ambazo nazo ziko imara. Ukiangalia Kenya ambao wanatuzidi mara nyingi sana katika mifumo ya utalii, kuanzia utangazaji, connection za tour operators, uwepo wa watalii wengi tayari, na miundo mbinu iliyoimarika, wana uhakika wa safari za moja kwa moja zitalipa. ukiangalia sisi Tanzania, tuko nyuma mno katika kujitangaza, maana yake fungu tunaloweza kutenga kwa ajili hiyo ni dogo sana. sioni kwa vipi tunaweza kuiga Kenya moja kwa moja kama anavyotaka kutuaminisha mleta uzi.Swala la ununuzi wa ndege linajadiliwa kisiasa tu. Uelekeo wa mijadala yetu unategemea mno misimamo ya kisiasa na si uhalisia.
Hata humu JF kila mjadala hoja kuwa positive au negative angalia IDs maarufu utaona zile hoja zao zinakinzana kutokana na misimamo yao kisiasa.
ni Bora Ange nunua vivuko nchi mzima kwanza watu wameuwawa wetu bado wako kwenye siasaWakenya wanapinga sana ununuzi wa ndege. Wanalalamika wanasema hiyo hela ingepelekwa kwenye vitu vingine na vile tz ni maskini.
hawajakubaliana na suala la tz kununua ndege.
Kuna muda huwa nawashangaa sana kama siyo mno Watanzania kwamba ni kwanini hawataki Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa ' Zawadi ' ya Rais ambaye ana ' maono ' makubwa sana ya Kimaendeleo kama aliyonayo Rais wetu Mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Kwa wale Ndugu zangu ambao mmekuwa mkipiga Kelele juu ya Ununuaji wake wa Ndege ili kuweza kuzidisha Kasi ya Utalii nchini nadhani kwa hili alilolifanya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta sasa mtakuwa na la Kujifunza na ikibidi bado hamjachelewa kumuomba radhi Mheshimiwa Rais JPM au Kutengua ' Kauli ' zenu kwani kiukweli Rais JPM yupo sahihi kwa 100% na hizi Ndege anazozinunua zitaongeza mno Ukuaji wa Uchumi na hasa Sekta nzima ya Utalii kwa nchi ya Tanzania.
Ni kwamba Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua rasmi Safari ya Ndege ya moja kwa moja kutoka Nairobi ( Kenya ) hadi New York ( Marekani / USA ) ambayo itaanza rasmi tarehe 29, October 2018 na mpaka hivi sasa tayari Watu 7000 wameshakata ' Tiketi ' zao ili kuwemo katika hiyo Safari ya Kwanza.
Kwa mujibu wa Rais Kenyatta amesema kwamba uzinduzi huu wa hii Safari ya moja kwa moja kati ya Kenya na Marekani ( USA ) kutaongeza maradufu ' mapato ' katika Sekta nzima ya Utalii ya nchini Kenya na pia Uchumi wa nchi yake utakuwa kwa haraka kwakuwa Kenya imekuwa na ' Vivutio ' vingi ambavyo Wamarekani wengi hupenda kuvitembelea mara kwa mara.
Bado nitasema na leo nasema tena bila ' Unafiki ' kwamba kama kuna ' Zawadi ' ambayo Mwenyezi Mungu ametupa Watanzania basi ni kwa kutupatia Rais mwenye maono ya kweli, yenye tija na uhakika wa Kimaendeleo kwa nchi hii Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Hakuna Rais ninayempenda na kumkubali kama JPM na Mwenyezi Mungu ambariki sana azidi kutuletea Maendeleo Watanzania.
Source: Daily Monitor
Nawasilisha.
Kuna muda huwa nawashangaa sana kama siyo mno Watanzania kwamba ni kwanini hawataki Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa ' Zawadi ' ya Rais ambaye ana ' maono ' makubwa sana ya Kimaendeleo kama aliyonayo Rais wetu Mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Kwa wale Ndugu zangu ambao mmekuwa mkipiga Kelele juu ya Ununuaji wake wa Ndege ili kuweza kuzidisha Kasi ya Utalii nchini nadhani kwa hili alilolifanya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta sasa mtakuwa na la Kujifunza na ikibidi bado hamjachelewa kumuomba radhi Mheshimiwa Rais JPM au Kutengua ' Kauli ' zenu kwani kiukweli Rais JPM yupo sahihi kwa 100% na hizi Ndege anazozinunua zitaongeza mno Ukuaji wa Uchumi na hasa Sekta nzima ya Utalii kwa nchi ya Tanzania.
Ni kwamba Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua rasmi Safari ya Ndege ya moja kwa moja kutoka Nairobi ( Kenya ) hadi New York ( Marekani / USA ) ambayo itaanza rasmi tarehe 29, October 2018 na mpaka hivi sasa tayari Watu 7000 wameshakata ' Tiketi ' zao ili kuwemo katika hiyo Safari ya Kwanza.
Kwa mujibu wa Rais Kenyatta amesema kwamba uzinduzi huu wa hii Safari ya moja kwa moja kati ya Kenya na Marekani ( USA ) kutaongeza maradufu ' mapato ' katika Sekta nzima ya Utalii ya nchini Kenya na pia Uchumi wa nchi yake utakuwa kwa haraka kwakuwa Kenya imekuwa na ' Vivutio ' vingi ambavyo Wamarekani wengi hupenda kuvitembelea mara kwa mara.
Bado nitasema na leo nasema tena bila ' Unafiki ' kwamba kama kuna ' Zawadi ' ambayo Mwenyezi Mungu ametupa Watanzania basi ni kwa kutupatia Rais mwenye maono ya kweli, yenye tija na uhakika wa Kimaendeleo kwa nchi hii Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Hakuna Rais ninayempenda na kumkubali kama JPM na Mwenyezi Mungu ambariki sana azidi kutuletea Maendeleo Watanzania.
Source: Daily Monitor
Nawasilisha.
Makunya uwivu umewajaa mpaka....,...Wakenya wanapinga sana ununuzi wa ndege. Wanalalamika wanasema hiyo hela ingepelekwa kwenye vitu vingine na vile tz ni maskini.
hawajakubaliana na suala la tz kununua ndege.
Umeamdika totally upupu walahi..sisi tuliweza kukuza utalii wetu bila kuhitaji shirika la ndege.
..mashirika ya ndege ya nchi majirani zetu ama yamekufa, au yanaendeshwa kwa HASARA.
..ATCL ni hasara ya kujitakia tu. Shirika hilo ni KUPE anayekuja kunyonya kodi za masikini wa Tz.