Mliokuwa 'mkimdhihaki ' Rais Dr. Magufuli juu ya Ununuaji wa Ndege Kubwa pateni mfano huu Kuntu wa Kenya

WaTZ wengi vichwa maji.....wengine hata uzi hawajausoma mpk mwisho wanaponda tuuu
 
 

""Ni kwamba Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua rasmi Safari ya Ndege ya moja kwa moja kutoka Nairobi ( Kenya ) hadi New York ( Marekani / USA ) ambayo itaanza rasmi tarehe 29, October 2018 na mpaka hivi sasa tayari Watu 7000 wameshakata ' Tiketi ' zao ili kuwemo katika hiyo Safari ya Kwanza. ""
Umesahau kutueleza mchakato wa kuomba kuruhusiwa kuruka moja kwa moja kutoka Kenya to USA ulianza lini, umechukua muda gani na kenya ilibidi watimize nini.
 
Tatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?
Mkuu afadhali umemjibu huyu kenge maji!Ila wale wanowakamata wachochezi mbona wana ubaguzi?huyu angefa kukamatwa na kuhojiwa ni wapi watanzania wamepinga kununuliwa kwa ndege?Watu walihoji mchakato mzima wa ununuzi wa hizo ndege haukuwa shirikishi kwa vyombo husika ili nao watoe ushauri wao n.k!
 
Ndege na kukua kwa utalii vinauhusiano upi? Naomba nieleweshwe, ndege inakuzaje utalii kwa mfano. (NB mjinga akieleweshwa upevuka)
 
Tatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?

We bunge hilo la miaka kenda haijakuwa na idea ya kufufua shirika la ndege, leo kaja JPM unaanza litaka bunge cjui lifanye nn na ndilo liloshindwa miaka yote kufufua hilo shirika...Watanzania tumelogwa na nanii[emoji22][emoji22][emoji22]...pathetic...JPM endelea kuinua Tanzania
 
For me kununua ndege na kutoweza kuongeza salary kwa wafanyakaxi was serikali kwa miaka 3 is bullshit
 
Fafanua kwa undani Kenyatta kafanyaje mkuu
Mkuu soma bandiko lore utaekewa,usisome kwa miemko.
Kasema rais Kenyatta kazindua safari za ndege moja kwa moja kutoka Nairobi mpaka new York marikani.
Kutokana na kitendo hicho watalii watakaozuru Kenya wataongezaka maradufu,na kukuza sects ya utalii ya Kenya na uchumi wa nchi hiyo kwa ujumla.
 
Birds of a feather fly together...ndege wafananao huruka pamoja. Toka nizaliwe sijawahi kumuona, kumsikia wala kumshuhudia kichaa akimshambulia kichaa mwenzake. Vichaa hushambulia wasio vichaa na hali hii imedhihirishwa na inazidi kudhihirishwa hadi humu JF. Vichaa lazima watamtetea kichaa mwenzao, hawashambuliani...hii ni tahadhari tu kwa wana Jamiiforums!
 
Kipengere gani kiliko kiukwa mzee??
Tenda ilitangazwa lini na wapi?Sheria ya manunuzi ya Umma inataka kutangazwa kwa zabuni katika gazeti la serikali!
Kwa namna ya ununuzi wa JPM,ni rahisi kwa yeye kula 10% ili kuwapa tenda kampuni husika!
 
So wao wanenda USA sisi tunaenda INDIA.
wewe huoni Tofauti?
Hivi kwa sasa ATCL ni mwanachama wa IATA? Je bado tunalitegemea shirika la HAHN watusaidie kuuza tiketi zetu za ndege? Hapo ndipo tunapotofautiana na nchi kama ya Kenya, wananunua ndege wakijua wataitumiaje. Ni ukichaa kununua mswaki kama huna meno!
 
Kweli hapa ninaona tofauti kubwa kweli kweli, wenzetu wananunua ndege na kufanya safari za moja kwa moja kati ya Nairobi na New York, sisi tunanunua ndege na kufanya safari za moja kwa moja kati ya Dar na mwanza, na pia Dar na Kilimanjaro. Dah! Sina cha kusema zaidi.
 
Watu 7000 wajiandikisha au wamekata ticket kuwemo kwenye safari hiyo ya kwanza? Yaani Kenya hata wangerusha dreamliner zote nane kwenda JFK bado haziwezi beba watu 7000 Kwa safari moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…