Mliokuwa mnasema CHADEMA Kuna mfumo dume, tunaomba mtatue kitendawili hiki Cha ubaguzi

Mliokuwa mnasema CHADEMA Kuna mfumo dume, tunaomba mtatue kitendawili hiki Cha ubaguzi

We fala unajua maana ya serikali ya Muungano? Zanzibar na wabara wapi na wapi
Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
 
Tumia akili kufikiri, acha ushabiki usiokuwa na TIJa, hii ni SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Elewa inapaswa kuundwa na watu gani
Ngoja tumwambie akuteue wewe sasa.
Maana inakuuma kuteuliwa hao
 
Kweli Nyerere hakumaliza element za ukabila! Wewe umewachunguzaje hao wote makabila yao?! Je ni wasukuma au wana majina ya kisukuma?! Majina haitoshi kuhibitisha dini, kabila, kanda na jinsia mathalani majina ya Mwigulu Nchemba, marwa, robi, Shija, mussa, Adam, kulwa yapo kwenye dini, makabila na kanda mbalimbali. Intelectuals wanaangalia uwezo wengine tunaangalia kabila, dini, jinsia, ukanda nk. Kama Taifa tuangalie uwezo wa MTEULE kutimiza majukumu aliyopangiwa na kutuletea maendeleo inatosha!
Sawa mkuu sisi tunasema hewala. Elimu yetu madrasa sasa tutafanyaje.

Ila nikwambie hao wetu siyo kwamba wamechaguliwa kwa merit bali kwa.....(... )
 
Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Serikali ya ZNZ ni ya wazanzibari tu bara haiwahusu.
Lakini ndani ya serikali ya JMT wazanzibari nao wamo (kwa kulazimishwa). Hivyo kutopewa nafasi za uwaziri ndani ya serikali ya JMT ni uonevu na ubaguzi.
Na katika kipengele cha uwezo, siamini kwamba Zanzibar hakuna watu wenye uwezo wa kushika nafasi za uwaziri ndani ya serikali JMT.
 
Serikali ya ZNZ ni ya wazanzibari tu bara haiwahusu.
Lakini ndani ya serikali ya JMT wazanzibari nao wamo (kwa kulazimishwa). Hivyo kutopewa nafasi za uwaziri ndani ya serikali ya JMT ni uonevu na ubaguzi.
Na katika kipengele cha uwezo, siamini kwamba Zanzibar hakuna watu wenye uwezo wa kushika nafasi za uwaziri ndani ya serikali JMT.

Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi ni mjumbe Katika Baraza la Mawaziri wa JMT.Makamu wa Rais ni mjumbe pia tena Rais asipokuwepo anaongoza kikao cha Baraza la Mawaziri.

Mpaka hapo utaona tayari kuna wa Zanzibar 2,based on their population and size of country I think it’s enough.
 
Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi ni mjumbe Katika Baraza la Mawaziri wa JMT.Makamu wa Rais ni mjumbe pia tena Rais asipokuwepo anaongoza kikao cha Baraza la Mawaziri.

Mpaka hapo utaona tayari kuna wa Zanzibar 2,based on their population and size of country I think it’s enough.
Kama sikosei hoja kuu hapa ni uteuzi wa mawaziri unaofanywa na rais kwa idadi ya wizara.
Wa zanzibar wawili (Dr mwinyi na mama samia) ni mawaziri wa wizara gani? Na uwaziri wao ni kwa utaratibu gani?
Na kama rais hasipokuwepo, makamo wa rais anaongoza kikao cha baraza la mawaziri kwa nafasi ya umakamo wa rais ama kwa nafasi ya mjumbe wa baraza la mawaziri?
Kama ataongoza kwa nafasi ya mjumbe wa baraza la mawaziri, je nafasi ya waziri mkuu katika kikao hicho ni ipi?

Hii si fani yangu, hivyo itakuwa vyema kama ukinielimisha kidogo.
 
Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
SMZ haina ubia na nyau wa Wabara bali JMT inajumuisha na Zanzibar. Sio kwamba Zanzibar wanapenda kuwa sehemu ya JMT bali ni kiherehere cha Watanganyika na maguvu yao kupenda kuwaburuta. Sasa Kama kweli mnawapenda mbona this time mnawabagua?
Zanzibar ni Islamic state silently, Kwa maboya wasio tambua hilo please grasp it.

JMT wanajinasibu sio a Christian state. Dini zote kwa nadharia wamezikimbatia kumbe kivitendo wanawang'ong'a waislam. Shame
 
Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Unajibu kama mtu aliyefariki kabla ya Muungano
 
Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Yamkini hujui hata Baraza Hilo Ni la serikali ya Muungano 😀😀😀😀😀😀
 
Other interesting cabinet stats minus deputies:

Full ministers – 23

19 (83%) are men

4 (17%) are women

9 (39%) are PhD holders

0 -member from Zanzibar
Mimi ni Muislam na tulikua tunaaminushwa eti CHADEMA is Christian party
Sasa angalia baraza la mawaziri
20 wakristo!!!! 3 waislamu tu
 
Back
Top Bottom