Huo utafiti umeufanyia wapi? Waislamu wapo Tanga, pwani, Lindi, na mtwara mikoa mingine ni wa kuhesabu.Hata bara waislamu na wakristo sio 50/50 waislamu tanzania bara ni 80/%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo utafiti umeufanyia wapi? Waislamu wapo Tanga, pwani, Lindi, na mtwara mikoa mingine ni wa kuhesabu.Hata bara waislamu na wakristo sio 50/50 waislamu tanzania bara ni 80/%
Uelewa wako wa Katiba unatia shaka sana.Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Kwa kufanya uteuzi wa 'kimkakati'.Pascal Njaa njoo huku uimbe na wenzako kina Etwege , Mama D ,Kawe , Alumni , Yehodaya , Johnthebabtist , muimbe nyimbo za kusifu na kuabudu .
Usijisahaulishe kuna SMZ na SMT Tanganyika ilishauawa baada ya hapo waweza jadili.Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Si Katiba pekee bali uelewa wake wa mazingira na maisha unatia shaka.Uelewa wako wa Katiba unatia shaka sana.
Hujui kanuni za muungano na kwamba ni lazima wizara kadhaa zishikwe na wa upande wa Zanzibar sijui kama unajua hiloKwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Naibu waziri haingii kwenye kikao cha Baraza la mawaziriNaibu Waziri Mambo ya Ndani sio Mzanzibar?
Bado Prof. Mbarawa alikuwa mzuri.Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Unauliza swali ambalo hata mjinga hawezi kuuliza wewe ushasema serikali ya zanzibar ambayo katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania imeieleza itashughulika na Mambo yote yanayohusu zanzibar mtu wa bara ataingiaje, hii ni serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania nchi 2 zimeungana kuunda serikali moja. Hakuna serikali ya bara, mzanzibar anaweza kuwa waziri katika serikali ya jamhuri ya muungano lakini ni mtanganyika hawezi kuwa waziri katika serikali ya mapinduzi Kwa sababu sio serikali ya muungano.Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Nah naona majina tu. Nasikia jina la hubby wake.Hivi yule mama ana undugu na jamaa wa mkono wa baunsa?
Josephat Gwajima or sorry nanii nimesahau jina la kwanza ila ni Doctor GwajimaAmbao ni:
1. Ummy Mwalimu.
2. Joyce Ndalichako.
3. Jenista Mhagama
4 wanne nani vile?
Jibu la kijinga kabisa toka kwa mjinga mzoefu.Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
4. Dr. Dorothy GwajimaAmbao ni:
1. Ummy Mwalimu.
2. Joyce Ndalichako.
3. Jenista Mhagama
4 wanne nani vile?
Asante kwa uchambuzi mzuri mkuu. Lete na wa manaibu waziri tulunganishe dots.Other interesting cabinet stats minus deputies:
Full ministers – 23
19 (83%) are men
4 (17%) are women
9 (39%) are PhD holders
0 -member from Zanzibar
Akivua Nguo Dawa ni kupigwa pala tuKucheza ngoma poa ila asije akavua nguo tu itakuwa ni balaa mjengoni [emoji23][emoji23]
Akivua Nguo Dawa ni kupigwa pala tu
NgwajimaAmbao ni:
1. Ummy Mwalimu.
2. Joyce Ndalichako.
3. Jenista Mhagama
4 wanne nani vile?
Hata University wanawake ni wachache kulinganisha na wanaume mf chuo ninachosoma wanaume zaidi ya 3000 wanawake hata 400 hawafikiOther interesting cabinet stats minus deputies:
Full ministers – 23
19 (83%) are men
4 (17%) are women
9 (39%) are PhD holders
0 -member from Zanzibar