Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Serikali ya Zanzibar sio ya muungano, hujajibu hoja.Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Vv