Mlionunua Magari kwa kuagiza kutoka Japan tafadhali njooni hapa

Hivi gari inachezewaje kilometers ikiwa bado Japan? Kule si kuna inspection kabla gari haijaondoka?

Achana na haya ambayo yapo bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Japan kuchezea kilomita ni kosa la jinai... Ila huku bongo ndio kuna hiyo michezo... Wananchokifanya hawa wanaojiita wanasaidia watu kuagiza magari huwa hawakuonyeshi gari ina imetembea kilomita ngapi. Kama imetembea km 150,000 wao wataipost kwnye page zao na kuandika imetembea km labda 50,000 tu ilinuvutiwe na kwa sababu gari wakikuagizia inafikia kwao kwanza hapoa ndio wanapata mwanya wa kuchezea kilomita na kuweka zile walioandika hadi ukavutiwa nayo... Wabongo wengi tunanunua gari kwa kuangalia imetembea kilomita ngapi
 

Soma mileage za hiyo gari... Ni gari moja lakini waagizaji wameweka kilomita zao zao, na wauzaji wenyewe enhance wameweka kilomita halisi
Hivi gari inachezewaje kilometers ikiwa bado Japan? Kule si kuna inspection kabla gari haijaondoka?

Achana na haya ambayo yapo bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi mtamu huu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sawa agent

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Be Forward gari zao mbofumbofu.
Kampuni za kuaminika kupata quality car ni:
Autorec na Japanesevehicles.
Labda ulichagua ya nafuu sana au bahati mbaya yako. mimi nimetumia sana beforward na kila mara nimepata gari nzuri kabisa. Tena huwa nawatumia na kufanya na clearing kabisa. Nikiitwa naenda kuchukua gari lenye registration kabisa. No usumbufu, no delay na giari zuri.
Ila kama umenuna gari labda kwa USD 1,500 lakini averege price ya gari ya aina hiyo ni USD 2,000 lazima yako itakua hafifu kidogo
 
Gharama zao za clearing zipoje?
 

Marketing strategy


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka mwaka juzi ilikua TZS 290,000. Sikumbuki kama ni VAT incl au la.
Port charges haipo hapo, hiyo inategemea gari imekaa siku ngapi port
Fair kidogo... Ila port charges inabdi uwe sharp kidogo kulipa kodi ili gari isikae bandarini sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…