Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Sio Wanyarwanda ni Warwanda.

Kwani kwanini Watanzania nao wasiitwe Wanyatanzania??--- kwani kuna mtu anaweza kunya Tz?? , ni hivyohivyo hakuna mtu anaweza kunya Rwanda, isitoshe ni tusi pia.
🀣
 
Nyaishozi kwenda Omurushaka mkuu pale yapo mbona mamichomoko nyomi tu.
Kwani Sasa Hivi Wote Mpo Wapi
Utalii wa kutembelea Rwanda ni muhimu sana.
Huku Kyerwa Wanakwenda Rwanda Kwa Miguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini Mnaimba Magodoro Tumeloweka Maji
Huku Godoro Zinashonewa Nylon Zile Nguvu KKama Za Hospital, Ukiwa Mgeni Utawaza Labda Wameona Unakojoa Kitandani. Huku Kuna Bonus Nyingi Sana
 
tofautisha mrundi na mnyarwanda wewe panyabuku.umeenda nje ya story.
 

Ha ha ha
 
Wanawake wa kinyarwanda ukioa jiandae uwe vizuri katika nyanja za nguvu za kiume maana kama uko around muda mwingi wanapenda kupelekewa motooo!
Maji maji war ni kawaida kwao kwa sababu ya unywaji wa maziwa.

Wanapenda mapenzii syo
 
Wanatupenda watz wakwasabu za kiupelelezi na kupata haki ya kumiliki ardhi akiolewa na Mtz kuweni makini sana na hao viumbe
 
Kin'gamuzi cha antena kinazidi cha dishi, kwenye kunasa mawimbi... wakubwa tumeelewa🀣🀣🀣🀣
 
Wanawake wa kinyarwanda ukioa jiandae uwe vizuri katika nyanja za nguvu za kiume maana kama uko around muda mwingi wanapenda kupelekewa motooo!
Maji maji war ni kawaida kwao kwa sababu ya unywaji wa maziwa.

Pereka Moto[emoji91][emoji91] kwerikweri
 
Wanatupenda watz wakwasabu za kiupelelezi na kupata haki ya kumiliki ardhi akiolewa na Mtz kuweni makini sana na hao viumbe
Ni kweli nilienda Kigali demu mkali akanitongoza nikala mzigo ila nadhani alikuwa ananipeleleza
 
Ni kweli nilienda Kigali demu mkali akanitongoza nikala mzigo ila nadhani alikuwa ananipeleleza
Wao wakiona Mtz, Mkongoman, Mkenya wanawapenda sana ili wajue mambo yetu Dodoma wamejaa hatusi kuna mmoja nililala nae anashangaa usiku anataka kumisachi begi, hafu nilivyoshtuka akajifanya alipotea mlango wa chooni wakati namuona anafungua kabati, hafu kesho yake akaniganda sana akawa anataka kuja hadi mkoa ninaoishi
 
Tunawala tu mbona,wanaganda Tz kama kawaida.

Ninae mmoja mwaka wa sita nilimpata nikiwa mtu kati kwenye magari makubwa,
Nilikwenda kwenye nyumba fulan ambayo ipo pembezon mwa barabara kuomba maji baada ya gari kusumbua kidogo,nyumba ina geti zaid ya tatu na walinzi wa kutosha.kupiga hodi wakaja walinzi wawili wakaanza kunifokea,ghafla ikatoka manzi juu kigorofani ikawa inaona jinsi walinzi wanavyonifokea yule manzi akamuita mlinz mmoja baadae nikafatwa nikafunguliwa geti ha ha ha ha ha.
 
Nikazama ndani,kuingia nikaulizwa una shida gani nikamwambia bint naomba maji gari yetu imesumbua kidogo,akanambia kwani hapa ni bomba la kijij? unaonekana muongo,wewe ni jambaz ngoja nipigie askari waje,akatoa simu akapiga kupiga huyo mtu anaongea kingereza hapo ndipo nilipomuacha hoi,sijui hata tense wala gramma.

Unajua kilichotokea?nikamtolea pasport yangu akakagua wakat yanafanyika yote hayo tupo wawili tu ndani.akamuita mlinzi akaamuru nipewe maji na nikaruhusiwa kuondoka.kumbe alivyonirudishia pasport nilidondosha lesen na namba ya simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…