Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
π€£Sio Wanyarwanda ni Warwanda.
Kwani kwanini Watanzania nao wasiitwe Wanyatanzania??--- kwani kuna mtu anaweza kunya Tz?? , ni hivyohivyo hakuna mtu anaweza kunya Rwanda, isitoshe ni tusi pia.
Kwani Sasa Hivi Wote Mpo WapiNyaishozi kwenda Omurushaka mkuu pale yapo mbona mamichomoko nyomi tu.
Huku Kyerwa Wanakwenda Rwanda Kwa MiguuUtalii wa kutembelea Rwanda ni muhimu sana.
Mjini Mnaimba Magodoro Tumeloweka Maji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanyarwanda walio kwenye ajira nyeti humu nchini ni wengi sanaYes. Kwenye sekta ya ushushushu tu hawajambo. Hata hapa kwetu wengi mashushushu. Anyways, they are working hard for theie country. Sisi timeifanyoa nini nchi yetu.
Lipo wazi mkuuWanyarwanda walio kwenye ajira nyeti humu nchini ni wengi sana
tofautisha mrundi na mnyarwanda wewe panyabuku.umeenda nje ya story.Asichepuke tu
Bibi yangu mzaa mama R.I.P. alikua Mrundi
Hawa sifa yao kubwa ni waaminifu na sio wachepukaji pia wana wivu
Hivyo kaa ukijua ukichepuka siku akikufumania kukuua ni jambo dogo sana kama kunywa maji tu
Pia ni wachapakazi haswa kilimo, Bibi yangu mpaka anafikisha miaka 82 alikua analima kafariki akiwa na miaka 83
Sawa mkuu ila kutype nyuma ya keyboard isiwe sababu ya kudharauliana na kuniita panyabukutofautisha mrundi na mnyarwanda wewe panyabuku.umeenda nje ya story.
Wanautamadini wa kukivuta clitoris tangu wadogo ,hata watoto wakifika umri wa kuoga wenyewe wanaambiwa wakivute kwa dakika kadhaa yaani ni utamaduni wao na wanaamini ni sehemu ya urembo
Sasa imagine kinavutwa tangu akiwa mtoto akiwa mtu mzima itakuaje,hapo 5G lazima ikamate
Wanawake wa kinyarwanda ukioa jiandae uwe vizuri katika nyanja za nguvu za kiume maana kama uko around muda mwingi wanapenda kupelekewa motooo!
Maji maji war ni kawaida kwao kwa sababu ya unywaji wa maziwa.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hicho kingereza kimepandisha maleria yangu [emoji38]
Wanatupenda watz wakwasabu za kiupelelezi na kupata haki ya kumiliki ardhi akiolewa na Mtz kuweni makini sana na hao viumbe[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi
[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao
[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja
[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Kin'gamuzi cha antena kinazidi cha dishi, kwenye kunasa mawimbi... wakubwa tumeelewaπ€£π€£π€£π€£Hadi kwenye sex wanajali 50% to 50%.
Hakubali umalize yeye bado.
Nilipitia makala moja BBC inaeleza tamaduni za wanyarwanda kwenye masuala ya sexual pleassure GUKUNA na KUNYANZA.
Nikasema wacha nifanye real practical maana nilipo wapo wengi sana aseeeeeeeeee.
Clitorius orgasm wanayo wale wanawake aseeeee.
Kingamuzi cha antena kinazidi cha dishi kwenye kunasa mawimbi.
Ukisugua kidogoooo water lakutoshaaaaaππ
Ndio maji ni uhai....huwa inafaida yoyote
ππππππNdio maji no uhai....
Wanawake wa kinyarwanda ukioa jiandae uwe vizuri katika nyanja za nguvu za kiume maana kama uko around muda mwingi wanapenda kupelekewa motooo!
Maji maji war ni kawaida kwao kwa sababu ya unywaji wa maziwa.
Ni kweli nilienda Kigali demu mkali akanitongoza nikala mzigo ila nadhani alikuwa ananipelelezaWanatupenda watz wakwasabu za kiupelelezi na kupata haki ya kumiliki ardhi akiolewa na Mtz kuweni makini sana na hao viumbe
Wao wakiona Mtz, Mkongoman, Mkenya wanawapenda sana ili wajue mambo yetu Dodoma wamejaa hatusi kuna mmoja nililala nae anashangaa usiku anataka kumisachi begi, hafu nilivyoshtuka akajifanya alipotea mlango wa chooni wakati namuona anafungua kabati, hafu kesho yake akaniganda sana akawa anataka kuja hadi mkoa ninaoishiNi kweli nilienda Kigali demu mkali akanitongoza nikala mzigo ila nadhani alikuwa ananipeleleza