Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Sio Wanyarwanda ni Warwanda.

Kwani kwanini Watanzania nao wasiitwe Wanyatanzania??--- kwani kuna mtu anaweza kunya Tz?? , ni hivyohivyo hakuna mtu anaweza kunya Rwanda, isitoshe ni tusi pia.
🤣
 
Nyaishozi kwenda Omurushaka mkuu pale yapo mbona mamichomoko nyomi tu.
Kwani Sasa Hivi Wote Mpo Wapi
Utalii wa kutembelea Rwanda ni muhimu sana.
Huku Kyerwa Wanakwenda Rwanda Kwa Miguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini Mnaimba Magodoro Tumeloweka Maji
Huku Godoro Zinashonewa Nylon Zile Nguvu KKama Za Hospital, Ukiwa Mgeni Utawaza Labda Wameona Unakojoa Kitandani. Huku Kuna Bonus Nyingi Sana
 
Asichepuke tu

Bibi yangu mzaa mama R.I.P. alikua Mrundi

Hawa sifa yao kubwa ni waaminifu na sio wachepukaji pia wana wivu

Hivyo kaa ukijua ukichepuka siku akikufumania kukuua ni jambo dogo sana kama kunywa maji tu

Pia ni wachapakazi haswa kilimo, Bibi yangu mpaka anafikisha miaka 82 alikua analima kafariki akiwa na miaka 83
tofautisha mrundi na mnyarwanda wewe panyabuku.umeenda nje ya story.
 
Wanautamadini wa kukivuta clitoris tangu wadogo ,hata watoto wakifika umri wa kuoga wenyewe wanaambiwa wakivute kwa dakika kadhaa yaani ni utamaduni wao na wanaamini ni sehemu ya urembo
Sasa imagine kinavutwa tangu akiwa mtoto akiwa mtu mzima itakuaje,hapo 5G lazima ikamate

Ha ha ha
 
Wanawake wa kinyarwanda ukioa jiandae uwe vizuri katika nyanja za nguvu za kiume maana kama uko around muda mwingi wanapenda kupelekewa motooo!
Maji maji war ni kawaida kwao kwa sababu ya unywaji wa maziwa.

Wanapenda mapenzii syo
 
[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi

[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao

[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja

[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Wanatupenda watz wakwasabu za kiupelelezi na kupata haki ya kumiliki ardhi akiolewa na Mtz kuweni makini sana na hao viumbe
 
Hadi kwenye sex wanajali 50% to 50%.
Hakubali umalize yeye bado.
Nilipitia makala moja BBC inaeleza tamaduni za wanyarwanda kwenye masuala ya sexual pleassure GUKUNA na KUNYANZA.
Nikasema wacha nifanye real practical maana nilipo wapo wengi sana aseeeeeeeeee.
Clitorius orgasm wanayo wale wanawake aseeeee.
Kingamuzi cha antena kinazidi cha dishi kwenye kunasa mawimbi.
Ukisugua kidogoooo water lakutoshaaaaa🙈🙊
Kin'gamuzi cha antena kinazidi cha dishi, kwenye kunasa mawimbi... wakubwa tumeelewa🤣🤣🤣🤣
 
Wanawake wa kinyarwanda ukioa jiandae uwe vizuri katika nyanja za nguvu za kiume maana kama uko around muda mwingi wanapenda kupelekewa motooo!
Maji maji war ni kawaida kwao kwa sababu ya unywaji wa maziwa.

Pereka Moto[emoji91][emoji91] kwerikweri
 
Wanatupenda watz wakwasabu za kiupelelezi na kupata haki ya kumiliki ardhi akiolewa na Mtz kuweni makini sana na hao viumbe
Ni kweli nilienda Kigali demu mkali akanitongoza nikala mzigo ila nadhani alikuwa ananipeleleza
 
Ni kweli nilienda Kigali demu mkali akanitongoza nikala mzigo ila nadhani alikuwa ananipeleleza
Wao wakiona Mtz, Mkongoman, Mkenya wanawapenda sana ili wajue mambo yetu Dodoma wamejaa hatusi kuna mmoja nililala nae anashangaa usiku anataka kumisachi begi, hafu nilivyoshtuka akajifanya alipotea mlango wa chooni wakati namuona anafungua kabati, hafu kesho yake akaniganda sana akawa anataka kuja hadi mkoa ninaoishi
 
Tunawala tu mbona,wanaganda Tz kama kawaida.

Ninae mmoja mwaka wa sita nilimpata nikiwa mtu kati kwenye magari makubwa,
Nilikwenda kwenye nyumba fulan ambayo ipo pembezon mwa barabara kuomba maji baada ya gari kusumbua kidogo,nyumba ina geti zaid ya tatu na walinzi wa kutosha.kupiga hodi wakaja walinzi wawili wakaanza kunifokea,ghafla ikatoka manzi juu kigorofani ikawa inaona jinsi walinzi wanavyonifokea yule manzi akamuita mlinz mmoja baadae nikafatwa nikafunguliwa geti ha ha ha ha ha.
 
Nikazama ndani,kuingia nikaulizwa una shida gani nikamwambia bint naomba maji gari yetu imesumbua kidogo,akanambia kwani hapa ni bomba la kijij? unaonekana muongo,wewe ni jambaz ngoja nipigie askari waje,akatoa simu akapiga kupiga huyo mtu anaongea kingereza hapo ndipo nilipomuacha hoi,sijui hata tense wala gramma.

Unajua kilichotokea?nikamtolea pasport yangu akakagua wakat yanafanyika yote hayo tupo wawili tu ndani.akamuita mlinzi akaamuru nipewe maji na nikaruhusiwa kuondoka.kumbe alivyonirudishia pasport nilidondosha lesen na namba ya simu
 
Back
Top Bottom