Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #101
Ukaona mfano ni Ambwene😀😀😀
Kama naww umeoa mjarwanda nipe picha yenu niwapost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaona mfano ni Ambwene😀😀😀
MiMi sijawowa bado nitakuja na uzi wangu wa kutaka mama hapa hapa JF mkuuKama naww umeoa mjarwanda nipe picha yenu niwapost
HahahahahahaMoja ya kosa ambalo baba wa taifa sitokaa nimsamee ni kutounganisha Tanzania na Rwanda mwaka 1964View attachment 1830832
Ahahahahah!! kwakweli. Hivi hatuwezi kudumisha mahusiano kwa kuruhusu waje kufanya biashara kwetu? yani wasifike mbali yani hata BURIGI tuMoja ya kosa ambalo baba wa taifa sitokaa nimsamee ni kutounganisha Tanzania na Rwanda mwaka 1964View attachment 1830832
Their "you know what" releases huge amount of "you know what" when doing "you know what" indeed. [emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
Wanajua kupenda na wako romantic, nimemkumbuka Jerome wangu. Lol
Kaenda kwao.Hahaaa yu wapi sasa?
Nshapoa mie mbna shoos.Pole shoo
Kaenda kwao.
Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!
Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.
Eehh
KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!
unaongea pumba sana, ukitukanwa utasema umetukanwa ama?Hapana mkuu ila kuleta zile sura kwene ukoo wako syo mbaya!!
Ebu imagine unatoa watoto warefu kama twiga!!!
Na sura nzuri!!
Bado watakua wako!! Hawaez kuwa wanyarwanda !!
Hyo n GENETIC THEFT[emoji3][emoji3][emoji28]
@Tajiri tumbo kubwa Kulikua na haja ya kutumia kingereza!!??
Ona sasa[emoji23][emoji23][emoji23]unavoaibika
Warundi hamna wachafu kinomaChukua Mrundi, utanishukuru baadae mkuu.
Dah umefikiria niniSio Wanyarwanda ni Warwanda.
Kwani kwanini Watanzania nao wasiitwe Wanyatanzania??--- kwani kuna mtu anaweza kunya Tz?? , ni hivyohivyo hakuna mtu anaweza kunya Rwanda, isitoshe ni tusi pia.
We si dumeKwa kweli Jerome wangu, alikuwq romantic na mapenzi ya kweli kwangu.