Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Lakini kama wasemavyo wadau hapo juu kwamba ni wanapenda bata ni kweli kabisa mfuko ukiwa mfupi utalia na kusaga meno
kuna pisi @tela_babe pale insta bata lake ni wazi hakai
 
Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
Their "you know what" releases huge amount of "you know what" when doing "you know what" indeed. [emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaoana wao kwa wao. mtoto wa mjomba unaoa tuu.....wanmatain purity.....
Karibu Ngara.....
 
Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!

Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.

Eehh

KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!




hiyo picha inafikirisha saanaaa....Yaani Ghafla nimekumbuka movie ya Get Out ......
Ambwene is not happy from his look.....he is forcing the smiles...he is scared....is haunted .....he became a stooge on that occasion...and all that for what? maji, poa mchongoko, urefu na uzuri wa sura from her conqueror wife!!!!!!!! Hell NOOOOO......... A tanzanian wife will do
 
Hapana mkuu ila kuleta zile sura kwene ukoo wako syo mbaya!!
Ebu imagine unatoa watoto warefu kama twiga!!!
Na sura nzuri!!
Bado watakua wako!! Hawaez kuwa wanyarwanda !!
Hyo n GENETIC THEFT[emoji3][emoji3][emoji28]
unaongea pumba sana, ukitukanwa utasema umetukanwa ama?
 
Back
Top Bottom