Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Habari za wakati huu,

Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.

Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16], yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah

Nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!

Siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4] akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!

Huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!

Hiki ni nini[emoji848]
 
Habari za wakati huu,

nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.

huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16]
yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah

nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!

siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4]
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!

hiki ni nini[emoji848]

Unataka achepuke?
mkeo anahisi upweke bila uwepo wako.
Ulinzi pekee ni kuhakikisha uwapo mbali unaimarisha upendo na mwenzio.

Unamkemea?
Akipata mtu wa kumtumia sms za mapenzi na kumbebisha kwa simu ujue atachepuka.
Ndivyo walivyo ukiwa mbali nao
 
Inaonekana hii ni ndoa ya muda mrefu ila ni zile za mme anafanya kazi Dar utumishi na mke anafanya kazi Dar hazina na wanadekezana. Sasa mme kahamishiwa Mwanza na kurudi ni mara moja kwa mwezi. Hata kama mmekaa kwenye ndoa myaka 20 hiyo hali haitaisha.
 
Back
Top Bottom