financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kwani kunashindikana nini sasa kubebishana? Umeachwa?Daah namiss kubebishana asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kunashindikana nini sasa kubebishana? Umeachwa?Daah namiss kubebishana asee
Unataka kujua?🤣Kwani kunashindikana nini sasa kubebishana? Umeachwa?
Muwe na shukrani mkipata watu wa kuwapenda.Habari za wakati huu,
Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16], yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
Nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
Siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4] akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
Huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
Hiki ni nini[emoji848]
[emoji119][emoji119]Wanawake msitukane wanaume kwa upumbavu wa wavulana!
hata kama ni upendo, yaani simu sikioni muda wote?!Muwe na shukrani mkipata watu wa kuwapenda.
Daah usiridie tena hii mzee, wanawake wanapenda kupendwa, kudekezwa na kubembelezwa muda wote wakati wanaume tuhitaji kuaminiwa tuu hivo hatuhitaj pigiwa masim nk. Kwa tofaut hiyo ukiendelea mkazia mkewe atatafuta mahali furaha inapatikana.Habari za wakati huu,
Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16], yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
Nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
Siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4] akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
Huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
Hiki ni nini[emoji848]
Yes If it's ok with you then.🤔Unataka kujua?🤣
Karibu kwani hii ni wewe unataka kujua...mlango uko wazi eee😂Yes If it's ok with you then.🤔
Kwahiyo nawewe unataka kumtukana mwanaume mwenzako kuwa ni mvulana kwakuwa hajabadilika kukidhi mahitaji ya mwanamke. Surely basi ukibadilisha kukidhi mahitaji ya mwanamke basi ujue familia itabaki hapohapo. Kabla ya kuoana si alimjua yupo hivyo kwanini leo muane kufanyiana gene manipulation kuleta uhafifu wa jitihada kufikia malengo. Unajua tabia nyingi za kipumbavu zinamzomshusha hadhi na hata kumharibu asiwe mwanaume zimeletwa na mwanamke kutaka kumbadiisha mwanaume awe sawa na yeye. Utawatukana mashoga lakini unaujua mzizi kamili kuanzia huko chini ambapo mama aliachiwa majukumu ya kulea mtoto pekeyake na mwanaume kuangaika kama mwanamke kupata starehe ya kijinga huku jukumu lake kuu akiwa amelisahau. Mwanaume ndiyo humrudisha mwanamke kwenye mstari lakini leo hii mwanamke anafanya kazi ya kumridisha mwanaume kwenye mstari. Akimbebisha hiyo mke kila siku na akalemea kwenye kazi yake unajua mwanamke huyohuyo atamuona kama tambala hataambebishe vipi. Mwanaume huona miaka ijayo ila mwanamke huangalia kesho tu. Pia hivyo vitu uviteteavyo vinachosha sana tena sana, nasiuwanaume bali ni uvulana.Wanawake msitukane wanaume kwa upumbavu wa wavulana!
Muwe na shukrani mkipata watu wa kuwapenda.