Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, huyo jamaa anayekutesa tupe namba yake tumnyooshe katika kikao cha wanaume kinachofuatia.Mkipendwa mnaleta pozi umbwaaa nyie!
Atakuwa mjamzito huyo , mpende na usimpe stress ili kuepuka kumwathiri mtoto au watoto tumboniHabari za wakati huu,
nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16]
yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4]
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
hiki ni nini[emoji848]
Ana kupenda na ananyegeHabari za wakati huu,
nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16]
yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4]
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
hiki ni nini[emoji848]
Ipo siku ataacha hizo kero. Na utajuta...we subiriHabari za wakati huu,
nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16]
yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4]
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
hiki ni nini[emoji848]
Umesema vyema. Mtu akikujali kama hana mambo meng atataka muda wake wote awe nawe ama aongee nawe.Ipo siku ataacha hizo kero. Na utajuta...we subiri
You wish huh!!Pole sana, huyo jamaa anayekutesa tupe namba yake tumnyooshe katika kikao cha wanaume kinachofuatia.
Ana kiwango gani cha elimu?nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
Na siku atagundua kuwa anakukera. Ataacha kabisa kukujali atawekeza kweye jambo lingine au kwa mtu mwingine.Umesema vyema. Mtu akikujali kama hana mambo meng atataka muda wake wote awe nawe ama aongee nawe.
Aisee, mpaka matusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkipendwa mnaleta pozi umbwaaa nyie!
Sorry kusema hivi but , mkeo atakuwa yupo idle , majukumu hayajambana.Habari za wakati huu,
nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.
huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16]
yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah
nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!
siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4]
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!
hiki ni nini[emoji848]
Msisitizo🤣Aisee, mpaka matusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli. Nitajitahidi asijue kama anakera[emoji41]Na siku atagundua kuwa anakukera. Ataacha kabisa kukujali atawekeza kweye jambo lingine au kwa mtu mwingine.