Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Pole sana @ Mleta mada.

Na ni kwa bahati mbaya sana mambo haya ya kujua kuwa Mwanaume anahitaji kupumua na kufanya mambo yake mengine hayafundishwi kwenye seminar za ndoa wala popote kwenye jamii zetu.
 
Habari za wakati huu,

Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.

Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16], yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah

Nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!

Siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4] akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!

Huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!

Hiki ni nini[emoji848]
Huyu ni ndugu yake na Sukunuku
 
Marriage couples need to know that being a couple it does reduces the facts that you’re two different people (man and woman).

Na kila mtu yaani mmoja wenu anao utashi na Uhuru wa kufanya mambo yake na kuamua.
 
Wanawake wanapaswa kujua kuwa huwezi mbadilisha Mwanaume tabia [emoji108]

Mwanaume atabadili tabia yeye mwenyewe iwapo anakupenda Kwa dhati ya moyo wake! [emoji108]

Ukijaribu kulazimisha kubadilika ata-fake kuku-please kwa muda mfupi baada ya muda anarudia hali ya tabia yake ile ile ya awali na hapo mwanamke ndipo utakuwa disappointed maradufu [emoji38]
 
Wengine Eti wanapigapiga hovyoo Simu wakizani huenda itasaidia kutibua wasifurahie faragha iwapo mume yuko na mchepuko lakini kiukweli wala haisaidii sana sana unaishia kujipunguzia kibali chako kwa Mwanaume wako.

Saingine atalazimika kukufokeafokea kama mtoto sababu anaona imekuwa too much.
 
Anything in too much is boring.
Mmoja akisafiri, muhimu ni kujualiana hali asubuhi, kuongea ya muhimu kama mume na mke ile asubuhi..baada ya hapo kila mtu akahangaike huko, jioni baada ya mihangaiko ndio mnatafutana tena kujuliana hali na kuelezana ya muhimu kama mume na mke.

Kinachofuata ni kuambiana usiku mwema, hakuna hata kubebishana, hivi nimeishi na mke miaka kumi nabebishana nae nini kwenye simu!
 
Wanawake wengine siku hizi Eti wanaanzisha mtindo wa kupiga video call ili kukomesha Mwanaume iwapo yuko na mwanamke mwingine aweze kugundua [emoji38][emoji38]
 
Mmoja akisafiri, muhimu ni kujualiana hali asubuhi, kuongea ya muhimu kama mume na mke ile asubuhi..baada ya hapo kila mtu akahangaike huko, jioni baada ya mihangaiko ndio mnatafutana tena kujuliana hali na kuelezana ya muhimu kama mume na mke.

Kinachofuata ni kuambiana usiku mwema, hakuna hata kubebishana, hivi nimeishi na mke miaka kumi nabebishana nae nini kwenye simu!
[emoji3][emoji3]

[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Unataka achepuke?
mkeo anahisi upweke bila uwepo wako.
Ulinzi pekee ni kuhakikisha uwapo mbali unaimarisha upendo na mwenzio.

Unamkemea?
Akipata mtu wa kumtumia sms za mapenzi na kumbebisha kwa simu ujue atachepuka.
Ndivyo walivyo ukiwa mbali nao
Ngoja huyu mbwiga atalia bila kupigwa! Akikapata la masalamado kakawa kanampagawisha na ma sms usije kutulilia hapa!
 
Back
Top Bottom