Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Mambo ya wanawake ukizingatia sanaa utajichosha .

Ushauri : ishi kama mwanaume atajiset mwenyewe.siyo mambo madogo kama haya unalalamika hayo makubwa je inakuaje
 
Hiz kero za kwenye simu huwa zinapunguzwa taratibu,kuna muda akibeep uwe unatulia tu usimpigie baadae atapunguza usumbufu
 
Kama upo serious basi we bado mtoto, kitu kidogo tu unashindwa kuelewa anamaanisha nini?
mkuu Capslock Kuwa mkubwa hakufanyi uelewe kila kitu, kila siku tunajifunza mambo mapya ambayo hatuyajuwi japo tu wakubwa[emoji4]
 
*Mwanamke haonewi huruma
*Mwanamke hakemewi
*Mwanamke hapigwi


Ukiona mwanaume huwezi kutimiza haya jua kabisa wewe sio mwanaume ni Mvulana
 
*Mwanamke haonewi huruma
*Mwanamke hakemewi
*Mwanamke hapigwi


Ukiona mwanaume huwezi kutimiza haya jua kabisa wewe sio mwanaume ni Mvulana
haonewi huruma wala hakemewi, bali.....?
kama una kauelewa zaidi katoe tu maana kila mtu afaa kuwa mwalimu kwa mwingne, na ndio maisha
 
Habari za wakati huu,

nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.

huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16]
yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah

nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!

siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4]
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!

hiki ni nini[emoji848]
Anatombwer ..kwa hiyo anazuga..akifanya hivyo chunguza Yuko maeneo yepi... chunguza kimya kimya
 
itabidi umvumilie na kujaribu kumwelewesha kwamba mchana maybe unakuwa bize sana na unachoka,mwambie jinsi unampenda na kummis,
N.B hiyo hali inaweza kumkuta yeyote ila wengine tunamaliza kiutu uzima
 
itabidi umvumilie na kujaribu kumwelewesha kwamba mchana maybe unakuwa bize sana na unachoka,mwambie jinsi unampenda na kummis,
N.B hiyo hali inaweza kumkuta yeyote ila wengine tunamaliza kiutu uzima
[emoji120]
 
Habari za wakati huu,

nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife.

huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16]
yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah

nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote anaanza kujing'atang'ata tu!

siku moja nilimpa makavu[emoji4][emoji4]
akatulia kidogo ila alinitumia meseji ya kulaumu ananituhumu kwamba labda niko na mwingine anaetumia nafasi yake, bla bla nyingi! mpaka nikamwonea huruma ikabdi nibembeleze mmhh!
huyu sio kwamba ndoa ndoa ni changa, niko nae kitambo tu lakini hili kuna wakati linanikera!

hiki ni nini[emoji848]
NINYI NDIO MNAO TUPA KAZI KUSADIA KUTUNZA WAKE ZENU.
 
Mkeo ana nyege sana, ila endelea kumuona msumbufu atapata muhuni atapiga K mpaka akusahau
 
Back
Top Bottom