Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

Mnameza moyoni, mnatemea jf huh!!!
Kwa kias chake n kweli.
The whime point ya annonymity humu jf inawapa watu wengi uhuru wa kuelezea matatizo yao.
And also, kwa kias kikubwa members wengu ni wanaume, wanawake wachache wajanja ndo wanatumia jf. Wengineo wako huko tikitaka wanabenjua viuno.
Kwa mfank tungekua na ma therapist wengi kama nchi za wenzetu ingekua rahisi kwa wanaume kupata sehem ya ku vent matatizo yao.
But our culture imetengeneza an impression kua venting is a sign of weakness, thats why most men die of depression.
 
Kwa kias chake n kweli.
The whime point ya annonymity humu jf inawapa watu wengi uhuru wa kuelezea matatizo yao.
And also, kwa kias kikubwa members wengu ni wanaume, wanawake wachache wajanja ndo wanatumia jf. Wengineo wako huko tikitaka wanabenjua viuno.
Kwa mfank tungekua na ma therapist wengi kama nchi za wenzetu ingekua rahisi kwa wanaume kupata sehem ya ku vent matatizo yao.
But our culture imetengeneza an impression kua venting is a sign of weakness, thats why most men die of depression.
Ndio mlalamikie kupendwa!!!
 
Back
Top Bottom