LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,642
Maisha wakati mwigine yanatufanya tuwe makatili we cha kufanya kwenye hiyo 3 mpe mkeo laki 2 kisha umuweke wazi kipato chako na umwelrze kuwa ni bajeti ya chakula mwezi mzima na mara nyingi chakula huambatana na maji , cha kukila atapanga mkeo,
jitahidi mkeo awe na tabia ya kupika vitafunwa nyumbani badala ya kununua ni ghali mnoo na akipika we beba nenda navyo kazini kwa ajili ya kifungua kinywa chako!
Tena ukifika job umsifie mkeo kuwa hapendi kabisa kukuona unaondoka bila kubeba BREAKFAST, yaani mkeo ana mahaba [emoji23][emoji23][emoji23]
Laki 1 inayobakia elfu 60 tenga kwa ajili ya kodi (hapa ni lazima uishi nyumba inayoendana na kipato chako na usiishi mbali sana na kazini kwako ili ikibidi wakati mwingine ufanye mazoezi ya kutembea kwa lazima) elfu 40 itayobakia utalipia umeme na nauli yako.
Kwa ukubwa wa kipato chako
1.mshawishi mkeo awe mjasiriamali kwa kufunga vitu vidogo vidogo na kuuza ili aku boost kwenye umeme na vinguo nguo pamoja na dhalula mbali mbali
2.sahau kuhusu michango ya harusi na vichenipati
3.Jitahidi uwe unawahi kurudi nyumbani ili umsaidie mkeo kazi za kuongeza kipato badala ya kuzulula kusiko na maana
4. Ishi kulingana na neema alizokujaalia M/Mungu,usitake kushindana na waja
jitahidi mkeo awe na tabia ya kupika vitafunwa nyumbani badala ya kununua ni ghali mnoo na akipika we beba nenda navyo kazini kwa ajili ya kifungua kinywa chako!
Tena ukifika job umsifie mkeo kuwa hapendi kabisa kukuona unaondoka bila kubeba BREAKFAST, yaani mkeo ana mahaba [emoji23][emoji23][emoji23]
Laki 1 inayobakia elfu 60 tenga kwa ajili ya kodi (hapa ni lazima uishi nyumba inayoendana na kipato chako na usiishi mbali sana na kazini kwako ili ikibidi wakati mwingine ufanye mazoezi ya kutembea kwa lazima) elfu 40 itayobakia utalipia umeme na nauli yako.
Kwa ukubwa wa kipato chako
1.mshawishi mkeo awe mjasiriamali kwa kufunga vitu vidogo vidogo na kuuza ili aku boost kwenye umeme na vinguo nguo pamoja na dhalula mbali mbali
2.sahau kuhusu michango ya harusi na vichenipati
3.Jitahidi uwe unawahi kurudi nyumbani ili umsaidie mkeo kazi za kuongeza kipato badala ya kuzulula kusiko na maana
4. Ishi kulingana na neema alizokujaalia M/Mungu,usitake kushindana na waja