Mimi Nalipwa 250k.
Nakaa Gheto Na Takataka Mmoja Anaelipwa 750 !
Lakini Akishapata Hela, Ndani Ya Siku Tatu HANA HATA MIA!
Kila Kitu Nafanya Mimi, Kuanzia,
- Chakula Gheto
- Maji
- Chai Asubuhi
- Umeme
- Soup/Maziwa
Mpaka Nauli Ya Kwenda Kazini Na Kurudi, Namlipia.
Yeye Pesa Yake Ni Konyagi Na Bangi.
- Na Kwa Kuwa Mimi Siyo Mtu Wa Kujali Sana Maisha Ya Mtu, Naheshimu Sana Uhuru Wa Mtu - Ananipa Wakati Mgumu Sana.
Maana Wakati Mwingine Uko Gheto Umechill ( Maana Mimi Ni Mtu Wa Kukaa Ndani Sana ) - Jamaa Anatoa Bangi Anawasha.
- Inabidi Utoke Tu Ukae Nje.
USHAURI.
- Vijana Na Arusha Na Mbeya Punguzeni Gambe, Sigara Na Bangi.