Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
whatsap tena ?? nyie waalimu dah 😎UPDATE
Kuna mabadiliko, angalieni status zenu za WhatsApp.
Kwa hiyo unataka ulaumiwe wewe??Hadi interview watu mnailaumu ccm? Kama mtu uko competent why uogope usahili? Kwan una degree ya wasiwasi😂😂
Kama ni mtu amby unajali fairness huwez laumu usahili, awali kulikuw na mazingr makubwa ya rushwa maana wao tu walikuw wanapitish tu majina ya waliopat ajira lkn kuwek usahili means mweny uwezo anapita sasa ww unatakajeKwa hiyo unataka ulaumiwe wewe??
Hakika mkuuUsaili siku zote ni mbaya kwa ambaye atakosa. Ila ndio mfumo mzuri ambao kila mtu ana nafasi ya kupata
Tutakuwekea, jifunze kuwa na subra.Wameondoa mikoa waliyokuwa wamenipangia 🤣
Wamekuwekea nini?Wameondoa mikoa waliyokuwa wamenipangia 🤣
Ila kilichotokea kimesitusha kidogo... "Unaona kisha huoni"
Tutakuwekea, jifunze kuwa na subra.
Hayo ni matokeo ya kucheza kwa mfumo.Ila kilichotokea kimesitusha kidogo... "Unaona kisha huoni"
Upo sahihi sana ila... Sijui!Usaili siku zote ni mbaya kwa ambaye atakosa. Ila ndio mfumo mzuri ambao kila mtu ana nafasi ya kupata
Wanalaumu kwa sababu watu wake walio wengi hawaaminiki.Hadi interview watu mnailaumu ccm? Kama mtu uko competent why uogope usahili? Kwan una degree ya wasiwasi😂😂
Kesho asbhJamani wadau bado tu hawajatoa.watu tunasubilia kwa hamu
Jamani wadau bado tu hawajatoa.watu tunasubi
wa afya wanamaliza tar 13 hivyo subili tu.Jamani wadau bado tu hawajatoa.watu tunasubilia kwa hamu