Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Kwa hiyo unataka ulaumiwe wewe??
Kama ni mtu amby unajali fairness huwez laumu usahili, awali kulikuw na mazingr makubwa ya rushwa maana wao tu walikuw wanapitish tu majina ya waliopat ajira lkn kuwek usahili means mweny uwezo anapita sasa ww unatakaje
 
Aiseee, mimi binafsi ni muoga wa usahili, najijua tokea nasoma. Hivyo niliamua kujiajiri mapemaa kabla hizi mbanga za usahili hazijaanza. Ila kweli maisha yanabadirika jmn, siku hizi mambo yako serious kuliko zamani.
 
Back
Top Bottom