Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Njooni wote wawili niwape haki yenu ili mbebane kwenda hospitaliNasubiri kiwanja cha mpambano wewe inabidi tukugawane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njooni wote wawili niwape haki yenu ili mbebane kwenda hospitaliNasubiri kiwanja cha mpambano wewe inabidi tukugawane
Muda wa maneno umeishaNjooni wote wawili niwape haki yenu ili mbebane kwenye hospitali
Mkuu uko wap, mm na huyo mwenzako muda sio mrefu tunakutana kukiwashaNasubiri kiwanja cha mpambano wewe inabidi tukugawane
Ndio ndio mkuu.Muda wa maneno umeisha
Sasa ni vitendo.
Nipe location na scheduleMkuu uko wap, mm na huyo mwenzako muda sio mrefu tunakutana kukiwasha
Manzese Tip Top, muda huu ndo tunajiandaaNipe location na schedule
Majobless mnapunguza mawazo kwa kipeana huo utani wenu. Ila mnajaza replies kwenye uzi, jobless wengine wanakuja mbio mbio wanajua update za maana wanakutana na huo utani wenu sio fair you have to stop that.Nipe location na schedule
Tunamfunza maana huyo jamaa anazingua kwenye mambo muhimu kama haya ya ajiraMajobless mnapunguza mawazo kwa kipeana huo utani wenu. Ila mnajaza replies kwenye uzi, jobless wengine wanakuja mbio mbio wanajua update za maana wanakutana na huo utani wenu sio fair you have to stop that
yes tembelea page yaoMhuuuu fake ?
Mwenzako kanikimbia 😂 yn mngekuja wawili ndo nngefurah mana akija mmoja angenichosha tuu.Tunamfunza maana huyo jamaa anazingua kwenye mambo muhimu kama haya ya ajira
NB, nimekuelewa mkuu let's stop
sio kwamba umekosea EmailNaomba msaaada wa kuingia kwenye account yang nikiweka email naambiwa user name not exist
Ni vile mkuu hapo kasema tu-stop aisee ningekusaka kwa gpsMwenzako kanikimbia 😂 yn mngekuja wawili ndo nngefurah mana akija mmoja angenichosha tuu.
Nlkuwa nshajiandaa kutoa kipigo kikali ila inabidi nirudishe umafia wangu ndani.
Muulize yule mwenzako imekuaje amegoma kukutana na Mm, pamoja na kunifuata PM ila bado ameshindwa kuja 😂Ni vile mkuu hapo kasema tu-stop aisee ningekusaka kwa gps
Msiende kufumuana vijambio.Ww ndo uje pm mzee wangu
Waalimu wanakuchukia utadhani ww ndo umeleta usaili 😂Walimu mnisamehe kwa uzi wangu, hata interview ni FAKE hamtafanya..
Walimu hoyeeeeeee......
Nakutaka wwMsiende kufumuana vijambio.
Wasijue hii ni njia mojawapo ya walimu kuheshimikaa,Waalimu wanakuchukia utadhani ww ndo umeleta usaili 😂
Serikali ya CCM imejaa wahuni wahuni tu wanafanyaga mambo kama wamekatwa vichwa