luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Sekrerarieti ya ajira wamekanusha HII habariFake nini mkuu tufafanulie na kama tangazo lipo tupostie humu tulione.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sekrerarieti ya ajira wamekanusha HII habariFake nini mkuu tufafanulie na kama tangazo lipo tupostie humu tulione.
Mkuu nna recieved 13 hadi sasa izo za teaching zikinipita nna nyingine kama 5 zinaningoja kwaiyo isikupe shida njoo Tabata tukudunde makuruta wa jeshi la kujenga taifaNjoo mkuu, uje ukiwa umejipanga nisije kuwafanya mkashindwa kuhudhuria usaili wa ualimu.
Nakuja PM tuyajenge mkuuNiko Manzese.
Ww kuja huku n buku mbili tuu kuja na kurudi, au uje na pesa ya matibabu kabisa.
Hili ni lofa naomba Mungu nikutane naloUna ushamba mwingi na kadiploma kako ka uinjinia wa matoroli
tusaidie hiyo link tuone hilo kanusho.Sekrerarieti ya ajira wamekanusha HII habari
Niko Manzese mkuuHili ni lofa naomba Mungu nikutane nalo
Ww ndo uje pm mzee wanguNakuja PM tuyajenge mkuu
Hapana mkuu hasa mimi nawewe tumeanzia mbali toka kwenye uzi wa utumishi yaani nikiuliza tu swali la kufahamu mfumo wa ajira portal unaanza kusema mwalimu hivi mwalimu vile kiufupi unaboa hili jukwaa ni kwa ajili ya kuelimishana na kuhabarishana acha izo jombaaWap nimewaona wapuuzi, mm nmesapoti usaili tuu na wala sijamdharau yeyote humu.
Mm sina nauli, ww unayetaka pigano ndio ujeMkuu nna recieved 13 hadi sasa izo za teaching zikinipita nna nyingine kama 5 zinaningoja kwaiyo isikupe shida njoo Tabata tukudunde makuruta wa jeshi la kujenga taifa
HIYO Hapo taarifa ya sekrerarieti kukanusha ingia katika page yao fbFake nini mkuu tufafanulie na kama tangazo lipo tupostie humu tulione.
Sawa mkuu 😂Hapana mkuu hasa mimi nawewe tumeanzia mbali toka kwenye uzi wa utumishi yaani nikiuliza tu swali la kufahamu mfumo wa ajira portal unaanza kusema mwalimu hivi mwalimu vile kiufupi unaboa hili jukwaa ni kwa ajili ya kuelimishana na kuhabarishana acha izo jombaa
Mkuu ukikutana nae nitag location namimi nijeHili ni lofa naomba Mungu nikutane nalo
Ameshakuja pm na nmeshampa locationMkuu ukikutana nae nitag location namimi nije
Ingia Ktk page yao original ya Facebook "sekrerarieti ya ajira"tusaidie hiyo link tuone hilo kanusho.
nimekupata mkuu shukrani.HIYO Hapo taarifa ya sekrerarieti kukanusha ingia katika page yao fb
Nauli nakutumia mkuu madenti kibao wanakula nauli zangu najua mwanaume mwenzangu huwezi kula nauliMm sina nauli, ww unayetaka pigano ndio uje
Nasubiri kiwanja cha mpambano wewe inabidi tukugawaneAmeshakuja pm na nmeshampa location
Njoo pm nikupe namba ya MPESANauli nakutumia mkuu madenti kibao wanakula nauli zangu najua mwanaume mwenzangu huwezi kula nauli