ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Acha masifa dogoSijui kwann linapokuja suala la kuajiri waalimu haya mambo hutokea sana, ht kipindi cha tamisemi pia mambo yalikuwa hv hv
We unawaona walimu mazuzu kila siku unawaponda kwani unafaidika na Nini?
Au hao walimu wewe umewazidi Nini?
Kuwa mstaarabu jamaa uwe na kiasi sio unakejeli ovyo.
Kwani ukielekeza Kwa stara utapungukiwa nini