Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Profile zinabadilika...

Kuna mtu ilikua inamuandikia mkoa,
Asaivi Imeandika MDAs & LGAs..
Huko Mimi naona akuna umuhimu wowote ule zaidi ni kujipa tumbo joto tu.
Cha msingi hapo pale kwenye received pabadilike paandike not shortlisted hapo ndio utakiwa umekosa au waandike shortlisted hapo ndipo ufurahi utakiwa umeitwa kukandwa vinginevyo ni uongo na no ramli chonganishi.
Yaani kiufupi kunakijamaa kimekaa ghetto kimeshiba makande ya dada kinaandika taarifa za uongo kudanganya Wana.
Oya Wana tulieni kuandikiwa mkoa au kutokuandikiwa aina ukweli wowote wa umepata au umekoswa kuwa shortlisted tulieni mkeka utatoka soon na status zitabadilika kutoka received to shortlisted or not shortlisted
 
Screenshot_20240901_201608_Google.jpg
Haya maajabu mengine..
 
Dah sasa mbona hawa ndugu zetu wanalalamika hvy utadhani wanalipwa buku mbili, kumbe mambo mazuri hv mpaka nshaanza kupata wivu kwann sikusoma ualimu 😭

Anyway, waalimu wanaokataa usaili em njoeni huku mlambe glucose ya salary slip ili mpate nguvu kdg 😂
TGHS C1 huyu atakua Nurse Officer ameingia kazini

TGHS iko applied wizara ya Afya pekee
 
Kwahy wale wanaofanya kazi kwenye ofisi za serikali za mitaa wanalipwaje na wapo mazingira yapi na bado wanafanya usaili.

Yn nyie waalimu n kama vile mmejiweka kwenye kundi la walemavu hvy mnataka mchukuliwe ni watu wanyonge sana na msiojiweza, yn miaka yote n nyie tuu kujiweka special sana ili muonekane mnaonewa.

Sio siri, binafsi nimefurahi sana utumishi walichofanya cha kila kada kufanya usaili. Na sio nafurah kisa Mm sio mwalimu wala sio mtu wa afya ila hata kama ningekuwa huko bado nngefurah mana hapakuwa na usawa kwenye kugawa ajira ety kisa kuna waliomaliza miaka ya nyuma.

Utumishi shikilieni hapo hapo, hakuna kada kuajiriwa bila usaili.
Hebu usitusimange jamani
 
Log in > Nenda my Application > Employer.
Kuna watu washaanza kupangiwa sehemu za interview....

Interview ya kwanza(kuandika) utafanyia ulipoombea...

Interview ya pili(Oral)utafanyia mkoa watakayokupangia wao..

Kama uliomba masomo mawili,
Utashangaa Written ya hesabu na phy utafanyia hapa Dar ulipo,
Oral ya physics utafanyia Kigoma,
Oral ya Hesabu utafanyia Mbeya.

Watu niliokua nawaombea taratibu washaanza kuona mabadiliko,
Ila nahisi zoezi halijaisha.



KWA WALE WOTE WALIOOMBA AJIRA ZA UALIMU KATIKA MFUMO WA AJIRA PORTAL
________________________________

KUNA MABADILIKO MUHIMU YAMEFANYIKA
1. Wengi wamebadilishiwa mikoa ya kufanyiwa usaili na ndo mikoa itakayotumika kuwaajili.
2. Kama hujabadilishiwa mkoa na Bado panasoma MDAs & LGAs maana yake ni kwamba wewe hujapangiwa mkoa WA kwenda kufanya usajili, hivyo utaomba Ajira upya pindi zitakapotoka.
Ili kuona mabadiliko hayo , Fanya mambo/hatua zifuatazo
1. Ingia Ajira portal akaunt Yako ( )
2. Ingiza Email/username na Password Yako. Kisha bofya Login .
3. Kisha bofya sehemu ya My Application na utaona mwenendo WA maombi Yako ya Ajira
4. Angalia sehemu ya Job Title kipengere Cha Employer utaikuta kimefanyiwa mabadiliko na kuandikwa jina la mkoa ulilopangiwa kufanya interview , kama hakuna jina la mkoa ulilopangiwa inamaana kwamba Bado hujapangiwa sehemu pa kufanyia interview na huwenda hujakidhi vigezo ,hivyo utarazimika kufanya maombi mengine pindi Ajira zitakapotoka.
NB : Endelea kutembelea Akaunti Yako kila mara Ili kuona madailiko zaidi na siku na tarehe na kituonutakachopangiwa kwenda kufanyia interview
_______________________
Kila la kheli katika maombi Yako,
_______________________
Huyu jamaa nitapeli analeta taharuki tu, kama una App ya ajira portal compare nachakwenye web uone.
 
Log in > Nenda my Application > Employer.
Kuna watu washaanza kupangiwa sehemu za interview....

Interview ya kwanza(kuandika) utafanyia ulipoombea...

Interview ya pili(Oral)utafanyia mkoa watakayokupangia wao..

Kama uliomba masomo mawili,
Utashangaa Written ya hesabu na phy utafanyia hapa Dar ulipo,
Oral ya physics utafanyia Kigoma,
Oral ya Hesabu utafanyia Mbeya.

Watu niliokua nawaombea taratibu washaanza kuona mabadiliko,
Ila nahisi zoezi halijaisha.



KWA WALE WOTE WALIOOMBA AJIRA ZA UALIMU KATIKA MFUMO WA AJIRA PORTAL
________________________________

KUNA MABADILIKO MUHIMU YAMEFANYIKA
1. Wengi wamebadilishiwa mikoa ya kufanyiwa usaili na ndo mikoa itakayotumika kuwaajili.
2. Kama hujabadilishiwa mkoa na Bado panasoma MDAs & LGAs maana yake ni kwamba wewe hujapangiwa mkoa WA kwenda kufanya usajili, hivyo utaomba Ajira upya pindi zitakapotoka.
Ili kuona mabadiliko hayo , Fanya mambo/hatua zifuatazo
1. Ingia Ajira portal akaunt Yako ( )
2. Ingiza Email/username na Password Yako. Kisha bofya Login .
3. Kisha bofya sehemu ya My Application na utaona mwenendo WA maombi Yako ya Ajira
4. Angalia sehemu ya Job Title kipengere Cha Employer utaikuta kimefanyiwa mabadiliko na kuandikwa jina la mkoa ulilopangiwa kufanya interview , kama hakuna jina la mkoa ulilopangiwa inamaana kwamba Bado hujapangiwa sehemu pa kufanyia interview na huwenda hujakidhi vigezo ,hivyo utarazimika kufanya maombi mengine pindi Ajira zitakapotoka.
NB : Endelea kutembelea Akaunti Yako kila mara Ili kuona madailiko zaidi na siku na tarehe na kituonutakachopangiwa kwenda kufanyia interview
_______________________
Kila la kheli katika maombi Yako,
_______________________
 
Jaman kwel inabadirika. Yangu jama ilikuw inaonesha mikoa ila leo nimeingia nimekuta hkn mikoa wameweka MDAs & lgsa.

Pia kuna mwanangu kanambia jana alibadirishiwa mikoa ila sas hvi wametoa wameweka MDAs & lgsa.

Yaan wanatuchanganya tu kwa kwel
 
Waalimu. Habari za Asubuhi. Utaratibu wa watu kuitwa kwa usaili serikalini unajulikana.Hizi ramli zinazochezwa humu zitawatoa dam.Tulieni pigeni kazi mkijiandaa kwa maelekezo kutoka PSRS.#Kaziiindelee
 
🤣🤣🤣🤣Walimu mimi natoa tu update mbona mnataka mninyongee...

Niliwaambia Status zimebadilika zinaandika mikoa, Mkaingia mkaona..

Nika wa update tena kua status zinabadilika kurudi kwenye MDAs & LGAs , mkaangalia ni kweli.

Sasa mimi nimedanganya nini?

Sichoki kutoa update...

Kinachofanyika sasa, wamefunga page yao kupitia Google ili kufanya review ya mchakato hasa katika upande wa mikoa,
Soon baada ya kumaliza watawafungulia....

Ukijua maana ya profile name yangu, hutauliza najuaje.

Humu sema tuu hatuonani, mtu anatamani akupige chepe, as if wewe ndio umemuweka kitaa,
Subiri uone nitakavyoandamwa na hii comment 🤣🤣🤣.
 
🤣🤣🤣🤣Walimu mimi natoa tu update mbona mnataka mninyongee...

Niliwaambia Status zimebadilika zinaandika mikoa, Mkaingia mkaona..

Nika wa update tena kua status zinabadilika kurudi kwenye MDAs & LGAs , mkaangalia ni kweli.

Sasa mimi nimedanganya nini?

Sichoki kutoa update...

Kinachofanyika sasa, wamefunga page yao kupitia Google ili kufanya review ya mchakato hasa katika upande wa mikoa,
Soon baada ya kumaliza watawafungulia....

Ukijua maana ya profile name yangu, hutauliza najuaje.

Wewe ni mwongo, Acha Upotoshaji.

Huna ujualo linaloendelea.
Waalimu na mlioomba Kazi zingine subirini Muongozo Kutoka utumishi
 
🤣🤣🤣🤣Walimu mimi natoa tu update mbona mnataka mninyongee...

Niliwaambia Status zimebadilika zinaandika mikoa, Mkaingia mkaona..

Nika wa update tena kua status zinabadilika kurudi kwenye MDAs & LGAs , mkaangalia ni kweli.

Sasa mimi nimedanganya nini?

Sichoki kutoa update...

Kinachofanyika sasa, wamefunga page yao kupitia Google ili kufanya review ya mchakato hasa katika upande wa mikoa,
Soon baada ya kumaliza watawafungulia....

Ukijua maana ya profile name yangu, hutauliza najuaje.

Humu sema tuu hatuonani, mtu anatamani akupige chepe, as if wewe ndio umemuweka kitaa,
Subiri uone nitakavyoandamwa na hii comment 🤣🤣🤣.
Hahaaa Watu wanapanic, Sasa hapo nini umedanganya...?
 
Back
Top Bottom