Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ukitaka kukosana na waalimu waambie khs usaili, wanaweza ht kukupa laana 😂Usaili utafanyika watake wasitake na ni waambie ukweli ndugu waalimu bila kusoma kujiandaa vizuri kila eneo psprs haina mchezo na mtu
Mlizoea vya dezo sasa kimeumana