Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nlkupa namba yangu, mbona hujanitafuta nije nikusugueNimepata nyege ghafla.
Kisimi KIMEDINDA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlkupa namba yangu, mbona hujanitafuta nije nikusugueNimepata nyege ghafla.
Kisimi KIMEDINDA.
Kabisa mkuu. Huku Afya angalau kuna tumichuzi 😃 na viposho vidogo vidogo vya halali na vile visivyo vya halali.Oh safi mkuu, kuna mwngn ana degree na hapati hy
Wanasema huko utaenda kufanya oral kama utapita vzr kwenye written.Ikiwa hivi vip?
Nliwahi kwenda Mwananyamala hospital, nilikuwa nna ishu ya kuchomwa sindano, Imagine wanataka nitoe buku ten kila nikienda kuchoma na hy n nje ya mfumo.Kabisa mkuu. Huku Afya angalau kuna tumichuzi 😃 na viposho vidogo vidogo vya halali na vile visivyo vya halali.
SijakuelewaWanasema huko utaenda kufanya oral kama utapita vzr kwenye written.
Ila written interview utafanya mkoa uliopo.
Sasa cjui utajigawa vp kwenye hy mikoa miwili, tuendelee kusubir taarifa kutoka utumishi.
Hiyo sura utamfunika?Nlkupa namba yangu, mbona hujanitafuta nije nikusugue
Written unafanya mkoa ulipo, ukifaulu written utaenda oral ambayo ndio kwenye hy mikoa ambao ndio waajiri.Sijakuelewa
Kwamba oral ndo utapangiwa tena ila written ndo unafanya ulipo
Hy n picha tuu inawezekana sio yeye mhusika.Hiyo sura utamfunika?
Huyo ni yeyeHy n picha tuu inawezekana sio yeye mhusika.
Ila ht hvy wale wenye sura mbaya hua wana K tamu knoma ila awe amejitunza tuu.
Kazi ipoIkiwa hivi vip?
Uko vizuri na ka diploma kako,Hyo ya kwangu..
View attachment 3084222
Tulieni mtaelewa tuSijakuelewa
Kwamba oral ndo utapangiwa tena ila written ndo unafanya ulipo
Wameyatimba walimu.Log in > Nenda my Application > Employer.
Kuna watu washaanza kupangiwa sehemu za interview....
Interview ya kwanza(kuandika) utafanyia ulipoombea...
Interview ya pili(Oral)utafanyia mkoa watakayokupangia wao..
Kama uliomba masomo mawili,
Utashangaa Written ya hesabu na phy utafanyia hapa Dar ulipo,
Oral ya physics utafanyia Kigoma,
Oral ya Hesabu utafanyia Mbeya.
Watu niliokua nawaombea taratibu washaanza kuona mabadiliko,
Ila nahisi zoezi halijaisha.
KWA WALE WOTE WALIOOMBA AJIRA ZA UALIMU KATIKA MFUMO WA AJIRA PORTAL
________________________________
KUNA MABADILIKO MUHIMU YAMEFANYIKA
1. Wengi wamebadilishiwa mikoa ya kufanyiwa usaili na ndo mikoa itakayotumika kuwaajili.
2. Kama hujabadilishiwa mkoa na Bado panasoma MDAs & LGAs maana yake ni kwamba wewe hujapangiwa mkoa WA kwenda kufanya usajili, hivyo utaomba Ajira upya pindi zitakapotoka.
Ili kuona mabadiliko hayo , Fanya mambo/hatua zifuatazo
1. Ingia Ajira portal akaunt Yako ()Recruitment Portal
portal.ajira.go.tz
2. Ingiza Email/username na Password Yako. Kisha bofya Login .
3. Kisha bofya sehemu ya My Application na utaona mwenendo WA maombi Yako ya Ajira
4. Angalia sehemu ya Job Title kipengere Cha Employer utaikuta kimefanyiwa mabadiliko na kuandikwa jina la mkoa ulilopangiwa kufanya interview , kama hakuna jina la mkoa ulilopangiwa inamaana kwamba Bado hujapangiwa sehemu pa kufanyia interview na huwenda hujakidhi vigezo ,hivyo utarazimika kufanya maombi mengine pindi Ajira zitakapotoka.
NB : Endelea kutembelea Akaunti Yako kila mara Ili kuona madailiko zaidi na siku na tarehe na kituonutakachopangiwa kwenda kufanyia interview
_______________________
Kila la kheli katika maombi Yako,
_______________________
Bado mkuu bila bila akuna maajabuTayari wakuu tembeleeni website au app
Duh Huu n mtihani ila Mm nngebak privateKuna ndugu yangu ni She yeye phys and hesabu chuo alimaliza 2020 mkoa alioomba ni kigoma
Sasa kuna jamaa la halmashauri Lipo kigoma nikaliambia likasema kwa masomo yake jinsia yake na mkoa aliochagua aje tu kufanya usahili hata kama muajiri wake atamnyima ruhusa (yupo privet ambayo wanalipa 980K) plus many bonus
Kwamba GEOGRAPHY iwe na mtihani mmoja na History ?Kio
Kila somo na mtihani wake au mtihani ni mmoja
Unatikisa kiberiti au siyo 😂Tayari wakuu tembeleeni website au app