Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Em tuambie hapo shuleni anayepokea mshahara mdogo n kiasi gn ili angalau kuwatia moyo hawa waalimu wasiotaka usaili 😂2038 ndo mwaka wa kuachana na ualimu,Hadi nastaafu nitakuwa na mshahara WA 3M kama mkuu wa idara,harafu mtu anakuja kudanya umma kuwa mshahara mdogo