Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Umekosea mkuu, fatilia hy comment ya kukaa kwa shemeji ameambiwa nani ila sio mmHuyo alieambiwa yupo kwa shemeji kumbe ndio unamfuga kwako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea mkuu, fatilia hy comment ya kukaa kwa shemeji ameambiwa nani ila sio mmHuyo alieambiwa yupo kwa shemeji kumbe ndio unamfuga kwako?
Si kaambiwa yule Bando la wikiUmekosea mkuu, fatilia hy comment ya kukaa kwa shemeji ameambiwa nani ila sio mm
😅😅😅😅😅 wewe si umepanda madaraja. hongera kwa uvumilivuMshahara mkubwa kwako ni upi? Unajua kuwa Kwa government sekta ya ualimu inaweza kuwa ya tatu au nne Kwa watu wake kulipwa mshahara mkubwa!?
Acha kuishi Kwa kukalili,hebu weka salary slip Yako tulinganishe wewe uliyekwenye idara ya mshahara mkubwa na Mimi mwalimu ambaye ninalipwa mshahara kidogo kulingana na mtazamo wako!!
By the way hatuwezi wote Kuwa wakurungezi au mameja,hata mbinguni Kuna matabaka,Kuna malaika,yesu ,Mungu ,ije kuwa dumiani!?
Ukiweka salary slip Yako ikaonesha unanizidi naacha kazi ya ualimu,yangu hii hapa
Sasa mbona unasema n mmSi kaambiwa yule Bando la wiki
Kazanazo asione hii atajinyonga, na akiona kuna usaili ndio atakufa kwa presha 😂 anaona serikali imembania kufika huko 😂Mshahara mkubwa kwako ni upi? Unajua kuwa Kwa government sekta ya ualimu inaweza kuwa ya tatu au nne Kwa watu wake kulipwa mshahara mkubwa!?
Acha kuishi Kwa kukalili,hebu weka salary slip Yako tulinganishe wewe uliyekwenye idara ya mshahara mkubwa na Mimi mwalimu ambaye ninalipwa mshahara kidogo kulingana na mtazamo wako!!
By the way hatuwezi wote Kuwa wakurungezi au mameja,hata mbinguni Kuna matabaka,Kuna malaika,yesu ,Mungu ,ije kuwa dumiani!?
Ukiweka salary slip Yako ikaonesha unanizidi naacha kazi ya ualimu,yangu hii hapa
Ahaaa aisee anaScreen yake atakuja vuta subra simu inamsumbua kidogoMshahara mkubwa kwako ni upi? Unajua kuwa Kwa government sekta ya ualimu inaweza kuwa ya tatu au nne Kwa watu wake kulipwa mshahara mkubwa!?
Acha kuishi Kwa kukalili,hebu weka salary slip Yako tulinganishe wewe uliyekwenye idara ya mshahara mkubwa na Mimi mwalimu ambaye ninalipwa mshahara kidogo kulingana na mtazamo wako!!
By the way hatuwezi wote Kuwa wakurungezi au mameja,hata mbinguni Kuna matabaka,Kuna malaika,yesu ,Mungu ,ije kuwa dumiani!?
Ukiweka salary slip Yako ikaonesha unanizidi naacha kazi ya ualimu,yangu hii hapa
Nimepanda daraja la wapi,buguruni au kigamboni!? Weka na wewe salary slip Yako tuone kama unanizidi😅😅😅😅😅 wewe si umepanda madaraja. hongera kwa uvumilivu
walimu kuweni wavumilivu mamilion mtapata tu ni swala
la batua huezi taka kumi na hata moja huna
Jamaa amekuja kuua waalimu wasiotaka usaili 😂 watu wabaya sana humu 😂Kwa hiyo salary slip lazima atokee dirishani
Screenshot yake ina mshahara wa laki mbili gross 😎 Waalimu wanalalamika Sana 😂Ahaaa aisee anaScreen yake atakuja vuta subra simu inamsumbua kidogo
Laki mbili? Mzee anafanya kazi kiwanda Cha mazava winds?Screenshot yake ina mshahara wa laki mbili gross 😎 Waalimu wanalalamika Sana 😂
Mm nmefanyaje mkuu 😂😅😅😅😅😅😅😅
hamna tajiri mi bado napambana tu 🙏🏾Nimepanda daraja la wapi,buguruni au kigamboni!? Weka na wewe salary slip Yako tuone kama unanizidi
Na jamaa ni Mhehe anakalia MAFINGA..Kazanazo asione hii atajinyonga, na akiona kuna usaili ndio atakufa kwa presha 😂 anaona serikali imembania kufika huko 😂
Jamani tukae makini na karibu na hawa watu mana wanaweza kujidhuru 😂
Mh kwan kwenye salary slip hua wanaonyesha hy kituNi mwaka atakao tundika ndaluga nadhani.
Anapiga kelele ili aonewe huruma asifanye usaili 😂Na jamaa ni Mhehe anakalia MAFINGA..
Sifa zao kujitia kamba tu
Kwa mujibu wake ndio ipo hvyLaki mbili? Mzee anafanya kazi kiwanda Cha mazava winds?
Huwa wanaonyesha mzee ili ujiandae mapema. Ya kwangu ni 2052 nitatundika ndalugaMh kwan kwenye salary slip hua wanaonyesha hy kitu
digba sowey msaada hapo
Oh bc safi, bc screenshot nyingi ambazo naziona humu hawajawahi kuonyesha hy ndo mana nimeshangaaHuwa wanaonyesha mzee ili ujiandae mapema. Ya kwangu ni 2052 nitatundika ndaluga
2038 ndo mwaka wa kuachana na ualimu,Hadi nastaafu nitakuwa na mshahara WA 3M kama mkuu wa idara,harafu mtu anakuja kudanya umma kuwa mshahara mdogoMh kwan kwenye salary slip hua wanaonyesha hy kitu
digba sowey msaada hapo
Uko mbali waambie wakupunguzie Mzee nasi tule hiyo keki🤣Huwa wanaonyesha mzee ili ujiandae mapema. Ya kwangu ni 2052 nitatundika ndaluga