Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Mshahara mkubwa kwako ni upi? Unajua kuwa Kwa government sekta ya ualimu inaweza kuwa ya tatu au nne Kwa watu wake kulipwa mshahara mkubwa!?

Acha kuishi Kwa kukalili,hebu weka salary slip Yako tulinganishe wewe uliyekwenye idara ya mshahara mkubwa na Mimi mwalimu ambaye ninalipwa mshahara kidogo kulingana na mtazamo wako!!

By the way hatuwezi wote Kuwa wakurungezi au mameja,hata mbinguni Kuna matabaka,Kuna malaika,yesu ,Mungu ,ije kuwa dumiani!?

Ukiweka salary slip Yako ikaonesha unanizidi naacha kazi ya ualimu,yangu hii hapa
😅😅😅😅😅 wewe si umepanda madaraja. hongera kwa uvumilivu

walimu kuweni wavumilivu mamilion mtapata tu ni swala
la batua huezi taka kumi na hata moja huna
 
Mshahara mkubwa kwako ni upi? Unajua kuwa Kwa government sekta ya ualimu inaweza kuwa ya tatu au nne Kwa watu wake kulipwa mshahara mkubwa!?

Acha kuishi Kwa kukalili,hebu weka salary slip Yako tulinganishe wewe uliyekwenye idara ya mshahara mkubwa na Mimi mwalimu ambaye ninalipwa mshahara kidogo kulingana na mtazamo wako!!

By the way hatuwezi wote Kuwa wakurungezi au mameja,hata mbinguni Kuna matabaka,Kuna malaika,yesu ,Mungu ,ije kuwa dumiani!?

Ukiweka salary slip Yako ikaonesha unanizidi naacha kazi ya ualimu,yangu hii hapa
Kazanazo asione hii atajinyonga, na akiona kuna usaili ndio atakufa kwa presha 😂 anaona serikali imembania kufika huko 😂
Jamani tukae makini na karibu na hawa watu mana wanaweza kujidhuru 😂
 
Mshahara mkubwa kwako ni upi? Unajua kuwa Kwa government sekta ya ualimu inaweza kuwa ya tatu au nne Kwa watu wake kulipwa mshahara mkubwa!?

Acha kuishi Kwa kukalili,hebu weka salary slip Yako tulinganishe wewe uliyekwenye idara ya mshahara mkubwa na Mimi mwalimu ambaye ninalipwa mshahara kidogo kulingana na mtazamo wako!!

By the way hatuwezi wote Kuwa wakurungezi au mameja,hata mbinguni Kuna matabaka,Kuna malaika,yesu ,Mungu ,ije kuwa dumiani!?

Ukiweka salary slip Yako ikaonesha unanizidi naacha kazi ya ualimu,yangu hii hapa
Ahaaa aisee anaScreen yake atakuja vuta subra simu inamsumbua kidogo
 
Back
Top Bottom