Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hawa waalimu wanazingua sana na hayo maswali yaoKwamba GEOGRAPHY iwe na mtihani mmoja na History ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa waalimu wanazingua sana na hayo maswali yaoKwamba GEOGRAPHY iwe na mtihani mmoja na History ?
Wanakuwaga Watamu hao knoma 🔥🔥Huyo ni yeye
apana jamaa ni kama yuko sahihi. mini niliomba mkoa wa kilimanjaro na arusha na kwenye account yangu nimekuta nimewekewa mtwara na maraUnapata faida gani kwa kudanganya mkuu??
Matangazo yote ya kazi, interview na placement yanatolewa waziwazi kupitia tovuti ya utumishi ambapo pia muhusika atapata taarifa pia kupitia profile yake
Hakuna taarifa ya kazi, interview wala kupangiwa kazi anataarifiwa mtu bila ya taarifa kuwa published kwenye tovuti
Tangazo la interview lililotoka ni la Kada ya afya na si la ualimu
Jamaa hajakosea alichoeleza kwenye uzi, kilichobaki tu ni tangazo la public kama ilivyo kwa kada za AfyaUnapata faida gani kwa kudanganya mkuu??
Matangazo yote ya kazi, interview na placement yanatolewa waziwazi kupitia tovuti ya utumishi ambapo pia muhusika atapata taarifa pia kupitia profile yake
Hakuna taarifa ya kazi, interview wala kupangiwa kazi anataarifiwa mtu bila ya taarifa kuwa published kwenye tovuti
Tangazo la interview lililotoka ni la Kada ya afya na si la ualimu
Waache tu, siku wakikandwa hawatauliza tenaHawa waalimu wanazingua sana na hayo maswali yao
Sawa ila kuna maswali ya kitoto sana aiseeWaache tu, siku wakikandwa hawatauliza tena
Ndio nione mwtikio wa waalimuUnatikisa kiberiti au siyo 😂
Waache, hawa ndugu zetu hawapo sawa kiakiliNdio nione mwtikio wa waalimu
Hautakuja kupata ajira..Sasa wale walioomba masomo mawili na kupangiwa mikoa miwili tofauti wafanye nn?
Weeee unamanisha waalimu wameweuka🤣🤣😂😂Waache, hawa ndugu zetu hawapo sawa kiakili
Hawataki usaili, na ndicho kinakwenda kuwakuta ndio mana nasema hawako sawa kiakiliWeeee unamanisha waalimu wameweuka🤣🤣😂😂
Mm au waalimu 😂Hautakuja kupata ajira..
Usaili utafanyika watake wasitake na ni waambie ukweli ndugu waalimu bila kusoma kujiandaa vizuri kila eneo psprs haina mchezo na mtuHawataki usaili, na ndicho kinakwenda kuwakuta ndio mana nasema hawako sawa kiakili
Si haba, njia ya msalani haiwezi kuota nyasi.Mshahara mkubwa kwako ni upi? Unajua kuwa Kwa government sekta ya ualimu inaweza kuwa ya tatu au nne Kwa watu wake kulipwa mshahara mkubwa!?
Acha kuishi Kwa kukalili,hebu weka salary slip Yako tulinganishe wewe uliyekwenye idara ya mshahara mkubwa na Mimi mwalimu ambaye ninalipwa mshahara kidogo kulingana na mtazamo wako!!
By the way hatuwezi wote Kuwa wakurungezi au mameja,hata mbinguni Kuna matabaka,Kuna malaika,yesu ,Mungu ,ije kuwa dumiani!?
Ukiweka salary slip Yako ikaonesha unanizidi naacha kazi ya ualimu,yangu hii hapa
Mwaka wa kustaafu huoMkuu hy 2038 n nn?
NdioMh kwan kwenye salary slip hua wanaonyesha hy kitu
digba sowey msaada hapo
Kama umeshachora ramani vizuri, ni malengo mazuri hayoKaribuni mkuu..2027 naachana na kazi za kuajiriwa niweze kusimamia mambo yangu kwa ufasaha.
Utakua umefikisha 45 auKaribuni mkuu..2027 naachana na kazi za kuajiriwa niweze kusimamia mambo yangu kwa ufasaha.
35Utakua umefikisha 45 au
Pole mkuu