ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
We ni mvulanaJiweke Sawa kwa usaili, utumishi utawaona wabaya kama hujajiandaa.
Naona akili yako Bado kubeba mambo ya wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mvulanaJiweke Sawa kwa usaili, utumishi utawaona wabaya kama hujajiandaa.
Huyo jamaa anaboa sana mkuu watu wako busy kujiandaa na usaili na kupeana dondoo za kutoboa yeye akiona tu aliyetajwa ni mwalimu ni kudandia na kuharibu uzi binafsi nilimuona wa maana kwenye ule uzi wa utumishi but now nimempuuzaWe ni mvulana
Naona akili yako Bado kubeba mambo ya wanaume
Hii imekanushwa na utumishiKWA WALE WOTE WALIOOMBA AJIRA ZA UALIMU KATIKA MFUMO WA AJIRA PORTAL
________________________________
KUNA MABADILIKO MUHIMU YAMEFANYIKA
1. Wengi wamebadilishiwa mikoa ya kufanyiwa usaili na ndo mikoa itakayotumika kuwaajili.
2. Kama hujabadilishiwa mkoa na Bado panasoma MDAs & LGAs maana yake ni kwamba wewe hujapangiwa mkoa WA kwenda kufanya usajili, hivyo utaomba Ajira upya pindi zitakapotoka.
Ili kuona mabadiliko hayo , Fanya mambo/hatua zifuatazo
1. Ingia Ajira portal akaunt Yako ()Recruitment Portal
portal.ajira.go.tz
2. Ingiza Email/username na Password Yako. Kisha bofya Login .
3. Kisha bofya sehemu ya My Application na utaona mwenendo WA maombi Yako ya Ajira
4. Angalia sehemu ya Job Title kipengere Cha Employer utaikuta kimefanyiwa mabadiliko na kuandikwa jina la mkoa ulilopangiwa kufanya interview , kama hakuna jina la mkoa ulilopangiwa inamaana kwamba Bado hujapangiwa sehemu pa kufanyia interview na huwenda hujakidhi vigezo ,hivyo utarazimika kufanya maombi mengine pindi Ajira zitakapotoka.
NB : Endelea kutembelea Akaunti Yako kila mara Ili kuona madailiko zaidi na siku na tarehe na kituonutakachopangiwa kwenda kufanyia interview
_______________________
Kila la kheli katika maombi Yako,
_______________________
😂😂😂😂Huyo jamaa anaboa sana mkuu watu wako busy kujiandaa na usaili na kupeana dondoo za kutoboa yeye akiona tu aliyetajwa ni mwalimu ni kudandia na kuharibu uzi binafsi nilimuona wa maana kwenye ule uzi wa utumishi but now nimempuuza
Ana ushamba mwingi wa kishabiki
Jamaa Lina maudhi sijui senge la wap hili?Huyo jamaa anaboa sana mkuu watu wako busy kujiandaa na usaili na kupeana dondoo za kutoboa yeye akiona tu aliyetajwa ni mwalimu ni kudandia na kuharibu uzi binafsi nilimuona wa maana kwenye ule uzi wa utumishi but now nimempuuza
Ana ushamba mwingi wa kishabiki
Kwan ww uko wapi mkuu 😂Jamaa Lina maudhi sijui senge la wap hili?
Huo utaratibu ni mpya Kwa walimu na sio mtu ni mtaalamu wa IT laZima watu kwenye ku apply watakwama watakuwa hapa kuulizia mwongozo Kwa wengine ili ku share
Litakuja hili jamaa mara walimu mnatia aibu, mara hili nalo la kuulizia
Yaani lipo hapa kutafuta faraja.
Ningekuwa naweza kukutana nae nikamzoe ngwala matata japo nikatumia mafunzo yangu ya pale Mlale JKT
Niko Dar TabataKwan ww uko wapi mkuu 😂
Mm niko Arusha - daraja mbili
OK, mm niko Manzese hapa. Njoo tukutane darajani hapa ili mashahidi wawepo ili usije kusema nimekukimbia.Niko Dar Tabata
Naomba tukutane nikutandike
Fake nini mkuu tufafanulie na kama tangazo lipo tupostie humu tulione.Fake
Wamekanusha
Mara upo Arusha mara ManzeseOK, mm niko Manzese hapa. Njoo tukutane darajani hapa ili mashahidi wawepo ili usije kusema nimekukimbia.
Niko Manzese.Mara upo Arusha mara Manzese
We sema uko wap mkono upigwe
Hahahhah eti mlale 842kj hongera mate bila shaka embakasi unaifaham vizuriJamaa Lina maudhi sijui senge la wap hili?
Huo utaratibu ni mpya Kwa walimu na sio mtu ni mtaalamu wa IT laZima watu kwenye ku apply watakwama watakuwa hapa kuulizia mwongozo Kwa wengine ili ku share
Litakuja hili jamaa mara walimu mnatia aibu, mara hili nalo la kuulizia
Yaani lipo hapa kutafuta faraja.
Ningekuwa naweza kukutana nae nikamzoe ngwala matata japo nikatumia mafunzo yangu ya pale Mlale JKT
😂😂😂Hahahhah eti mlale 842kj hongera mate bila shaka embakasi unaifaham vizuri
Huyo mpuuze tu mtatupiana matusi yasiyo na maana kwa mtu asiye na muhimu kwenye uwanja wa ajira
Aisee namimi nitakuwepo tukufunze adabu wee jamaaOK, mm niko Manzese hapa. Njoo tukutane darajani hapa ili mashahidi wawepo ili usije kusema nimekukimbia.
Una ushamba mwingi na kadiploma kako ka uinjinia wa matoroli😂😂😂
Wala mm Siwez kumtukana mtu humu.
N nyie wnyw kuchukulia mambo kuwa magumu hvy
Njoo mkuu, uje ukiwa umejipanga nisije kuwafanya mkashindwa kuhudhuria usaili wa ualimu.Aisee namimi nitakuwepo tukufunze adabu wee jamaa
Kwaiyo hiyo ndio inayokupa kiburi na kuwaona walimu wote ni wapuuziNna diploma in Film production
Wap nimewaona wapuuzi, mm nmesapoti usaili tuu na wala sijamdharau yeyote humu.Kwaiyo hiyo ndio inayokupa kiburi na kuwaona walimu wote ni wapuuzi