Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

We ni mvulana
Naona akili yako Bado kubeba mambo ya wanaume
Huyo jamaa anaboa sana mkuu watu wako busy kujiandaa na usaili na kupeana dondoo za kutoboa yeye akiona tu aliyetajwa ni mwalimu ni kudandia na kuharibu uzi binafsi nilimuona wa maana kwenye ule uzi wa utumishi but now nimempuuza

Ana ushamba mwingi wa kishabiki
 
KWA WALE WOTE WALIOOMBA AJIRA ZA UALIMU KATIKA MFUMO WA AJIRA PORTAL
________________________________

KUNA MABADILIKO MUHIMU YAMEFANYIKA
1. Wengi wamebadilishiwa mikoa ya kufanyiwa usaili na ndo mikoa itakayotumika kuwaajili.
2. Kama hujabadilishiwa mkoa na Bado panasoma MDAs & LGAs maana yake ni kwamba wewe hujapangiwa mkoa WA kwenda kufanya usajili, hivyo utaomba Ajira upya pindi zitakapotoka.
Ili kuona mabadiliko hayo , Fanya mambo/hatua zifuatazo
1. Ingia Ajira portal akaunt Yako ( )
2. Ingiza Email/username na Password Yako. Kisha bofya Login .
3. Kisha bofya sehemu ya My Application na utaona mwenendo WA maombi Yako ya Ajira
4. Angalia sehemu ya Job Title kipengere Cha Employer utaikuta kimefanyiwa mabadiliko na kuandikwa jina la mkoa ulilopangiwa kufanya interview , kama hakuna jina la mkoa ulilopangiwa inamaana kwamba Bado hujapangiwa sehemu pa kufanyia interview na huwenda hujakidhi vigezo ,hivyo utarazimika kufanya maombi mengine pindi Ajira zitakapotoka.
NB : Endelea kutembelea Akaunti Yako kila mara Ili kuona madailiko zaidi na siku na tarehe na kituonutakachopangiwa kwenda kufanyia interview
_______________________
Kila la kheli katika maombi Yako,
_______________________
Hii imekanushwa na utumishi
 
Huyo jamaa anaboa sana mkuu watu wako busy kujiandaa na usaili na kupeana dondoo za kutoboa yeye akiona tu aliyetajwa ni mwalimu ni kudandia na kuharibu uzi binafsi nilimuona wa maana kwenye ule uzi wa utumishi but now nimempuuza

Ana ushamba mwingi wa kishabiki
😂😂😂😂
 
Huyo jamaa anaboa sana mkuu watu wako busy kujiandaa na usaili na kupeana dondoo za kutoboa yeye akiona tu aliyetajwa ni mwalimu ni kudandia na kuharibu uzi binafsi nilimuona wa maana kwenye ule uzi wa utumishi but now nimempuuza

Ana ushamba mwingi wa kishabiki
Jamaa Lina maudhi sijui senge la wap hili?
Huo utaratibu ni mpya Kwa walimu na sio mtu ni mtaalamu wa IT laZima watu kwenye ku apply watakwama watakuwa hapa kuulizia mwongozo Kwa wengine ili ku share
Litakuja hili jamaa mara walimu mnatia aibu, mara hili nalo la kuulizia
Yaani lipo hapa kutafuta faraja.
Ningekuwa naweza kukutana nae nikamzoe ngwala matata japo nikatumia mafunzo yangu ya pale Mlale JKT
 
Jamaa Lina maudhi sijui senge la wap hili?
Huo utaratibu ni mpya Kwa walimu na sio mtu ni mtaalamu wa IT laZima watu kwenye ku apply watakwama watakuwa hapa kuulizia mwongozo Kwa wengine ili ku share
Litakuja hili jamaa mara walimu mnatia aibu, mara hili nalo la kuulizia
Yaani lipo hapa kutafuta faraja.
Ningekuwa naweza kukutana nae nikamzoe ngwala matata japo nikatumia mafunzo yangu ya pale Mlale JKT
Kwan ww uko wapi mkuu 😂
Mm niko Arusha - daraja mbili
 
Jamaa Lina maudhi sijui senge la wap hili?
Huo utaratibu ni mpya Kwa walimu na sio mtu ni mtaalamu wa IT laZima watu kwenye ku apply watakwama watakuwa hapa kuulizia mwongozo Kwa wengine ili ku share
Litakuja hili jamaa mara walimu mnatia aibu, mara hili nalo la kuulizia
Yaani lipo hapa kutafuta faraja.
Ningekuwa naweza kukutana nae nikamzoe ngwala matata japo nikatumia mafunzo yangu ya pale Mlale JKT
Hahahhah eti mlale 842kj hongera mate bila shaka embakasi unaifaham vizuri

Huyo mpuuze tu mtatupiana matusi yasiyo na maana kwa mtu asiye na muhimu kwenye uwanja wa ajira
 
Back
Top Bottom