Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hii advanced diploma bado vyuo vinatoa cheti chake kweli?Mnaojiandaa na usaili wa utumishi nafasi ya Afisa Maendeleo ya Jamii, tupeane mbinu za kutoboa usaili.
Una uzoefu wa hizi saili share tujue zinakuweje, eneo gani la kusoma sana wakati wa kujiandaa.
Kwann wasitoeHivi hii advanced diploma bado vyuo vinatoa cheti chake kweli?
Una experience ya hivi karibuni kumuona muhitimu wa advanced diploma?
Hahahhha alooo nikikumbk ile minotes alooSoma notes kama zilivyo kuanzia first year mpaka last year
Nakwambia.Tafuta soma sana.Nimepiga pepa mwaka huu.Huo ndo uzoefu wangu
Mkuu orodhesha maswali yaliyotoka katika written uliyofanyaNakwambia.Tafuta soma sana.Nimepiga pepa mwaka huu.Huo ndo uzoefu wangu
Ume major branch gani?Naombeni mwenye connection ya field jamani Huko kwenye NGOs[emoji3064] nipo chuo mwaka wa pili nasoma SOCIOLOGY
Sidhani kwa sasaHivi hii advanced diploma bado vyuo vinatoa cheti chake kweli?
Nigusie bas hata aina ya maswal maan kuanza kusoma.notes mzee shughul then tumesoma.masomo mengi sanaNakwambia.Tafuta soma sana.Nimepiga pepa mwaka huu.Huo ndo uzoefu wangu
Mm.mwneyew community economic development hapa degree nipo kitaa natafuta fieldUme major branch gani?