Mlioomba nafasi za Afisa Maendeleo ya Jamii tupeane mbinu

Mlioomba nafasi za Afisa Maendeleo ya Jamii tupeane mbinu

Mm.mwneyew community economic development hapa degree nipo kitaa natafuta field

Sent using Jamii Forums mobile app
mnaotafuta internship. Pambana upate kwenye NGOs utaifurahia career yako. Ukikuta kuna project inaendelea ndo utafurahi sana, utajifunza kwa vitendo kila kitu ulichokuwa unafundishwa. Kuandika reports, M&E, Project budget, Proposal zinavyoandikwa, Field kukutana na beneficiaries.

Google list of NGOs, chagua zile ambazo ziko mkoa unaotaka. Pambana upate namba au emails zao. Piga moja kwa moja, wengi kule ni watu waelewa. Tuma kwa zile NGOs ndogo na kati coz ushindani ni mdogo, hawa wakubwa wanalipa lkn ushindani ni mkubwa
 
viewers 1k comment 22 tu ina maana wote hamna cha kushare hapa. Mliowahi kuganya saili kwenye kada ya Maendeleo ya jamii na nyie kimya...acheni uchoyo nafasi 800 huwezi zichukua mtu mmoja. Leteni madini hapa
 
JAMANI JAMANI JAMANI JAMANI
wote tulioomba kada ya maendeleo ya jamii kwann pia tusitengeneze group la.wasap tukawepo pamoja

Naamini hatutakosa kitu cha kufanya kule.
Ikiwa kupeana michongo ya NGOs na mashirika.

Tufanye hvyo basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
highlights
1. Community development policy
2. Job descriptions uzielewe
3. current social issues
4. Major development projects km FYDP
 
Back
Top Bottom